Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Hapana, nadhani kinyume chake ndiyo sahihi. Ukiwa jeshini, juniors wako au surbodinates wako unawaita "kamanda" halafu wao wanakuita Afande. Hali kadhalikka, seniors wako wewe au superiors wako unatakiwa uwaite Afande.huwa sipendi kusikia Mkuu wa Majeshi anaitwa "Afande...Mkuu wa Majeshi" sielewi hili neno "afande" ni sahihi kulitumia kwa wenye vyeo vya juu?!
kwa uelewa wangu nilidhani kwa vyeo vya juu anatakiwa kuitwa "kamanda".
naomba ufafanuzi kwa wenye kujua maana huwa nahisi kumuita "afande" ni kama kudunisha cheo chake.
wataalamu naomba mtusaidie hapo.
CDF ni Afande wa kila askari wa JWTZ, na possibly afande wa kila Askari aliye ndani au nje ya mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, provided askari huyo hana title ya CDF or its equivalent
