Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 17,003
Waliokuwepo wamestaafu kaweka mawe mapyaKwa kesi ya CDF anatakiwa awe kwenye rank ya Jenerali na huwa ni mmoja tu, waliopo wengine ni wastaafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliokuwepo wamestaafu kaweka mawe mapyaKwa kesi ya CDF anatakiwa awe kwenye rank ya Jenerali na huwa ni mmoja tu, waliopo wengine ni wastaafu
Sasa naanza kuamini habar za dark days,..Mama ameamua asmsikilze mr.uk Wala born town.
Mlileta majina ya ndugu zenu?🤣🤣🤣🤣Duh Mama Katubwaga Watabiri Wakina Sheikh Yahya [emoji1787][emoji1787]
huwa sipendi kusikia Mkuu wa Majeshi anaitwa "Afande...Mkuu wa Majeshi" sielewi hili neno "afande" ni sahihi kulitumia kwa wenye vyeo vya juu?!
kwa uelewa wangu nilidhani kwa vyeo vya juu anatakiwa kuitwa "kamanda".
naomba ufafanuzi kwa wenye kujua maana huwa nahisi kumuita "afande" ni kama kudunisha cheo chake.
wataalamu naomba mtusaidie hapo.
Mungu huwa akiamua kukusimamisha hata kama ukiwa jalalani utainukaWho is this guy? Kawaruka Lt. Gens wawili au more kampandishwa kutoka Maj. Gen kuwa Full Gen?
Yaani kutoka two stars Gen kuwa four stars Gen?
Kama alivyomrusha Hamduni
I know VETTING MATTERS but NGOJA tufuatilie CV yake VS ALIOWARUKA
======+
I'll come back for more
Ungependekeza ww basiHainiusu,uyo atakuwa kapendekezwa na Mabeyo
Kwa wale wasioelewa, Lt General anakuwa mmoja ktk jeshi la TZ. Kwa hiyo sio kweli kuwa amewaruka Lt Generals akamchukua Major General.Who is this guy? Kawaruka Lt. Gens wawili au more kampandishwa kutoka Maj. Gen kuwa Full Gen?
Yaani kutoka two stars Gen kuwa four stars Gen?
Kama alivyomrusha Hamduni
I know VETTING MATTERS but NGOJA tufuatilie CV yake VS ALIOWARUKA
======+
I'll come back for more