Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

Uteuzi mzuri wenye dalili za kuijibu hii hoja, Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine? Tangu kuanzishwa kwake JWTZ mwaka 1964, baada ya Luteni Generali mmoja tuu mwenye jina la Abdalah, ambaye alikuja kuwa CDF, leo ndio Luteni Generali wa mwingine mwenye jina la Salumu ameteuliwa, akiwa ndie Mzanzibari wa kwanza kufikia cheo hicho, na hivyo kuweka a possibility ya Tanzania kuja kupata CDF kutoka upande wa pili wa Muungano in future.
NB. Naomba kuweka caveats ya kutuhumiwa mbaguzi, makabila na mdini, amini usiamini my concern were bonafide genuine kuuliza mbona ma CDF wote ni kutoka upande mmoja na dini moja?. Unaweza kukuta no one noticed anything mpaka baada ya concern, ndio watu wakajiuliza, hivyo ikabidi kaji affirmative action kafanyike kumuondoa Luteni Generali aliyefuata kwenye normal progression ya kuja kuwa CDF, ili to create a room ya mtu wa kwanza wa upande wa pili naye aweze kuwa Luteni Generali!. Na kwa faida ya wanajukwa hili Pasco Mayalla kabla ya kuwa mtangazaji wa RTD, alipitia JKT Makotupora na MMJKT, kisha akajiunga straight na JWTZ Airwing na kuajiriwa with MT. Number, na sasa ni askari wa akiba, ikitangazwa vita sisi ndio tunatangulizwa mbele ili tuwe chambo.
P
Siamini kama umemsahau ABDALLAH TWALIPO
 
Uteuzi mzuri wenye dalili za kuijibu hii hoja, Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine? Tangu kuanzishwa kwake JWTZ mwaka 1964, baada ya Luteni Generali mmoja tuu mwenye jina la Abdalah, ambaye alikuja kuwa CDF, leo ndio Luteni Generali wa mwingine mwenye jina la Salumu ameteuliwa, akiwa ndie Mzanzibari wa kwanza kufikia cheo hicho, na hivyo kuweka a possibility ya Tanzania kuja kupata CDF kutoka upande wa pili wa Muungano in future.
NB. Naomba kuweka caveats ya kutuhumiwa mbaguzi, makabila na mdini, amini usiamini my concern were bonafide genuine kuuliza mbona ma CDF wote ni kutoka upande mmoja na dini moja?. Unaweza kukuta no one noticed anything mpaka baada ya concern, ndio watu wakajiuliza, hivyo ikabidi kaji affirmative action kafanyike kumuondoa Luteni Generali aliyefuata kwenye normal progression ya kuja kuwa CDF, ili to create a room ya mtu wa kwanza wa upande wa pili naye aweze kuwa Luteni Generali!. Na kwa faida ya wanajukwa hili Pasco Mayalla kabla ya kuwa mtangazaji wa RTD, alipitia JKT Makotupora na MMJKT, kisha akajiunga straight na JWTZ Airwing na kuajiriwa with MT. Number, na sasa ni askari wa akiba, ikitangazwa vita sisi ndio tunatangulizwa mbele ili tuwe chambo.
P
Sorry kweli nawaza if we have such type of people on secret room how Tz will look like 2070.. i think tutakuwa slave. Hii sio karne yakuonge makabila dini au rangi au jinsia ktk maeneo nyeti ya taifa. Dunia imeshatoka huko if ye think kabila, dini au jinsia ndio majibu ya shida zetu na hali yetu kwa sasa P i'm sorry. I think binafsi naogopa sana aina ya mfumo taifa langu unauwendea. Mfumo usio taka challenge, mfumo wa walamba miguu mezani mwa bwana zao mfumo wa mtu mmoja ndio kula yako. Mfumo huu hauwez kutuacha salama. Tunahitaji system imara na watu walio na uwezo wajuu from brain to physical yani tunataka mfumo kama wa mataifa yenye nguvu. Mkuu wa majeshi ya UK anawaambia wanajeshi wake kaeni tayari kwa vita hii sio jambo dogo yani mifumo yao yakiusalama ipo vizuri. Taifa hili na aina ya watu ambao tuna take eazy mambo siku moja tutachekea chooni. Yes we know mataifa jirani wanavyomezea kila kitu cha taifa ila and we know kutokana na uchama na mambo ya siasa tumelala usingiz wa pono... God have a Mercy on Us Tanzanian.
 
Soma tena, kama hujaona nitakusomea

Uteuzi mzuri wenye dalili za kuijibu hii hoja, Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine? Tangu kuanzishwa kwake JWTZ mwaka 1964, baada ya Luteni Generali mmoja tuu mwenye jina la Abdalah, ambaye alikuja kuwa CDF, leo ndio Luteni Generali wa mwingine mwenye jina la Salumu ameteuliwa, akiwa ndie Mzanzibari wa kwanza kufikia cheo hicho, na hivyo kuweka a possibility ya Tanzania kuja kupata CDF kutoka upande wa pili wa Muungano in future.
NB. Naomba kuweka caveats ya kutuhumiwa mbaguzi, makabila na mdini, amini usiamini my concern were bonafide genuine kuuliza mbona ma CDF wote ni kutoka upande mmoja na dini moja?. Unaweza kukuta no one noticed anything mpaka baada ya concern, ndio watu wakajiuliza, hivyo ikabidi kaji affirmative action kafanyike kumuondoa Luteni Generali aliyefuata kwenye normal progression ya kuja kuwa CDF, ili to create a room ya mtu wa kwanza wa upande wa pili naye aweze kuwa Luteni Generali!. Na kwa faida ya wanajukwa hili Pasco Mayalla kabla ya kuwa mtangazaji wa RTD, alipitia JKT Makotupora na MMJKT, kisha akajiunga straight na JWTZ Airwing na kuajiriwa with MT. Number, na sasa ni askari wa akiba, ikitangazwa vita sisi ndio tunatangulizwa mbele ili tuwe chambo.
P

Baada ya Nyerere kupinduliwa na jeshi mwaka 1964, alipandisha vyeo watu waliomsapoti na kati ya hao waliomsapoti kulikuwa na wakabila. Mfano mzuri ni Musuguri alikuwa anashutumiwa kuwapendelea watu wa kanda ya ziwa.
 
Imetimia

TOKA MAKTABA:

Kufuatana na muundo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania chini ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo, kuna maafisa wakuu wa juu wafuatao :

HABARI TOKA MAKTABA MTANDAONI


Luteni Jenerali Mathew E. Mkingule Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ni Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa 14 tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa awamu ya sita Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 21 Agosti, 2021.

Muundo wa TPDF kuna wakuu wafuatao wa kamandi 5 source : Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
  • Rear Admiral Michael Mwanandenje Mumanga aliteuliwa kuongoza Kamandi ya Jeshi la Wanamaji kuanzia Aug 2021 hadi sasa.
  • Kamandi ya nchi kavu Meja Jenerali Anthony Chacha Sibuti
  • Meja Jenerali Shabani B. Mani aliteuliwa kuwa Kamanda wa Jeshi la Anga kuanzia tarehe 23 Aug 2021 hadi sasa
  • Meja Jenerali Rajabu Mabele mkuu wa JKT kuanzia tarehe 19 May 2021 hadi sasa
  • Kamandi ya MMJ Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi Meja Jenerali Ramson Godwin Mwaisaka kuanzia tarehe 01 Jun 21, baada ya kupandishwa cheo kipya kuwa Meja Jenerali
  • Mkuu wa Utumishi Jeshini Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli
  • Mkuu wa Chuo Cha Ulinzi wa Taifa-NDC Meja Jenerali Ibrahim Mhona
  • Meja jenerali JJ Mkunda mkuu wa operesheni JWTZ


10 June 2022

Mkuu wa operesheni wa JWTZ meja jenerali J.J Mkunda azungumza na wapiganaji waliomaliza mazoezi ya utayari




14 Juni 2022
Dodoma, Tanzania

SIKU YA BAJETI

Jenerali Venance Mabeyo na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wafika Bungeni kusikiliza bajeti ya serikali mwaka 2022/ 2023


So she chose last one in the group 🤔🤔
 
29 June 2022

Wakati huohuo Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule kuwa Balozi ambapo kabla ya uteuzi huo alikuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
 
Back
Top Bottom