Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

Uteuzi mzuri wenye dalili za kuijibu hii hoja, Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine? Tangu kuanzishwa kwake JWTZ mwaka 1964, baada ya Luteni Generali mmoja tuu mwenye jina la Abdalah, ambaye alikuja kuwa CDF, leo ndio Luteni Generali wa mwingine mwenye jina la Salumu ameteuliwa, akiwa ndie Mzanzibari wa kwanza kufikia cheo hicho, na hivyo kuweka a possibility ya Tanzania kuja kupata CDF kutoka upande wa pili wa Muungano in future.
NB. Naomba kuweka caveats ya kutuhumiwa mbaguzi, makabila na mdini, amini usiamini my concern were bonafide genuine kuuliza mbona ma CDF wote ni kutoka upande mmoja na dini moja?. Unaweza kukuta no one noticed anything mpaka baada ya concern, ndio watu wakajiuliza, hivyo ikabidi kaji affirmative action kafanyike kumuondoa Luteni Generali aliyefuata kwenye normal progression ya kuja kuwa CDF, ili to create a room ya mtu wa kwanza wa upande wa pili naye aweze kuwa Luteni Generali!. Na kwa faida ya wanajukwa hili Pasco Mayalla kabla ya kuwa mtangazaji wa RTD, alipitia JKT Makotupora na MMJKT, kisha akajiunga straight na JWTZ Airwing na kuajiriwa with MT. Number, na sasa ni askari wa akiba, ikitangazwa vita sisi ndio tunatangulizwa mbele ili tuwe chambo.
P
Nakubaliana na wewe mkuu ila sidhani kama kumtoa Lt. Gen M. E. Mkingule na kumpa ubalozi ni njia ya kumtafutia nafasi aliyekuwa Maj. Gen Othman ili kubalance kwasababu yule ni mnzanzibari uzuri wewe kama ulivyojieleza hapo unafahamu utaratibu na miongozo ukifuatilia vizuri utakuja kujua kwanini CoS kapewa ubalozi mkuu wangu P
 
Who is this guy? Kawaruka Lt. Gens wawili au more kampandishwa kutoka Maj. Gen kuwa Full Gen?

Yaani kutoka two stars Gen kuwa four stars Gen?

Kama alivyomrusha Hamduni
I know VETTING MATTERS but NGOJA tufuatilie CV yake VS ALIOWARUKA

======+
I'll come back for more
View attachment 2276717

Ukirukwa huwezi kubakizwa; utasukumwa kwenda kwenye ubalozi.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali, na amemteua kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF).

Kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Tawi la Operesheni na Mafunzo katika Makao Makuu ya Jeshi.

====

RAIS, Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali na amemteua kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (Chief of Defence Forces – CDF).

Kabla ya Uteuzi huo, Mkunda alikuwa Mkuu wa Tawi la Operesheni na Mafunzo katika Makao Makuu ya Jeshi (Chief of Operations and Training).

Rais Samia pia amempandisha Cheo Meja Jenerali Salum Haji Othman kuwa Luteni Jenerali na amemteua kuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (Chief of Staff – C of S).

Kabla ya uteuzi huo Meja Jenerali Othman alikuwa Kamishna wa Utafiti na Maendeleo Jeshini (Commissioner for Research and Military Development) katika Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.

Vile vile amemteua Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule kuwa Balozi ambapo kabla ya uteuzi huo alikuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Uapisho utafanyika tarehe 30/06/2022 saa saba mchana Ikulu, jijini Dar es Salaam.



View attachment 2276626

View attachment 2276683
Picha: Meja Jenerali Jacob John Mkunda
Safi sana lijamaa limejaa kiume kabisa yaani unaona kabisa hili ni CDF kakamavu, emoji ya msuli. Hongera Mheshimiwa Rais kutupatia jembe jingine.
 
Nakubaliana na wewe mkuu ila sidhani kama kumtoa Lt. Gen M. E. Mkingule na kumpa ubalozi ni njia ya kumtafutia nafasi aliyekuwa Maj. Gen Othman ili kubalance kwasababu yule ni mnzanzibari uzuri wewe kama ulivyojieleza hapo unafahamu utaratibu na miongozo ukifuatilia vizuri utakuja kujua kwanini CoS kapewa ubalozi mkuu wangu P

Kijeshi, ingekuwa insult kwa Mkingule kujikuta ghafla yuko chini ya mtu ambaye alikuwa chini. Kuondolewa pale ilikuwa lazima.
 
Sorry kweli nawaza if we have such type of people on secret room how Tz will look like 2070.. i think tutakuwa slave. Hii sio karne yakuonge makabila dini au rangi au jinsia ktk maeneo nyeti ya taifa. Dunia imeshatoka huko if ye think kabila, dini au jinsia ndio majibu ya shida zetu na hali yetu kwa sasa P i'm sorry. I think binafsi naogopa sana aina ya mfumo taifa langu unauwendea. Mfumo usio taka challenge, mfumo wa walamba miguu mezani mwa bwana zao mfumo wa mtu mmoja ndio kula yako. Mfumo huu hauwez kutuacha salama. Tunahitaji system imara na watu walio na uwezo wajuu from brain to physical yani tunataka mfumo kama wa mataifa yenye nguvu. Mkuu wa majeshi ya UK anawaambia wanajeshi wake kaeni tayari kwa vita hii sio jambo dogo yani mifumo yao yakiusalama ipo vizuri. Taifa hili na aina ya watu ambao tuna take eazy mambo siku moja tutachekea chooni. Yes we know mataifa jirani wanavyomezea kila kitu cha taifa ila and we know kutokana na uchama na mambo ya siasa tumelala usingiz wa pono... God have a Mercy on Us Tanzanian.
Hoja nzito sana.... Uko sahihi mkuu
 
Taarifa inaeleza kwamba Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, ili kuziba pengo lililoachwa na na Venance Mabeyo anayestaafu kwa mujibu wa Sheria.

Kwangu mimi General Mkunda ni jina jipya kabisa, Naomba mwenye kuufahamu wasifu wa kiongozi huyu atuwekee hapa tumfahamu, japo kwa ufupi tu ili tusiingie ndani sana kwenye mambo ya Kijeshi.

Natanguliza shukrani
Huyu Generali ni Kabila gani ?
Ninachojua Mnadhimu katoke Upande a pili wa Nchi, tuna Balance
 
Taarifa inaeleza kwamba Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, ili kuziba pengo lililoachwa na na Venance Mabeyo anayestaafu kwa mujibu wa Sheria.

Kwangu mimi General Mkunda ni jina jipya kabisa, Naomba mwenye kuufahamu wasifu wa kiongozi huyu atuwekee hapa tumfahamu, japo kwa ufupi tu ili tusiingie ndani sana kwenye mambo ya Kijeshi.

Natanguliza shukrani
JWTZ mtu yeyote akifika cheo cha Brigadier General ujue ni jembe; usiulize uwezo wake. Ni Shimbo tu aliyetaka kulifanya Jeshi kama chombo cha siasa lakini pia hakufanikiwa.
 
Who is this guy? Kawaruka Lt. Gens wawili au more kampandishwa kutoka Maj. Gen kuwa Full Gen?

Yaani kutoka two stars Gen kuwa four stars Gen?

Kama alivyomrusha Hamduni
I know VETTING MATTERS but NGOJA tufuatilie CV yake VS ALIOWARUKA

======+
I'll come back for more
View attachment 2276717
Wale maluteni jenerelai waliorukwa wana umri mkubwa wanakaribia kustaafu. Nadhani wote watastaafu ndani ya mwaka mmoja au miwili tu. Anatakiwa CDF adumu angalu miaka mitano kabla ya kufikia umri wa kustaafu, kwa hiyo ilikuwa ni lazima kutafuta damu changa.
 
Toka maktaba :

Toka maktaba :
Up dates 19 May 2022 toka mitandaoni

Mkuu wa majeshi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo aliongozana na maofisa wajuu waandamizi bungeni wakati wa bajeti ya wizara ya ulinzi, spika wa Bunge akawatambulisha :



  • Luteni jenerali Mathew Edward Mkingule mnadhimu mkuu wa jeshi
  • Meja Jenerali Anthony Chacha Sibuti mkuu kamandi ya jeshi la nchi kavu
  • Meja jenerali Rajabu Nduku Mabele mkuu wa JKT
  • Meja jenerali Amri Salim Mwamy mkuu wa tiba jeshini
  • Meja jenerali Ibrahim Michael Mhona mkuu wa chuo cha ulinzi cha taifa NDC
  • Rear Admiral Ramson Godwin Mwaisaka mkuu wa kamadi ya jeshi la wanamaji
  • Meja Jenerali Shabani Mani mkuu wa kamadi ya anga
  • Meja jenerali Jacob John Mkunda operesheni na utendaji wa kivita
  • Meja Jenerali Salim Othman mkuu tafiti na maendeleo ya jeshi
  • Meja Jenerali Hawa Issa Kodi mkuu wa logistics na uhandisi jeshini
  • Brigedia jenerali Iddi Saidi Nkambi mkuu wa kamandi Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi MMJ
  • Brigedia Jenerali Fadhili Nondo mkuu vikosi Zanzibar
 
Back
Top Bottom