Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Naona mnasapotiana upumbavu.[emoji1787][emoji1787][emoji106]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mnasapotiana upumbavu.[emoji1787][emoji1787][emoji106]
Kwani Rais akiwa nje ya nchi si Rais?!!Mama si yupo marekani?, huyu alifanya huu uteuzi ni nani??
Huyu ndugu Mavere Tukai ni "kichwa" haswaa.....
Ni "pharmaceutical management specialist"....
Jamaa yuko FOCUSED na DETERMINED sana.....
Alikuwa pale USAID....wamarekani wanamfahamu kwa uwezo mkubwa alionao....watammiss sana.....
Imefika muda atutumikie katika MSD.....
Kila la heri kwake kamarada Mavere Tukai ,amen[emoji120]
#Siempre JMT[emoji120]
#YetzerHatov[emoji120]
Relax mkuu....Naona mnasapotiana upumbavu.
Anafanyia huko huko New York. Huyu mama tumepigwa.Mama si yupo marekani?, huyu alifanya huu uteuzi ni nani??
Issue ni maelekezo ya Wakubwa kwny Taasisi za umma usidhan waliokuwepo huko ni 'vilaza'
jibu swali , uchawa wako kwa mteule usiusambaze JF , hatutakubaliUnamkumbuka mzee MTEI ?!!!
[emoji28] Eti tumepigwa.Kwani alichaguliwa na nani[emoji2]Anafanyia huko huko New York. Huyu mama tumepigwa.
Mama si yupo marekani?, huyu alifanya huu uteuzi ni nani??
🤣🤣Ila langu si swali ?!!jibu swali , uchawa wako kwa mteule usiusambaze JF , hatutakubali
😍Tangazo la uteuzi limetoka leo sio kuwa kateua leo
Acheni kuingilia mamlaka.Mama si yupo marekani?, huyu alifanya huu uteuzi ni nani??
😳🤣🤣Namba mbili kazingua sana huyu mama yetu mbona ameshindwa kumaliza kuwa amechukua nafasi ya fulani bin fulani 🥺
😍Acheni kuingilia mamlaka.
Hao walishateuliwa confidential Sikh nyingi, walikuwa wanasubiri siku yakutangazwa tu.
huna hoja , akina pascal walisifu makonda humu na tuliwaonya , leo wanadhalilika tu[emoji1787][emoji1787]Ila langu si swali ?!!
Yaani chawa uwe wewe tu humu JF...ukitusambazia uchawa wako kwa Mbowe na kule ukweni kwake sisi tukubali eee?!! Si ndio ?!!!
Tuendako tutauona mwanga.....Hii MSD ni moja ya mashirika yenye pepo mchafu. Huyu mtendaji Mkuu mpya ndio kaja na yale maagizo ya kuifumua MSD aka bohari kuu ya madawa ya binadamu.
🤣🤣🤣huna hoja , akina pascal walisifu makonda humu na tuliwaonya , leo wanadhalilika tu
Tuendako tutauona mwanga.....
#Siempre JMT🙏