YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Nampongeza Raisi kuanza kuteua wenye uwezo toka private sector watasaidia sana nchi na kubadilisha utendaji kwenye taasisi kutoka business as usual
Wengi serikalini sio wabunifu ni wafanyakazi kwa mazoea
Taasisi nyingi za umma na ubalozini vizuri zipate watu toka private sector
Wengi serikalini sio wabunifu ni wafanyakazi kwa mazoea
Taasisi nyingi za umma na ubalozini vizuri zipate watu toka private sector