mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Eh...Huyu Mavere Tukai ni "pharmaceutical management specialist".....amebobea haswa na ana IQ nzuri na anapenda KUSIKILIZA sana......
Mkuu wangu Nyboma kwa heshima ya ulipopita na kufanya kazi kama mzalendo si vema kuwakandia watanzania wenzako....
#Against Bigotry [emoji120]
#Against Any Form Of Prejudice And Discrimination [emoji120]
SIEMPRE JMT[emoji120]
Wabongo bana ehe jamaa ni kichwaa haswa..... very smart
Ova