Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Samia hadi 2035!.Mjema alipwaya sana
Hiyo nafasi za uenezi walizitendea haki akina Nape
Humprey Polepole tatizo lake alilewa sifa na kujiona yeye ndio yeye mbele ya bosi wake
Hiyo ni kazi ya propaganda na mikakati
Acha arudiKwahio aliyoyasema Kigogo Huko Twitter (X) yanaenda kutimia? Bashite anarudi KWELI??
Afadhali!, sasa bado mmoja KM!. Nadhani Rais Samia ni msikikivu sana!.View attachment 2788882
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua ndugu Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.
Kabla ya uteuzi huu Bi. Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM.
Watanzania mnavyojua kukosoa wenzenu hamjambo! Hapo ukute kuandika hata page moja kiingereza hujui!Mjema alipwaya sana
Sophia hana convicing Power yeyote
Hiyo nafasi za uenezi walizitendea haki akina Nape na Polepole
Humprey Polepole tatizo lake alilewa sifa na kujiona yeye ndio yeye mbele ya bosi wake
Hiyo ni kazi ya propaganda na mikakati
Waangalie wale wasemaji wa Yanga na Simba wanavyopiga domo na vijembe ndio kazi za uenezi kupiga domo na kujibu mashambulizi ya wapinzani
Chadema wamepeleka moto operation 255 kanda ya ziwa yeye hajaongea lolote anasubiri wabunge watoke mafichoni kwenye majimbo yao na kuanza kulia lia wapate huruma ya wananchi
Sophia alipwaya sana sana
haya zuhura chapa barua nyingine chap ya kumteua makonda hiyo nafasi aliyoacha mjema.View attachment 2788882
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua ndugu Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.
Kabla ya uteuzi huu Bi. Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM.
Ya nani sasa, aliyeteuliwa au aliyetoa taarifaNimeipenda Rangi yake ya Ngozi , nyororo😋
Kwa taarifa yako, sio rangi tuu ya ngozi ndio nyororo, hata sauti ni nyororo ya kumtoa nyoka pangoni, hata ..., naomba nisimalizie... ila hii ni Tanga line!.Nimeipenda Rangi yake ya Ngozi , nyororo😋