Rais Samia amteua Sophia Mjema kuwa Mshauri wake kwenye masuala ya wanawake na makundi maalum

Rais Samia amteua Sophia Mjema kuwa Mshauri wake kwenye masuala ya wanawake na makundi maalum

Mjema alipwaya sana

Sophia hana convicing Power yoyote

Hiyo nafasi za uenezi walizitendea haki akina Nape na Polepole

Humprey Polepole tatizo lake alilewa sifa na kujiona yeye ndio yeye mbele ya bosi wake

Hiyo ni kazi ya propaganda na mikakati

Waangalie wale wasemaji wa Yanga na Simba wanavyopiga domo na vijembe ndio kazi za uenezi kupiga domo na kujibu mashambulizi ya wapinzani

Chadema wamepeleka moto operation 255 kanda ya ziwa yeye hajaongea lolote anasubiri wabunge watoke mafichoni kwenye majimbo yao na kuanza kulia lia wapate huruma ya wananchi

Sophia alipwaya sana sana
Hizo ni sifa za Sa100 pia siyo Sophia tu. Mwenyekiti ni hovyo hata upige propaganda hadi mbinguni utaambulia zero tu.
 
Alipwaya huyu dada na ni kilaza kweli.Siasa haiwezi.Sasa Makonda anakuja.Chadema mlipoa sasa amkeni.Jabali la siasa linarudi mzigoni. Ila nchi hii bila sisi mababa zenu ,sisi wasukuma nchi haiendi.Ngosha in.....
Vipi akiamua kumuweka Chalamila? Sio dizaini ya akina Nape huyu? Hapa shime ni kukwepa sukuma gang kwa hali yoyote ile.

Pia usisahau, Makonda akishika usukani, huwa hana urafiki na msoga clan, mama na msoga clan ni damu damu. Unadhani anaweza ku-overlook hilo?
 
Anajua nini kuhusu wanawake wa Tanzania,anajua nini kuhusu MAKUNDI maalum,yaan teuz zingine ni kichefuchefu tu
 
hongera zako
IMG-20231022-WA0006.jpg
 
Heeeee, au kile kinachosemwa ni kwelii?? Kuna mwamba au miamba miwili ni kama ilisahaulika na inarudishwa rasmi ulingoni.
 
Mjema alipwaya sana

Sophia hana convicing Power yoyote

Hiyo nafasi za uenezi walizitendea haki akina Nape na Polepole

Humprey Polepole tatizo lake alilewa sifa na kujiona yeye ndio yeye mbele ya bosi wake

Hiyo ni kazi ya propaganda na mikakati

Waangalie wale wasemaji wa Yanga na Simba wanavyopiga domo na vijembe ndio kazi za uenezi kupiga domo na kujibu mashambulizi ya wapinzani

Chadema wamepeleka moto operation 255 kanda ya ziwa yeye hajaongea lolote anasubiri wabunge watoke mafichoni kwenye majimbo yao na kuanza kulia lia wapate huruma ya wananchi

Sophia alipwaya sana sana
Tunawaletea makonda sasa.
 
Back
Top Bottom