Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni sifa za Sa100 pia siyo Sophia tu. Mwenyekiti ni hovyo hata upige propaganda hadi mbinguni utaambulia zero tu.Mjema alipwaya sana
Sophia hana convicing Power yoyote
Hiyo nafasi za uenezi walizitendea haki akina Nape na Polepole
Humprey Polepole tatizo lake alilewa sifa na kujiona yeye ndio yeye mbele ya bosi wake
Hiyo ni kazi ya propaganda na mikakati
Waangalie wale wasemaji wa Yanga na Simba wanavyopiga domo na vijembe ndio kazi za uenezi kupiga domo na kujibu mashambulizi ya wapinzani
Chadema wamepeleka moto operation 255 kanda ya ziwa yeye hajaongea lolote anasubiri wabunge watoke mafichoni kwenye majimbo yao na kuanza kulia lia wapate huruma ya wananchi
Sophia alipwaya sana sana
Na Waziri Dr Dorothy Gwajima kazi yake inakuwa nini!View attachment 2788882
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua ndugu Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.
Kabla ya uteuzi huu Bi. Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM.
Afadhali!, sasa bado mmoja KM!. Nadhani Rais Samia ni msikikivu sana!.
Sijui kama Katibu ajaye wa uenezi, ataendeleza mazuri ya Sofia kama mpango mkakati huu
View: https://youtu.be/YcaZuXTEgec?si=9JM3FoQx_IvvM4qL
P
Vipi akiamua kumuweka Chalamila? Sio dizaini ya akina Nape huyu? Hapa shime ni kukwepa sukuma gang kwa hali yoyote ile.Alipwaya huyu dada na ni kilaza kweli.Siasa haiwezi.Sasa Makonda anakuja.Chadema mlipoa sasa amkeni.Jabali la siasa linarudi mzigoni. Ila nchi hii bila sisi mababa zenu ,sisi wasukuma nchi haiendi.Ngosha in.....
Ili siasa ichangamke,Polepole apewe nafasi ya Katibu Mkuu na Makonda Uenezi!Karibu nyumbani Dr Emmanuel Nchimbi 😂
Makonda ndiye Muenezi mpyaIli siasa ichangamke,Polepole apewe nafasi ya Katibu Mkuu na Makonda Uenezi!
Hapo patamu ila Mwenezi wa CHADEMA ni nani?uwanja wa siasa umepoa sana!Makonda ndiye Muenezi mpya
John MremaHapo patamu ila Mwenezi wa CHADEMA ni nani?uwanja wa siasa umepoa sana!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Nakuibia siri, bashite na baadhi ya mabaki ya mwendazake yanarudishwa kinachotafutwa sasa ni namna ya kupenyezwa bila kuleta kelele mingiKwahio aliyoyasema Kigogo Huko Twitter (X) yanaenda kutimia? Bashite anarudi KWELI??
Tunawaletea makonda sasa.Mjema alipwaya sana
Sophia hana convicing Power yoyote
Hiyo nafasi za uenezi walizitendea haki akina Nape na Polepole
Humprey Polepole tatizo lake alilewa sifa na kujiona yeye ndio yeye mbele ya bosi wake
Hiyo ni kazi ya propaganda na mikakati
Waangalie wale wasemaji wa Yanga na Simba wanavyopiga domo na vijembe ndio kazi za uenezi kupiga domo na kujibu mashambulizi ya wapinzani
Chadema wamepeleka moto operation 255 kanda ya ziwa yeye hajaongea lolote anasubiri wabunge watoke mafichoni kwenye majimbo yao na kuanza kulia lia wapate huruma ya wananchi
Sophia alipwaya sana sana