ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Anakuja BashiteBashite ? ....au pole pole ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakuja BashiteBashite ? ....au pole pole ?
Zuhura hawezi kuchapa barua ya CCM!haya zuhura chapa barua nyingine chap ya kumteua makonda hiyo nafasi aliyoacha mjema.
Huwezi kuwa na convince power kama serikali iliyopo ni hohe hahe kama ya huyu mama ,utawezaje kuiteteaMjema alipwaya sana
Sophia hana convicing Power yoyote
Hiyo nafasi za uenezi walizitendea haki akina Nape na Polepole
Humprey Polepole tatizo lake alilewa sifa na kujiona yeye ndio yeye mbele ya bosi wake
Hiyo ni kazi ya propaganda na mikakati
Waangalie wale wasemaji wa Yanga na Simba wanavyopiga domo na vijembe ndio kazi za uenezi kupiga domo na kujibu mashambulizi ya wapinzani
Chadema wamepeleka moto operation 255 kanda ya ziwa yeye hajaongea lolote anasubiri wabunge watoke mafichoni kwenye majimbo yao na kuanza kulia lia wapate huruma ya wananchi
Sophia alipwaya sana sana
Hatupo hapa kuangalia ulaini au ugumu wa ngozi ya suraNimeipenda Rangi yake ya Ngozi , nyoro
Kumbe kujuwa Kiingereza ndiyo kipimo cha akili kwako? Wajapan wasiojuwa Kiingereza unawachukuliaje?Watanzania mnavyojua kukosoa wenzenu hamjambo! Hapo ukute kuandika hata page moja kiingereza hujui!
Nikuambie kitu kabla ya uchaguzi wa ndani CCM 2015.Makonda alikuwa team Membe damu damu .Alikuwa clan ya Msonga deep kabisa.Sema Magufuli aliposhinda CCM Makonda ikabidi alale mbele na Magufuli. Ndo Siasa.Kufuata upepo.Vipi akiamua kumuweka Chalamila? Sio dizaini ya akina Nape huyu? Hapa shime ni kukwepa sukuma gang kwa hali yoyote ile.
Pia usisahau, Makonda akishika usukani, huwa hana urafiki na msoga clan, mama na msoga clan ni damu damu. Unadhani anaweza ku-overlook hilo?
Ya CCM itawekwa usiku saa sita .Pitia kurasa za CCM .Mitandao ya jamii.Zuhura hawezi kuchapa barua ya CCM!
super sub is loading.....View attachment 2788882
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua ndugu Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.
Kabla ya uteuzi huu Bi. Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM.
Inawezekana ILA damage aliyoifanya baada ya kushika madaraka ILIDHIHIRISHA kuwa yeye ni mfuata fursa, kama aliweza kufunga gidamu za viatu vya Ridhi na kisha kuwageuka vile, ni wazi kuwa ANAFAA kuwa chaguo la KIONGOZI yeyote akiwa madarakani kwakuwa ni KINYONGA mahiri kuwahi kutokea.Nikuambie kitu kabla ya uchaguzi wa ndani CCM 2015.Makonda alikuwa team Membe damu damu .Alikuwa clan ya Msonga deep kabisa.Sema Magufuli aliposhinda CCM Makonda ikabidi alale mbele na Magufuli. Ndo Siasa.Kufuata upepo.
Alipwaya wapi nani kakwambia..kwani unalinganishaje ili kumtathmini mtu kwa nafasi hii..ungefafanua ingependezaAlipwaya
Maskini CCM dahNakuibia siri, bashite na baadhi ya mabaki ya mwendazake yanarudishwa kinachotafutwa sasa ni namna ya kupenyezwa bila kuleta kelele mingi
Helium ni mwepesiiiiii sana yule ila naamini taifa halitarudi huku kosa lililofanyika 2015 halitarudiwa tenaMaskini CCM dah
haya zuhura chapa barua nyingine chap ya kumteua makonda hiyo nafasi aliyoacha mjema.
John Mrema
CCM ya Magufuli ndio ilikuwa org Maana kabla ya Magufuli mavazi ya CCM yalionekana taka taka mtaani, mpaka CCM wenyewe waliyakimbia walikuwa wanatembea nayo kwenye mikoba wakifika kwenye tukio ndio wanatoa na kuvaa,shughuli ilikuwa ikiisha wanarudisha kwenye mikoba yao, baada ya Magufuli kushika hatamu sare za CCM zikarudi kwenye chat, mpaka watu kwenda kuomba kazi anavaa sare ya ccm,mda si mrefu tunarudi huko kuonekana umevaa sare ya ccm kuitatwa msaliti au kuzomewa, Sasahivi hata mikutano yao watu mpaka wapewe posho ndipo waende, ngoja tuone mpaka 2025 itakuwaje, Maana Kikwete aliisha sema mambo yasipo haribika sana Samia tutakuwa nae ila kwa jicho la mwewe simwoni Samia.Helium ni mwepesiiiiii sana yule ila naamini taifa halitarudi huku kosa lililofanyika 2015 halitarudiwa tena
Siyo Gonja Milimani?Kwa taarifa yako, sio rangi tuu ya ngozi ndio nyororo, hata sauti ni nyororo ya kumtoa nyoka pangoni, hata ..., naomba nisimalizie... ila hii ni Tanga line!.
P