Rais Samia amteua Sophia Mjema kuwa Mshauri wake kwenye masuala ya wanawake na makundi maalum

Rais Samia amteua Sophia Mjema kuwa Mshauri wake kwenye masuala ya wanawake na makundi maalum

Mjema alipwaya sana

Sophia hana convicing Power yoyote

Hiyo nafasi za uenezi walizitendea haki akina Nape na Polepole

Humprey Polepole tatizo lake alilewa sifa na kujiona yeye ndio yeye mbele ya bosi wake

Hiyo ni kazi ya propaganda na mikakati

Waangalie wale wasemaji wa Yanga na Simba wanavyopiga domo na vijembe ndio kazi za uenezi kupiga domo na kujibu mashambulizi ya wapinzani

Chadema wamepeleka moto operation 255 kanda ya ziwa yeye hajaongea lolote anasubiri wabunge watoke mafichoni kwenye majimbo yao na kuanza kulia lia wapate huruma ya wananchi

Sophia alipwaya sana sana
Huwezi kuwa na convince power kama serikali iliyopo ni hohe hahe kama ya huyu mama ,utawezaje kuitetea
 
Vipi akiamua kumuweka Chalamila? Sio dizaini ya akina Nape huyu? Hapa shime ni kukwepa sukuma gang kwa hali yoyote ile.

Pia usisahau, Makonda akishika usukani, huwa hana urafiki na msoga clan, mama na msoga clan ni damu damu. Unadhani anaweza ku-overlook hilo?
Nikuambie kitu kabla ya uchaguzi wa ndani CCM 2015.Makonda alikuwa team Membe damu damu .Alikuwa clan ya Msonga deep kabisa.Sema Magufuli aliposhinda CCM Makonda ikabidi alale mbele na Magufuli. Ndo Siasa.Kufuata upepo.
 
Nikuambie kitu kabla ya uchaguzi wa ndani CCM 2015.Makonda alikuwa team Membe damu damu .Alikuwa clan ya Msonga deep kabisa.Sema Magufuli aliposhinda CCM Makonda ikabidi alale mbele na Magufuli. Ndo Siasa.Kufuata upepo.
Inawezekana ILA damage aliyoifanya baada ya kushika madaraka ILIDHIHIRISHA kuwa yeye ni mfuata fursa, kama aliweza kufunga gidamu za viatu vya Ridhi na kisha kuwageuka vile, ni wazi kuwa ANAFAA kuwa chaguo la KIONGOZI yeyote akiwa madarakani kwakuwa ni KINYONGA mahiri kuwahi kutokea.

Zaidi, nitajie mwanachama yeyote wa KIJANI asiyekuwa KINYONGA dizaini ya Makonda?
 
Hii nafasi Nape ilimfaa mno mno japo ana makandokando ila kwenye ukwl usemekane.....Mzee wa BAO la mkono
 
Helium ni mwepesiiiiii sana yule ila naamini taifa halitarudi huku kosa lililofanyika 2015 halitarudiwa tena
CCM ya Magufuli ndio ilikuwa org Maana kabla ya Magufuli mavazi ya CCM yalionekana taka taka mtaani, mpaka CCM wenyewe waliyakimbia walikuwa wanatembea nayo kwenye mikoba wakifika kwenye tukio ndio wanatoa na kuvaa,shughuli ilikuwa ikiisha wanarudisha kwenye mikoba yao, baada ya Magufuli kushika hatamu sare za CCM zikarudi kwenye chat, mpaka watu kwenda kuomba kazi anavaa sare ya ccm,mda si mrefu tunarudi huko kuonekana umevaa sare ya ccm kuitatwa msaliti au kuzomewa, Sasahivi hata mikutano yao watu mpaka wapewe posho ndipo waende, ngoja tuone mpaka 2025 itakuwaje, Maana Kikwete aliisha sema mambo yasipo haribika sana Samia tutakuwa nae ila kwa jicho la mwewe simwoni Samia.
 
Back
Top Bottom