lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Mjema alipwaya sana
Sophia hana convicing Power yoyote
Hiyo nafasi za uenezi walizitendea haki akina Nape na Polepole
Humprey Polepole tatizo lake alilewa sifa na kujiona yeye ndio yeye mbele ya bosi wake
Hiyo ni kazi ya propaganda na mikakati
Waangalie wale wasemaji wa Yanga na Simba wanavyopiga domo na vijembe ndio kazi za uenezi kupiga domo na kujibu mashambulizi ya wapinzani
Chadema wamepeleka moto operation 255 kanda ya ziwa yeye hajaongea lolote anasubiri wabunge watoke mafichoni kwenye majimbo yao na kuanza kulia lia wapate huruma ya wananchi
Sophia alipwaya sana sana
Pia, nafasi ya Katibu Mkuu aliyepo amepwaya sana.