Rais Samia amteua Sophia Mjema kuwa Mshauri wake kwenye masuala ya wanawake na makundi maalum

Pia, nafasi ya Katibu Mkuu aliyepo amepwaya sana.
 
Anakula pesa ya Bure tuu.

Nani Huwa anaenda kumshauri Rais zaidi ya cabinet na vyombo?
 
Haya ya Makonda kuwa mwenezi yasije kujirudia ya Salim kuwa Semaji la Taifa, mwisho wa siku ikawa ni mwengine

Tuweke akiba ya maneno na muda ni mwalimu mzuri
 
haya zuhura chapa barua nyingine chap ya kumteua makonda hiyo nafasi aliyoacha mjema.
Yaani zamu hii makonda hajapata bahati mbaya kama Kikeke ambaye walipreanounce uteuzi wake wa ukurugenzi wa habari akapigwa chini huyu ametangazwa kabla na kateuliwa vilevile!
 
Yaani zamu hii makonda hajapata bahati mbaya kama Kikeke ambaye walipreanounce uteuzi wake wa ukurugenzi wa habari akapigwa chini huyu ametangazwa kabla na kateuliwa vilevile!
Makonda anaishi kwa ushirikina na mbinu zote chafu
 
Duuh nepi nae wampe ushauri kina baba na vijana ndio pana mfaa.
 
Boznia huko Lushoto kaa mguu sawa wakati wa kupasha kiporo chako ni sasa ili ukaribie kilipo chungu.
 
Mbona alimfungia kamba za viatu RizOne ??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…