Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Ingawa ni baadhi yao ila kwa kiasi inazidi kudhihirisha mwanamke kuwa na madaraka ya juu ni tatizo katika jamii haswa kwa katiba kama yetu, sio mbali sana ya ndugai tulivyo shuhudia!
Akina Pendaeli tuliwambia jamami Katiba Hii utaipenda tu kama madarakani lakini wakishika wengine ndio utaona uchungu wako. Haya sasa.
 
Zaidi na Zaidi wamefanya Watanzania waanze kuelewa kwamba kuwa swala la bandari ni jambo nyeti sana na ni wazi serikali kuna inacho tetea na kulazimisha!
Hadi mimi mtanzania nisiyekuwa nafuatilia hili suala,nitaanza sasa kufuatilia


Wamenifumbua macho.
 
Msomi wa darasani Dr. Wilbroad Slaa (PhD) ina hadhi kuliko hata ule ubalozi wa kwenda kuzurura kwenye nchi za watu.
 
Huyu mama abdul atakwama tu kanda ya ziwa, CCM kazi mnayo 2025, mtaibaaa wee ila safari hiiiiiii safari kurahii haziibiki....

Kanda ya Ziwa, chimbuko la mabadiliko.
 
Hii imeknyesha serikali ya Dr Samia ni ya hivyo..wangemuachia ubalozi wake ingekuwa na manufaa Kwa upande wako kuliko walivyomuvua
Huwezi jua kuvuliwa hadhi ya ubalozi imemaanisha nini ?

hata kutupilia mbali suala la Katiba mpya pia ni Siasa

Rais alishauriwa sana kuhusu namna ya ku deal na Wapinzani akamuona JPM kama vile hakuwa na ubinadamu sijui hakuwa na utu ! sasa kaelewa bila shaka na nginja nginja mpaka baharini ya Dr Salmeen Amour na Hayati Mzee Mkapa inafanyiwa majaribio na kuna Mjinga mjinga atajichanganya atafanyiwa majaribio
 
Anatetea Taifa ....sio vyeo kibinadamu.....wanaojua historia nchi hii huyo ndio mpinzani no 1 1995 mbunge Karatu wa CDM.....aliwasumbuaaa.....uliza ujue
 
Msomi wa darasani Dr. Wilbroad Slaa (PhD) ina hadhi kuliko hata ule ubalozi wa kwenda kuzurura kwenye nchi za watu.
CCM wameonyesha kufeli, kila mtanzania kachukulia hili kama chuki binafsi.
 
We Slaaa kwa Umuri wake haihitaji hizo mbbwe, nyie ndio wale mnashinda kubeti badala ya kupigania nchi, endelea kubet na kuwaza kwamba sasa Slaa atakoma.

Kwani wakati hajawa Balozi si alikuwa ana safiri? Kuna alicho kuwa anapungukiwa akisafiri?
Siwez kukulaumu kwa kuniita mimi nashinda kubet sababu we are anonymous hapa jf.

Lakini ukweli utabaki pale pale kuwa system ilimtumia dr slaa na baada ya kumalizana nae yeye mwenyewe akafanya mistake ikapata chance ikamdump
 
Kukataliwa na Mpumbavu, sio dhambi.



Kukataliwa na CDM, ilikua ni Haki ya Dr Silaa, kuandaliwa kugombea URAIS Kwa miaka mitano, na dakika za mwisho unapotezewa na kupewa mamuluki, kama mwanaume unayejielewa, lazima uchukue HATUA.



Kukataliwa Upadre, silizungumzii kwakua Sijui taratibu zao.



Bibi yako kazidi kuwaonyesha Watanzania kua Ana Kichwa Cha kuvukia Barabara na kusifia vifua vya wanaume, kuoa Wanawake wawili na maujinga ujinga kama hayo.

Kwa ufupi, URAIS umekua mkubwaaaaa, kapwaya pwaa pwaaa pwaaa
 
Msomi wa darasani Dr. Wilbroad Slaa (PhD) ina hadhi kuliko hata ule ubalozi wa kwenda kuzurura kwenye nchi za watu.
PhD ya Theology aliisaliti kwa kuparamia Wanawake na Ubalozi pia kaunajisi kwa kujaribu kukalia ncha ya Mkuki
 
Hili limama hili[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Siwez kukulaumu kwa kuniita mimi nashinda kubet sababu we are anonymous hapa jf.

Lakini ukweli utabaki pale pale kuwa system ilimtumia dr slaa na baada ya kumalizana nae yeye mwenyewe akafanya mistake ikapata chance ikamdump
Ni Kama Ndugai tu😆😆😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…