Rais Samia ana hali mbaya kuelekea 2025, Wana-CCM wanatamani wapinzani wapewe nchi. Anaweza asipate hata 30% ya kura

Typical JPM mindset
 
Mama piga kazi kanyaga twende tumecheleweshwa kama taifa.
 
Ndioooooo
 
CDM watagombea 2024 katika mazingira yoyote yale, utakuja kuyakana haya maneno yako.
The stakes are too high
 
Rais Samia Suluhu 2025 hana mpinzani watanzania tunamkubali sana haya yote uliyoandika ni mambo ya kufikilika tu na sio kweli ukiingia mtaani ndio utajua mama anakubalika kinoma kwasababu ndani yasiku 567
Rais Samia Suluhu amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo pia ameboresha sekta ya elimu pia sekta ya afya ameimarisha mpaka vijijini ule ugonjwa wa fistula uliokua unatibiwa ccbrt tu sasa unatibika katika mikoa yote Tanzania Rais Samia Suluhu ameupiga mwingi sana aisee
 
Watanzania tunamuelewa sana Rais Samia Suluhu uku mtaani tunaona maendeleo mengi aliyoyafanya maji safi na salama mpaka vijijini umeme sasa unapatikana mpka vijijini pia mikopo yenye mashart nafuu inapatikana
Ikiwa na lengo la kumuinua kijana kiuchumi tutake nini tena jaman
 
Sio weli Rais Samia Suluhu yeye anafanya haki always
 
Hivyo, wapinzani wakijipanga vizuri 2025 na tukawa na Tume Huru, basi uwezekano wa wapinzani kushinda uchaguzi ni mkubwa mno kuanzia kwenye uraisi mpaka ubunge.
Hayo mengine yote ya huko juu sikuyasoma.

Nimesoma kichwa cha mada na huu mstari wa mwisho, nikaona kwamba umetumia muda wako mwingi kuandika uliyoweka hapo juu kwa hasara kwa sababu mstari huu wa mwisho tayari umekwishafuta yote uliyoandika huko juu.

Hakuna cha "wapinzani kujipanga vizuri" kwa lolote bila ya kuwepo kwa mabadiliko katika kuendesha chaguzi.

Tayari unawaona CCM wanavyojipanga toka ngazi ya mtaa hadi juu, kuhakikisha hali haibadiliki, lakini bado watu makini kama wewe wanaimba wimbo wa matumaini?

Hayo matumaini yatatoka wapi?
 
Watanzania wote tumeona maendeleo makubwa aliyoleta Rais Samia Suluhu kwa kipindi cha siku 567 kwaiyo 2025 mama hana haja ya kufanya ata campaign maana matendo yake yanajieleza tupo nae mpaka 2030
 
Swali zuri sana, Upinzani upo Upingaji na Uanaharakati usiojua unataka nini upo pia.
Wapinzani wa atanzania wanajua kukosea kila kitu ndio upinzania hata kama ni maendeleo watapinga tu lakini Rais Samia Suluhu anawaziba midomo a kuwanyima content kwa kufanikiwa kufanya maendeleo katika sekta muhimu zinazowalenga direct wananchi
 
mama hana haja ya kufanya ata campaign
Usimdanganye. weweee!!😁

Watanzania tumeathirika sana na Stockholm syndrome ya Magufuli.

Na kuna sumu inasambazwa kitaa acha kabisa.

Mama ajifunge kibwebwe na kwasababu kamrudisha Kinana ambae ni gwiji la siasa za kistaarabu.

Mama atarudi 2025 kwa mbinde.
 

Sio kushinda ni lazima, sema kutangazwa mshindi ni lazima. Kushinda ni jambo lililoko kwa wananchi, ila kutangaza mshindi ni jambo ambalo rais ana uwezo wa kuingilia na kuamua matokeo atakavyo.
 

Chawa watu walishaamka muda mrefu, au unadhani matumizi ya vyombo vya dola yataendelea kuwa upande wenu kila siku? Machafuko tu ndio yatawaondoa madarakani nyie majizi ya kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…