Rais Samia ana hali mbaya kuelekea 2025, Wana-CCM wanatamani wapinzani wapewe nchi. Anaweza asipate hata 30% ya kura

Rais Samia ana hali mbaya kuelekea 2025, Wana-CCM wanatamani wapinzani wapewe nchi. Anaweza asipate hata 30% ya kura

Hata ije time kutoka marekani Rais Samia na CCM watatangazwa washindi tu wa uchaguzi kutokana na kuwa na Sera na ajenda zinazokubalika kwa watanzania wengi ukilinganisha na upinzani ambao wenyewe Sera na ajenda zao Ni mgombea husika na hisia zake zinavyomtuma na kumpeleka
Mahera alishampa uhakika wa kushinda
 
Hata ije time kutoka marekani Rais Samia na CCM watatangazwa washindi tu wa uchaguzi kutokana na kuwa na Sera na ajenda zinazokubalika kwa watanzania wengi ukilinganisha na upinzani ambao wenyewe Sera na ajenda zao Ni mgombea husika na hisia zake zinavyomtuma na kumpeleka
Basi mumeo atakuwa PM
 
Ndugu uko nchi hii hii au ndio unatetea ugali wako🤔🤔🤔
Mwanzo waliandika kuelekea 2020 sasa wamebadilisha. Kuamini kuwa JPM ndio kigezo cha urais wa SSH ni kuwa na mawazo yenye kufanana na yale ya mlevi.

Ni viongozi wawili tofauti kabisa, uwezo wao wa kujenga hoja unatofautiana, uwezo wao wa kushawishi kwa kutumia akili za kiuongozi unatofautiana pia.
 
Huyo Sekou Toure aliishi miaka ya sitini na sabini, karibu miaka 50 iliyopita. Hiyo busara yake ilikuwa na mashiko miaka hiyo lakini nyakati hizi za utandawazi ni iman tu potofu zilizopitwa na wakati.

Pia ni akili zile zile za uoga wa kujichanganya na dunia inayobadilika kila kukicha, huwezi kumkimbia mgeni kwa kumuita beberu, mwizi au kumtungia jina baya ili unaowaongoza wakuone kiongozi wa maana.
 
Mzee upo Tanzania hiihii au ndio kujitoa ufahamu kwasababu unatumia Phillipo Bukililo unaamini kabisa kwamba jina lako litaonekana somewhere!?

Maana nashindwa kukuelewa!!??...Jamaa ameongea point zilizopo kabisa na mtaani hali halisi ndio hiyo au mwenzetu sio mtz?!?.

Ni kweli kabisa Samia kuna mambo mazuri kafanya(anafanya) na anajitahidi kwa kiasi chake ila kwa sababu zilizotajwa na muanzisha thread ni kweli kabisa zinamfanya achukiwe.

Njoo mtaani huku uone watu wanavyomuongelea kiufupi hawamuelewi kabisa nenda hata facebook upate maoni ya raia kiukweli watu wamekataa kabisa kumuelewa na yeye anajua hilo pamoja na kwamba kajenga madarasa na blahblah kibao ila watu HAWAMUELEWI
Huko huko mtaani ulipo wewe na mimi nipo pia. Mkuu biashara za watu zilizokuwa zimekufa awamu ya tano kwa sasa zinafufuka. Mzunguko wa pesa unaanza upya kabisa. Frems za maduka yale yanayouza bidhaa za utalii kule Masaki zinaanza kufanya biashara. Malori yanayosafirisha bidhaa za transit za kwenda Zambia, Malawi naZimbabwe yanapita kwa wingi huko njiani.

Huwezi kumlinganisha Samia na JPM, ni viongozi wawili tofauti kabisa.
 
Tangu nianze kufuatilia siass za nchi hii, sijawahi ona kiongozi wa CCM alie madarakani akikataliwa, kupingwa na kuongezewa vivyo sivyo kama Mama yetu wa leo.

Kwanini hali hii?

1. Mama kulinganishwa na Mwendazake

Mama kulinganishwa na Mwendazake na hapa ndipo hata baadhi ya wana-CCM wanapoungana na watanzania wengine kumuhukumu na kumuona hatoshi na wanaona ni bora 2025 watafute mgombea mwingine vinginevyo ni bora wachague mpinzani.

Kwanini Mwendazake anamgharimu?
Wakati wa Mwendazake, kuna kundi kubwa la watanzania waliamini wizi na ufisadi vilikuwa vimekomeshwa/ vimedhibitiwa jambo ambalo halikuwa kweli kwa asilimia 100.

Mwendazake alidhibiti vyombo vya habar, alidhibiti Bunge, mitandao na vyanzo vingine vya kupashana habari matokeo yske tuhuma za wizi na ufisadi Wakati wa Mwendazake havikupata nafasi.

Kingine ni Mwendazake kutumia media kuendesha propaganda za kumsifu na kumtukuza mambo ambayo sasa hayapo kwa kiwango kile na hivyo kuleta tofauti kubwa ya kimtazamo kati ya Mama na Mwendazake.

2. Kundi la Sukuma gang
Hili kundi ni kundi la watu wanaonekana kuwa na chuki dhidi ya huyu Mama na ndio wanachangia sana kuonyesha kuwa Mama hatoshi sababu tu hawampendi. Ni kama hawakuta Mama amrithi Mwendazake na hivyo kutumia madhaifu ya Mama kummaliza kisiasa mbele ya umma.

Na kama Mama angeshindwa kuendeleza miradi iliyoachwa na Mwendazake, basi hili kundi lingepata cha kusema na lingekuwa kinara katika kuwaongoza watu wamkatae Mama hiyo 2025.

Mama akijitahidi kukamilisha Miradi yote iliyoachwa na Mwendazake, basi atafanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza nguvu za hili kundi mitandaoni na kwingineko

3. Madai kuwa Mzee wa Msoga ana influence katika uongozi wake
Madai haya ni moja ya mambo ambayo yanamgharimu sana Mama hasa ikizingatiwa Mzee wa Msoga anachukuliwa kama mtu alieacha rushwa na ufisadi vikatamalaki sana katika nchi hii.

Hivyo, madai kuwa Mama anafanya baahi ya mambo kwa influence ya Mzee wa Msoga, madai haya yanamgharimu sana kisiasa na 2025 atakuja kuona matokeo yake.

4. Madhaifu binafsi ya Mama
Madhaifu au mapungu haya ni pamoja na haya na kukithiri kwa tozo katika awamu yake, kauli za kuruhusu watu wale kulingana na urefu wa kamba zao, kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei, kuhamisha wamasai kule Loliondo, safari za mara kwa mara nje ya nchi, kauli zake za majukwaani na mambo mengineyo.

5. Jinsia yake
Ukweli mwingine unatokana na mila na desturi zetu plus mtazamo potofu wa jumla kwa baadhi ya watu kuwa Mwanamke hafai kushika nafasi kama hio hivyo ni bora wakati ukifika, tumuweke mtu mwingine

6. Wanawake kutopendana
Madai kuwa wanawake huwa hawapendani, yanaweza kuchangia anguko la Mama na Wanawake wengi kwa sasa ni miongoni mwa watanzania wanaomuo Mama hatoshi.

Hivyo, kwa ujumla hayo ndio mambo yanayomgharimu Mama kwa sasa na ndio yatamgharimu vibaya sana 2025 na anaweza asipate hata asilimia 30 ya kura zote.

Ukitaka kuamini haya nayosema juu ya kukubalika au kutokubalika kwa Mama, fanya tu kautafiti kasiko rasimi kwa kuhoji tu watu mbalimbali utagundua wengi wanampinga na kutorodhishwa na uongozi wake wakiwemo hata watu wa chama chake.

Hivyo, wapinzani wakijipanga vizuri 2025 na tukawa na Tume Huru, basi uwezekano wa wapinzani kushinda uchaguzi ni mkubwa mno kuanzia kwenye uraisi mpaka ubunge.
Dogo amka kutoka usingizi wa mchana
 
Tangu nianze kufuatilia siass za nchi hii, sijawahi ona kiongozi wa CCM alie madarakani akikataliwa, kupingwa na kuongezewa vivyo sivyo kama Mama yetu wa leo.

Kwanini hali hii?

1. Mama kulinganishwa na Mwendazake

Mama kulinganishwa na Mwendazake na hapa ndipo hata baadhi ya wana-CCM wanapoungana na watanzania wengine kumuhukumu na kumuona hatoshi na wanaona ni bora 2025 watafute mgombea mwingine vinginevyo ni bora wachague mpinzani.

Kwanini Mwendazake anamgharimu?
Wakati wa Mwendazake, kuna kundi kubwa la watanzania waliamini wizi na ufisadi vilikuwa vimekomeshwa/ vimedhibitiwa jambo ambalo halikuwa kweli kwa asilimia 100.

Mwendazake alidhibiti vyombo vya habar, alidhibiti Bunge, mitandao na vyanzo vingine vya kupashana habari matokeo yske tuhuma za wizi na ufisadi Wakati wa Mwendazake havikupata nafasi.

Kingine ni Mwendazake kutumia media kuendesha propaganda za kumsifu na kumtukuza mambo ambayo sasa hayapo kwa kiwango kile na hivyo kuleta tofauti kubwa ya kimtazamo kati ya Mama na Mwendazake.

2. Kundi la Sukuma gang
Hili kundi ni kundi la watu wanaonekana kuwa na chuki dhidi ya huyu Mama na ndio wanachangia sana kuonyesha kuwa Mama hatoshi sababu tu hawampendi. Ni kama hawakuta Mama amrithi Mwendazake na hivyo kutumia madhaifu ya Mama kummaliza kisiasa mbele ya umma.

Na kama Mama angeshindwa kuendeleza miradi iliyoachwa na Mwendazake, basi hili kundi lingepata cha kusema na lingekuwa kinara katika kuwaongoza watu wamkatae Mama hiyo 2025.

Mama akijitahidi kukamilisha Miradi yote iliyoachwa na Mwendazake, basi atafanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza nguvu za hili kundi mitandaoni na kwingineko

3. Madai kuwa Mzee wa Msoga ana influence katika uongozi wake
Madai haya ni moja ya mambo ambayo yanamgharimu sana Mama hasa ikizingatiwa Mzee wa Msoga anachukuliwa kama mtu alieacha rushwa na ufisadi vikatamalaki sana katika nchi hii.

Hivyo, madai kuwa Mama anafanya baahi ya mambo kwa influence ya Mzee wa Msoga, madai haya yanamgharimu sana kisiasa na 2025 atakuja kuona matokeo yake.

4. Madhaifu binafsi ya Mama
Madhaifu au mapungu haya ni pamoja na haya na kukithiri kwa tozo katika awamu yake, kauli za kuruhusu watu wale kulingana na urefu wa kamba zao, kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei, kuhamisha wamasai kule Loliondo, safari za mara kwa mara nje ya nchi, kauli zake za majukwaani na mambo mengineyo.

5. Jinsia yake
Ukweli mwingine unatokana na mila na desturi zetu plus mtazamo potofu wa jumla kwa baadhi ya watu kuwa Mwanamke hafai kushika nafasi kama hio hivyo ni bora wakati ukifika, tumuweke mtu mwingine

6. Wanawake kutopendana
Madai kuwa wanawake huwa hawapendani, yanaweza kuchangia anguko la Mama na Wanawake wengi kwa sasa ni miongoni mwa watanzania wanaomuo Mama hatoshi.

Hivyo, kwa ujumla hayo ndio mambo yanayomgharimu Mama kwa sasa na ndio yatamgharimu vibaya sana 2025 na anaweza asipate hata asilimia 30 ya kura zote.

Ukitaka kuamini haya nayosema juu ya kukubalika au kutokubalika kwa Mama, fanya tu kautafiti kasiko rasimi kwa kuhoji tu watu mbalimbali utagundua wengi wanampinga na kutorodhishwa na uongozi wake wakiwemo hata watu wa chama chake.

Hivyo, wapinzani wakijipanga vizuri 2025 na tukawa na Tume Huru, basi uwezekano wa wapinzani kushinda uchaguzi ni mkubwa mno kuanzia kwenye uraisi mpaka ubunge.
Hizi ni kama ramli, CCM wakati wa uchaguzi huwa ni wengine kabisa, na ni vigumu sana kwa vyama vya upinzani kushika dola, watanzania watafute njia za kuinua maisha yao wenyewe wasitegemee chama chochote kurekebisha hali za wananchi.
 
Kwenye mazingira haya ya kisiasa, Katiba iliyopo, na Tume ya uchaguzi, sitashangaa kama akigombea akashinda, regardless ya hali ya kisiasa aliyonayo.

Kikwete 2010 ilikuwa almost hivi hivi, nchi iliongozwa kwa "auto pilot" muda mrefu, kila mtu kujichumia, akachokwa haswa, lakini tulipokwenda kwenye uchaguzi, akashinda, hata kama alishinda kwa wizi.
Ati auto pilot!!!..nchi ikiongozwa kwa auto pilot utajenga lami kuliko awamu tatu zilizopita,utaajiri kiasi kile,utaongez $20b+ kwenye GDP!?...
 
Huyo Sekou Toure aliishi miaka ya sitini na sabini, karibu miaka 50 iliyopita. Hiyo busara yake ilikuwa na mashiko miaka hiyo lakini nyakati hizi za utandawazi ni iman tu potofu zilizopitwa na wakati.

Pia ni akili zile zile za uoga wa kujichanganya na dunia inayobadilika kila kukicha, huwezi kumkimbia mgeni kwa kumuita beberu, mwizi au kumtungia jina baya ili unaowaongoza wakuone kiongozi wa maana.
Tunawapa madini wanachimba badala ya kuacha tuje kuyachimba wenyewe hata ikija kuwa Ni baada ya miaka 500.
Tuwatoe wamasai ili kujichanganya na waarabu.
Ni kweli ilikuwa muda huo wa kizamani Ila saivi tuko nyakati za kijanja na za kimaendeleo.


Tuko nyuma vibaya mno kwa nchi za Asia ambazo tulikuwa nazo sawa miaka iyo 50-60s.


Ngoja tujipendekeze kuendana na utandawazi
 
. Madai kuwa Mzee wa Msoga ana influence katika uongozi wake
Kati ya vitu vinavyonitia kichefuchefu kwenye huu utawala wa huyu mama ni hili la kuruhusu wastaafu kuingilia utawala wake.

Ukiona mpaka akina Makamba wanatangaza hadharani kwamba,.. 'kwa utawala wa mama tunalamba asali'..hiyo ni dhahiri kuna mengi ya hovyo nyuma ya pazia yanayofanywa na hao wastaafu akiwemo JK.
 
Mawazo kama haya ndio yalinifanya niache kujishughulisha na upinzani

2020 niliwaambia wagomee uchaguzi kutokana na mazingira yalivyokuwa ama wataishia kuumizwa bure na kupoteza fedha, ila wengi walikuwa na mawazo kama haya na matusi juu

Kilichowakuta hadi leo bado wapo mahakamani kutumia fedha na muda zaidi kufukuzwa wabunge 19
Unahitaji uvumilivu sana kuongozwa na watu wenye akili fupi kiasi hiki
Upinzani wa nchi hii unaishi kinafhatia sana...Kama fisi wanaosubiri mkono udondoke
 
Kati ya vitu vinavyonitia kichefuchefu kwenye huu utawala wa huyu mama ni hili la kuruhusu wastaafu kuingilia utawala wake.

Ukiona mpaka akina Makamba wanatangaza hadharani kwamba,.. 'kwa utawala wa mama tunalamba asali'..hiyo ni dhahiri kuna mengi ya hovyo nyuma ya pazia yanayofanywa na hao wastaafu akiwemo JK.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kati ya vitu vinavyonitia kichefuchefu kwenye huu utawala wa huyu mama ni hili la kuruhusu wastaafu kuingilia utawala wake.

Ukiona mpaka akina Makamba wanatangaza hadharani kwamba,.. 'kwa utawala wa mama tunalamba asali'..hiyo ni dhahiri kuna mengi ya hovyo nyuma ya pazia yanayofanywa na hao wastaafu akiwemo JK.
Sidhani kama wastaafu wanashida iwapo wanatoa backstop kwa waliopo front line, tatizo ni zaidi ya wastaafu na hilo no tatizo la watanzania wote, kupenda maisha ya bure pasipo kuyatolea jasho; wenye nafasi wanajitungia sheria za ku access maisha bora kwakuzuia wengine, wasio na nafasi wanapiga vota wenye nafasi, kiufupi taifa zima kuwa morally corrupted...Hakuna tena utu wema kila mtu amegeuka kuwa mzabibu mwitu...
 
Mwamba baada ya kumshinda ya CDM ameham8shia goli huku katika harakati za kujifariji kidogo!
 
Back
Top Bottom