Rais Samia anafanya kile ambacho wengi wenye akili tunataka afanye! Kwa hili anastahili pongezi

Rais Samia anafanya kile ambacho wengi wenye akili tunataka afanye! Kwa hili anastahili pongezi

Hakuna hata watalii wakaokuja zaidi ya maigizo tupu, Zanzibar watalii wamejaa hakuna hata mbuga lakini wapo tu hakuna anayetumia nguvu kubwa kutangaza ni matumizi mabaya ya fedha za umma.
Coca cola na Pepsi zinanywewa kila siku duniani Ila kila siku wanatoa matangazo kujitangaza

Biashara ni matangazo
 
Muhimu ni kwamba kila awamu kuna watu wanapata nafasi ya kula mema ya nchi na wengine wanapigika, huo ndio ukweli hizi zengine kelele tu.
 
Muhimu ni kwamba kila awamu kuna watu wanapata nafasi ya kula mema ya nchi na wengine wanapigika, huo ndio ukweli hizi zengine kelele tu.
Shida yako unawaza mambo ya kula! Huwazi maendeleo ya nchi
 
Acheni kusifia upuuuzi. Tanzania imeanza harakati za kutangaza Utalii Duniani huyo Mtu wenu akiwa bado anasoma.
LIGI YA UINGEREZA EPL kwenye Uwanja wa timu ya SUNDERLAND nk

Matangazo ya Vivutio vya Tanzania yameanza kutangazwa miaka na miaka, halafu anakuja msugua gaga mmoja anataka kutuaminisha kwamba harakati zimeanza Awamu ya 6 kwamba Utalii ulikua hautangazwi.

Kwa taarifa yako Ulaya na Marekani Wameeeshaenda hadi Waziri na Wasanii wa Bongo Movie kutangaza Vivutio mkuu usitiletee matapishi humu.
Na films za vivutio mbalimbali zipo dunia nzima na mitandaoni zimejaa. Hawana jipya hao
 
Back
Top Bottom