Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #101
Coca cola na Pepsi zinanywewa kila siku duniani Ila kila siku wanatoa matangazo kujitangazaHakuna hata watalii wakaokuja zaidi ya maigizo tupu, Zanzibar watalii wamejaa hakuna hata mbuga lakini wapo tu hakuna anayetumia nguvu kubwa kutangaza ni matumizi mabaya ya fedha za umma.
Sema hujawai kufuatilia ila wamefanya na wanafanya matangazo mengi sana!Mbona hatujawahi kusikia maRais wa hizo nchi wanatangaza utalii Marekani?
Hapana lini wameenda?Sema hujawai kufuatilia ila wamefanya na wanafanya matangazo mengi sana!
Nchi zinazoongoza kwa utalii mbona hatuwaoni wakitumia nguvu kubwa?Coca cola na Pepsi zinanywewa kila siku duniani Ila kila siku wanatoa matangazo kujitangaza
Biashara ni matangazo
Mfumo wetu wa maisha huanzishwa na viongozi.Viongozi wetu ndiyo kikwazo kwa watalii na sivinginevyo
Tatizo lako ni ushamba! Angalia tu CNN uone nchi zinavyonitangazaNchi zinazoongoza kwa utalii mbona hatuwaoni wakitumia nguvu kubwa?
Mara nyingi tu! Angalia Google utaonaHapana lini wameenda?
Shida yako unawaza mambo ya kula! Huwazi maendeleo ya nchiMuhimu ni kwamba kila awamu kuna watu wanapata nafasi ya kula mema ya nchi na wengine wanapigika, huo ndio ukweli hizi zengine kelele tu.
Na films za vivutio mbalimbali zipo dunia nzima na mitandaoni zimejaa. Hawana jipya haoAcheni kusifia upuuuzi. Tanzania imeanza harakati za kutangaza Utalii Duniani huyo Mtu wenu akiwa bado anasoma.
LIGI YA UINGEREZA EPL kwenye Uwanja wa timu ya SUNDERLAND nk
Matangazo ya Vivutio vya Tanzania yameanza kutangazwa miaka na miaka, halafu anakuja msugua gaga mmoja anataka kutuaminisha kwamba harakati zimeanza Awamu ya 6 kwamba Utalii ulikua hautangazwi.
Kwa taarifa yako Ulaya na Marekani Wameeeshaenda hadi Waziri na Wasanii wa Bongo Movie kutangaza Vivutio mkuu usitiletee matapishi humu.
Siyo kweli weka ushahidiMara nyingi tu! Angalia Google utaona
Wakutanganze wewe ni nani? Bashite mkubwa weweTatizo lako ni ushamba! Angalia tu CNN uone nchi zinavyonitangaza
Siyo kweli weka ushahidi
Siyo kweli weka ushahidi
Siyo kweli weka ushahidi
Natumia cm