TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Huyo Mwalimu kama anaweza kulisaidia Taifa. Mimi sina shida naye.Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
sio wa kwanza yeye watangulizi wake wawili wote wamefanya hivyo kwa walimu wao au ndugu wa walimu wao na ni jambo jema sanaKwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,
Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,
Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?
View attachment 2232926
Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
Ikulu sio kama nyumba yako ya chumba na sebule, unafungua mlango tu uko sebuleni, au hapo unapoishi kitanda na sebule vimetenganishwa na pazia.Kwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,
Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,
Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?
View attachment 2232926
Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
Unaujua ukubwa wa ikulu ya chamwino? Ni mahekari mengi sanaAisee kwanini asitembee tu kupunguza gharama za misafara.
Kwani niriadha?Rais anaishi humo ikulu ila kwa kupenda kwake misafara ya magari mgeni akifika yeye hutoka na kwenda kuanzia safari yake mbali ili aingie kwa msafara.
Rip JPM. Pamoja na madhaifu yake lakini yule jamaa alikuwa kichwa 💪💪Kuna mtu kaniambia bado ujenzi haujakamiika 100% ni eneo kubwa sana hata ofisi za raisi hazikamilika nasikia ziko katika hatua za mwisho ila kwa size ni kubwa sana.
Siku moja ilikuwa kuaga mwili wa Mfugale,misa imefanyika kisha wakaanza kupotezea mda ili Raid awasili wakijua alitingwa na majukumu mengine.Mara akawasili.Ktk Hotuba yake "Hakika tumuenzi marehemu kama ambavyo nilivyokuwa naangalia TV Padri akihubiri"Angekuwa anawahi.
Hii ya kuja baadae na msafara, inaibua maswali!
Huwa anatoka nyumbani kwake. Siyo Lazima rais aishi Ikulu; Nyerere alikuwa anaishi Msasani tangu mwaka 1966 nafikiri.Kwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,
Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,
Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?
View attachment 2232926
Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
Kwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,
Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,
Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?
View attachment 2232926
Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Rais anaishi humo ikulu ila kwa kupenda kwake misafara ya magari mgeni akifika yeye hutoka na kwenda kuanzia safari yake mbali ili aingie kwa msafara.
Wewe inakuhusu nini analala wapi?Kwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,
Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,
Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?
View attachment 2232926
Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
Warabu huwa ni wavivu kwa akili, mwili na ASILI, haya mambo yakutembea na kufanya mazoezi ni adhabu kwao, warabu wakipata nafasi kama alio nayo Samia ni kula kulala na kutiana mimba wenyewe kwa wenyewe, mwisho wanazaa watoto idiots. Shezi kabisa.Aisee kwanini asitembee tu kupunguza gharama za misafara.
Wamekutana na Rais kwenye gate lakuingia ikulu,Lakini CDM, wao wanaonekana wakitembea!
Protokali za wajamaa,kuonesha nani mkubwa/muhimuAngekuwa anawahi.
Hii ya kuja baadae na msafara, inaibua maswali!
Aisee kwanini asitembee tu kupunguza gharama za misafara.
Umenena vema. Hiyo ni ofisi na Rais ndiye mwenyeji no matter how big the compound is. Alipaswa kuwepo kabla na kuwapokea wageni wake.Hizo ni sherehe za kitaifa mkuu, zinazingatia protocol.
Sasa hapo ni ikulu, ni ofisini.
Hao walikuwa wageni wake kama ilivyokuwa kwa peter alimpokea akiwa ikulu.
Kusema ukweli kitendo cha kuja baada ya akina mbowe kufika, niliwaza mengi.
Je, angekuta wameteka ofisi? Au wamejiapisha? Angewahi tu, wakamkuta.
Hata JP alipotembelewa na nnape, alimkuta ofisini (ikulu)
Serekale imeishiwa mawe?Mkuu ikulu ya chamwino ni 64km za mraba yaani ni kama kutoka chalinze hadi kibaigwa, ila hela noma, yaani pamekuwa na msitu kama kazimzumbwi