tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
- Thread starter
- #181
Hawa hawawezi kuhalalisha uteuzi wa wapemba kwenye nyadhifa mbalimbali na kuwarundika hapa Tanganyika wakati vijana wa Tanganyika hawana kazi.Brigadier Mwakanjuki RIP Mnyakyusa.
Abdallah Natepe RIP Mmakonde.
Omar Mapuri Mmakonde.
Tito Okello RIP Mjaluo wa Uganda.
Hao ni wamatumbi wanne kutoka huku bara ambao historia yao inaheshimika huko ZNZ, vijana wadogo humu JF jifunzeni kwanza historia yenu kabla hamjaandika chochote.