Rais Samia anapaswa kujua kuwa bila Magufuli asingekuwa Rais

Rais Samia anapaswa kujua kuwa bila Magufuli asingekuwa Rais

Unakumbuka ule mwanga kule kwa Majaliwa, Sasa Jiulize enzi hizo Nyerere ilikuwa Je? siku hizi hakuna uchawi bwana
Kuna thread nimesoma unasimulia kukutana na Gussie leo; umeshindwa kujifunza lolote toka kwake baada ya mkutano wenu?!
 
Siyo kweli. Kwanza Magufuli ndiyo anapaswa kushukuru kwa kuwa Mgombea. Kwenye kura aliongoza Amina Salum, akafuata Magufuli then Asha Rose Migiro.

Kama Mkapa asingemkomalia Kikwete huyo Mwendazake asingesikika popote
Amina hakuongoza mzee, wacha za kwako. Asingeongoza Amina halafu akafifia moja kwa moja.

Wakati wa kampeini Mama akiwa akiwa Njombe alimjibu Lissu hivi

 
Siyo kweli. Kwanza Magufuli ndiyo anapaswa kushukuru kwa kuwa Mgombea. Kwenye kura aliongoza Amina Salum, akafuata Magufuli then Asha Rose Migiro.

Kama Mkapa asingemkomalia Kikwete huyo Mwendazake asingesikika popote
Mkuu hili Lina Ukweli wowote?
 
Kuleni naye, lala naye, hata bangi vuteni naye mwenzenu nimezaa naye, sijui nimepatia??
 
Hoja ya msingi ni Rais SSH kuendelea kuzungumza mabaya ya JPM as if she was not part of the rotten system ili hali yeye na timu yake haijakiri hadharani kuwa kilichofanywa na JPM wanaomba radhi na haikuwa katika matakwa yao.
Amekwishasema hakuwa sehemu ya maamuzi ya DIKTETA Magufuli, mbona unalazimisha kuwa alikuwa part ya system.

Unaandika kishabiki kumbe humjui Magufuli. Hawa akina Samia na Majaliwa mawazo yao yalikuwa yanatupwa.

Asifuye mvua imenyea
 
Hata yeye Samia atakuja kusemwa tu, ngoja utawala wake upite...
 
Siyo kweli. Kwanza Magufuli ndiyo anapaswa kushukuru kwa kuwa Mgombea. Kwenye kura aliongoza Amina Salum, akafuata Magufuli then Asha Rose Migiro.

Kama Mkapa asingemkomalia Kikwete huyo Mwendazake asingesikika popote

Niliwahi kulisema hili, kwamba Magufuli alibebwa watu wakanikatalia Sana.
 
Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli.

Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa yamemlenga mtu aliyekufa (Magufuli) na yanasemwa na waliokuwa wasaidizi wa marehemu Magufuli, ambao waliibuliwa na kubebwa kwa 100% na Magufuli mwenyewe. Kumkana sasa Magufuli na siasa zake kabla ya kuwaomba radhi watanzania waliomizwa na utawala wa Magufuli huku Samia akiwa msaidizi na mshauri mkuu wa Magufuli, ni jambo la fedheha sana.

Yaani mabaya yote ya utawala wa Magufuli (kama ubabe, unyanyasaji, utesaji, wizi) wanasema yalikuwa ya Magufuli mwenyewe, lakini mema yote ya Magufuli (kama ujenzi, miradi, usimamizi, uwajibikaji) wanasema yalikuwa ya wote kwa umoja wao! Huu ni unafiki mkubwa.

Sote tunajua kuwa uchaguzi wa 2015 ulichezewa ili Magufuli aingie madarakani, na uchaguzi wa 2020 ulichezewa na Magufuli mwenyewe kwa 100% ili aendelee kukaa madarakani. Na Magufuli aliyafanya hayo yote kwa maslahi yake binafsi, maslahi ya CCM na maslahi ya wasaidizi wake. Leo hii watu wale wale kumkaanga Magufuli kisiasa ni jambo la ajabu sana.
Kwanini hawakusema hayo wakati Magufuli akiwa bado hai?
Kwanini hawakukaa hata pembeni ili kukwepa kushiriki dhuluma aliyotendwa na Magufuli?

Yaani leo hii Magufuli amegeuzwa na CCM ya mama Samia kuwa dampo la kufichia uchafu wote wa kisiasa unaonuka wa CCM uliofanywa na CCM na serikali yake tangu 2015-2021. Hii hatari sasa.

Ilitosha sana kwa mama Samia na CCM yake kuja kwanza hadharani kuwaomba radhi watanzania kwa utawala mbovu wa Magufuli uliokosa aibu, utu na haki, kisha kutafuta maridhiano ili ukurasa mbovu wa utawala wa Magufuli ufungwe milele katika taifa letu.
Ungeonyeshwa upande Hasi wa Magufuli ungeelewa mama anachosema!

tungebaki na magufuli mwaka mmoja tena sahiv kuna watu wangekuwa washauliwa maana hana simile! binadamu wa jana sio wa leo! kuishi kuvumiliana ndio maisha!

asiyekufaa leo atakufaa kesho
 
Acheni kudanganya umma. Bila mkapa JPM angekuwa Rais.

Hoja ya msingi sio Bila Mkapa JPM angekuwa Rais , Hoja ya msingi ni Rais SSH kuendelea kuzungumza mabaya ya JPM as if she was not part of the rotten system ili hali yeye na timu yake haijakiri hadharani kuwa kilichofanywa na JPM wanaomba radhi na haikuwa katika matakwa yao.

Umesahau kwamba mama alitaka kujiuzulu? Kuna Mambo tulidharau kipindi kile ndio ukweli wake unaanza kuonekana Sasa.
 
Sidhani km SSH aliwekwa na JPM ila alielekezwa amuweke, km ingekuwa ni utashi wake JPM asingemuweka SSH ila kwa kuwa yeye mwenyewe alitengenezewa mazingira awe rais na yeye akaamliwa wa kusaidiana nae km Makamu wa rais.

Kuhusu suala la kumtaja Hayati hata mimi sipendezwi nalo ila hiyo ndio hulka yetu Watz unafiki na kulambana visogo
 
Amina hakuongoza mzee, wacha za kwako. Asingeongoza Amina halafu akafifia moja kwa moja.

Wakati wa kampeini Mama akiwa akiwa Njombe alimjibu Lissu hivi


Kama hujui hizi taarifa, jihesabu wewe ni mtoto mdogo kama Kichuguu. Acha milima tukupe vitu ndiyo nawe ukomae. Endelea kusoma madini toka kwa wajuvi
 
Acha kumdhihaki Mungu wewe mjinga. Mungu Hana ushirika na wauaji na wenye viburi.
Mbona wewe hujafa?

Usifuate tu mkumbo kimbwiga mbwiga bwashee?

Mbunge wenu mstaafu yuko hapo JK mnashindwa kumtibu halafu mnasingizia wengine ndio wauwaji!
 
Hata yeye Samia atakuja kusemwa tu, ngoja utawala wake upite...

Hapana hiyo roho aliianzisha Magufuli kuwasema watangulizi wake. Alifikia Hadi kumsema Nyerere kwanini hakuweka ukuta mereranu mwaka 1961, Bila kujua Tanzanite imegunduliws miaka ya 1989. Hapo ndipo nilipomdharau.
 
Magufuri alikuwa anamnanga Kikwete wazi wazi, tena bila heshima, Je unataka kusema bila Kikwete Magufuri angekuwa rais?.
 
Back
Top Bottom