davetz28
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 543
- 624
Bila kikwete Magufuli hangekuwa raisi.Unafikiri Magufuli angepewa uhiari wa kuchagua mgombea mwenza 2015 angemchagua Samia? Huijui CCM wewe.
Tusiwe na mawazo ya aina hii
Chama ni taasisi chama sio mtu.
Mtu anachaguliwa kwa maslahi ya taasisi husika