Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Kama uume wako kama wewe mwanaume, au uke wako kama wewe mwanamkeAkili kisoda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama uume wako kama wewe mwanaume, au uke wako kama wewe mwanamkeAkili kisoda
Kuchuguu sina haja ya kumjua kwa vile ana akili kama mavi ya mwisho. Wewe Gagnija unaniita mimi dogo, umetumia kigezo gani?Hii watu JF kutofahamiana kuna uzuri na ubaya wake. Ungejua Kichuguu ni nani ungeomba radhi haraka sana kwa andiko lako hili.
Mkuu Kichuguu msamehe huyu dogo; anayoandika yanaaksi upeo wake.
Pole sana, huyu ni senior minister sampuli za akina Nahodha huko ZNZAmina salum?!!!
Ndo kwanza nasikia hili jina!
JPM Libebwa baad ya wajumbe kukataliwa Lowassa na kuona amebaki Benard Membe ndipo mgomo ukaanza chinichini, Mkapa akamwambia bora JPMAcheni kudanganya umma. Bila mkapa JPM angekuwa Rais.
Crap
Mawazo mgando na ya walevi
Ukweli lazima usemwe
Nasema pwi pwi kwi kwi
DJ lete mambo, DJ lete mambo
CCM ina wenyewe
CCM, ccm, ccm ohooo ccm ni nambari one
Kuna watu walikubali kufa na Wengine walikufa kwa nchi hii
JPM Yeye amekuta minara ya Mashujaa hata maana yake alikuwa hajui
JPM alitaka aitwe shujaa, Hivi hajui akina Mkwawa walipambana sana
Hivi JPM hakujua chief Songea alipambana sana hapa Tanzania
Hata siku moja Nyerere hakujisifu zaidi ya Mkwawa au chief Songea bali Akifika huko Iringa na Songea alijifanya bwege na aliwaita wazee wa mila kumpa ushauri
Sasa huyo Mwamba wenu alijifanya Yeye ni shujaa kuliko Mkwawa, chief Songea na Mtemi isike... kweli??
I
Mwambieni walikuwepo wapambanaji siyo yeye
Marehamu Capt John Komba aliimba nyimbo za ushindi za hamasa na akatoweka
JPM nani ndani ya ccm?
Wenzake akina kinana, Makamba na Kikwete walikuwa wanajeshi walijitolea kufa kwa nchi hii kabla ya Magufuli
JPM nani bwana?
Historia ya nchi hii ni ngumu sana, Nyerere aliongea na Machief kuwa tuwe wamoja bila hivyo kuna maeneo Machief wao walikuwa watu wa vita na kupambana
Huko Iringa, Songea na Tabora watu walikuwa na tawala za vita na ujasiri lakini busara za nyerere watu wakamuunga mkono
Skadi moja ya mtwara JPM wenu hoi, Je ingekuwa enzi hizo kuna uchawi wa kutisha angetoboa kama Nyerere kweli
Unakumbuka ule mwanga kule kwa Majaliwa, Sasa Jiulize enzi hizo Nyerere ilikuwa Je? siku hizi hakuna uchawi bwana
Yawezekana mwaka 2015 JPM hakuwa na hiari ya kumchagua mama kuwa mgombea mwenza, lakini je, hata 2020 bado hakuwa na hiari?Unafikiri Magufuli angepewa uhiari wa kuchagua mgombea mwenza 2015 angemchagua Samia? Huijui CCM wewe.
Yawezekana mwaka 2015 JPM hakuwa na hiari ya kumchagua mama kuwa mgombea mwenza, lakini je, hata 2020 bado hakuwa na hiari?
Nani alimpendekeza SSH awe mgombea mwenza wa JPM?Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli.
Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa yamemlenga mtu aliyekufa (Magufuli) na yanasemwa na waliokuwa wasaidizi wa marehemu Magufuli, ambao waliibuliwa na kubebwa kwa 100% na Magufuli mwenyewe. Kumkana sasa Magufuli na siasa zake kabla ya kuwaomba radhi watanzania waliomizwa na utawala wa Magufuli huku Samia akiwa msaidizi na mshauri mkuu wa Magufuli, ni jambo la fedheha sana.
Yaani mabaya yote ya utawala wa Magufuli (kama ubabe, unyanyasaji, utesaji, wizi) wanasema yalikuwa ya Magufuli mwenyewe, lakini mema yote ya Magufuli (kama ujenzi, miradi, usimamizi, uwajibikaji) wanasema yalikuwa ya wote kwa umoja wao! Huu ni unafiki mkubwa.
Sote tunajua kuwa uchaguzi wa 2015 ulichezewa ili Magufuli aingie madarakani, na uchaguzi wa 2020 ulichezewa na Magufuli mwenyewe kwa 100% ili aendelee kukaa madarakani. Na Magufuli aliyafanya hayo yote kwa maslahi yake binafsi, maslahi ya CCM na maslahi ya wasaidizi wake. Leo hii watu wale wale kumkaanga Magufuli kisiasa ni jambo la ajabu sana.
Kwanini hawakusema hayo wakati Magufuli akiwa bado hai?
Kwanini hawakukaa hata pembeni ili kukwepa kushiriki dhuluma aliyotendwa na Magufuli?
Yaani leo hii Magufuli amegeuzwa na CCM ya mama Samia kuwa dampo la kufichia uchafu wote wa kisiasa unaonuka wa CCM uliofanywa na CCM na serikali yake tangu 2015-2021. Hii hatari sasa.
Ilitosha sana kwa mama Samia na CCM yake kuja kwanza hadharani kuwaomba radhi watanzania kwa utawala mbovu wa Magufuli uliokosa aibu, utu na haki, kisha kutafuta maridhiano ili ukurasa mbovu wa utawala wa Magufuli ufungwe milele katika taifa letu.
Acha vitisho.Hii watu JF kutofahamiana kuna uzuri na ubaya wake. Ungejua Kichuguu ni nani ungeomba radhi haraka sana kwa andiko lako hili.
Mkuu Kichuguu msamehe huyu dogo; anayoandika yanaaksi upeo wake.
Mtajuana wenyewe!Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli.
Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa yamemlenga mtu aliyekufa (Magufuli) na yanasemwa na waliokuwa wasaidizi wa marehemu Magufuli, ambao waliibuliwa na kubebwa kwa 100% na Magufuli mwenyewe. Kumkana sasa Magufuli na siasa zake kabla ya kuwaomba radhi watanzania waliomizwa na utawala wa Magufuli huku Samia akiwa msaidizi na mshauri mkuu wa Magufuli, ni jambo la fedheha sana.
Yaani mabaya yote ya utawala wa Magufuli (kama ubabe, unyanyasaji, utesaji, wizi) wanasema yalikuwa ya Magufuli mwenyewe, lakini mema yote ya Magufuli (kama ujenzi, miradi, usimamizi, uwajibikaji) wanasema yalikuwa ya wote kwa umoja wao! Huu ni unafiki mkubwa.
Sote tunajua kuwa uchaguzi wa 2015 ulichezewa ili Magufuli aingie madarakani, na uchaguzi wa 2020 ulichezewa na Magufuli mwenyewe kwa 100% ili aendelee kukaa madarakani. Na Magufuli aliyafanya hayo yote kwa maslahi yake binafsi, maslahi ya CCM na maslahi ya wasaidizi wake. Leo hii watu wale wale kumkaanga Magufuli kisiasa ni jambo la ajabu sana.
Kwanini hawakusema hayo wakati Magufuli akiwa bado hai?
Kwanini hawakukaa hata pembeni ili kukwepa kushiriki dhuluma aliyotendwa na Magufuli?
Yaani leo hii Magufuli amegeuzwa na CCM ya mama Samia kuwa dampo la kufichia uchafu wote wa kisiasa unaonuka wa CCM uliofanywa na CCM na serikali yake tangu 2015-2021. Hii hatari sasa.
Ilitosha sana kwa mama Samia na CCM yake kuja kwanza hadharani kuwaomba radhi watanzania kwa utawala mbovu wa Magufuli uliokosa aibu, utu na haki, kisha kutafuta maridhiano ili ukurasa mbovu wa utawala wa Magufuli ufungwe milele katika taifa letu.
Wape wape mpaka wanyooke!! Mama samia asinge kaa pembeni hata kidogo sababu ni mpambanaji!! alitakiwa kwanza asome mchezo, na alijua huyo hafiki mbali ataondokaje kenye uwanja wa mapambano muwacheni mama ametupamabania kufika hapa! yaliyo jilri unayajua weye??Crap
Mawazo mgando na ya walevi
Ukweli lazima usemwe
Nasema pwi pwi kwi kwi
DJ lete mambo, DJ lete mambo
CCM ina wenyewe
CCM, ccm, ccm ohooo ccm ni nambari one
Kuna watu walikubali kufa na Wengine walikufa kwa nchi hii
JPM Yeye amekuta minara ya Mashujaa hata maana yake alikuwa hajui
JPM alitaka aitwe shujaa, Hivi hajui akina Mkwawa walipambana sana
Hivi JPM hakujua chief Songea alipambana sana hapa Tanzania
Hata siku moja Nyerere hakujisifu zaidi ya Mkwawa au chief Songea bali Akifika huko Iringa na Songea alijifanya bwege na aliwaita wazee wa mila kumpa ushauri
Sasa huyo Mwamba wenu alijifanya Yeye ni shujaa kuliko Mkwawa, chief Songea na Mtemi isike... kweli??
I
Mwambieni walikuwepo wapambanaji siyo yeye
Marehamu Capt John Komba aliimba nyimbo za ushindi za hamasa na akatoweka
JPM nani ndani ya ccm?
Wenzake akina kinana, Makamba na Kikwete walikuwa wanajeshi walijitolea kufa kwa nchi hii kabla ya Magufuli
JPM nani bwana?
Historia ya nchi hii ni ngumu sana, Nyerere aliongea na Machief kuwa tuwe wamoja bila hivyo kuna maeneo Machief wao walikuwa watu wa vita na kupambana
Huko Iringa, Songea na Tabora watu walikuwa na tawala za vita na ujasiri lakini busara za nyerere watu wakamuunga mkono
Skadi moja ya mtwara JPM wenu hoi, Je ingekuwa enzi hizo kuna uchawi wa kutisha angetoboa kama Nyerere kweli
Unakumbuka ule mwanga kule kwa Majaliwa, Sasa Jiulize enzi hizo Nyerere ilikuwa Je? siku hizi hakuna uchawi bwana
Safi sana hata Yuda alimkana Yesu !! na Yuda alikuwa namsaidia Yesu kutunza fedha ya kikundi!! kukilisha na kukifadhili kwa kila safari lkn muda ulipo fika Yuda alikufa kivyake!! jiulize tu mbona Petro alisamehewa lkn siyo Yuda!!ukinisaidia ndo nisikusimange hata ukizingua?
Baelezeee!! baba baeeezee wasiojua kufikiri yaani wakulima wa chato wanataka kubishana na Ma born town yaani lile jisukuma ndo limbebe Samia kweli ptyuuu!! .........Samia alijibeba!! karama/Bahati/uwezo/ kipaji hakibebwi!!Mwendazake alikuwa dikteta,na itabakia kuwa hivyo dada, na dikteta wenu hakuwa mungu,kiasi nyie wapuuz na matahira wake mfikie kusema eti bila maggufuli Samia hasingekuwa Rais Wala makamu wa Rais, mbona kashindwa kuzuia malaika mtoa roho asitoe roho yake huyo mungu wenu bandia???! Acheni kumpangia Rais Samia nyie mazezeta wakubwa,
Mkitaka huyo mungu wenu asisemwe uovu wake,Basi nanyinyi acheni Mara moja kumsakama mama, Tanzania ilikuwepo kabla ya huyo msukuma wa chato huko,hakuna mamlaka wala hati miliki ya chama kiasi kwamba yeye ndio alikuwa anateua wagombea wa urais au makamu,
Kkkkenge nyie, kutwa mnatuka mamlaka yote, halafu huyo mungu wenu hamtaki asemwe vibaya!