Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Angetaka angewezaIsingekua rahisi kiivyo. Aliweza kwa wabunge tu lakini sio makamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angetaka angewezaIsingekua rahisi kiivyo. Aliweza kwa wabunge tu lakini sio makamu.
Kwanza mimi nafirahi Sana SSH anavyomnanga yule zombie kwa sababu tabia ya kushambulia wastaafu iliasisiwa na Jiwe,hata hiki cha kusema Rais kafanya xy sijui katoa pesa vyote alileta Jiwe ..Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli.
Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa yamemlenga mtu aliyekufa (Magufuli) na yanasemwa na waliokuwa wasaidizi wa marehemu Magufuli, ambao waliibuliwa na kubebwa kwa 100% na Magufuli mwenyewe. Kumkana sasa Magufuli na siasa zake kabla ya kuwaomba radhi watanzania waliomizwa na utawala wa Magufuli huku Samia akiwa msaidizi na mshauri mkuu wa Magufuli, ni jambo la fedheha sana.
Yaani mabaya yote ya utawala wa Magufuli (kama ubabe, unyanyasaji, utesaji, wizi) wanasema yalikuwa ya Magufuli mwenyewe, lakini mema yote ya Magufuli (kama ujenzi, miradi, usimamizi, uwajibikaji) wanasema yalikuwa ya wote kwa umoja wao! Huu ni unafiki mkubwa.
Sote tunajua kuwa uchaguzi wa 2015 ulichezewa ili Magufuli aingie madarakani, na uchaguzi wa 2020 ulichezewa na Magufuli mwenyewe kwa 100% ili aendelee kukaa madarakani. Na Magufuli aliyafanya hayo yote kwa maslahi yake binafsi, maslahi ya CCM na maslahi ya wasaidizi wake. Leo hii watu wale wale kumkaanga Magufuli kisiasa ni jambo la ajabu sana.
Kwanini hawakusema hayo wakati Magufuli akiwa bado hai?
Kwanini hawakukaa hata pembeni ili kukwepa kushiriki dhuluma aliyotendwa na Magufuli?
Yaani leo hii Magufuli amegeuzwa na CCM ya mama Samia kuwa dampo la kufichia uchafu wote wa kisiasa unaonuka wa CCM uliofanywa na CCM na serikali yake tangu 2015-2021. Hii hatari sasa.
Ilitosha sana kwa mama Samia na CCM yake kuja kwanza hadharani kuwaomba radhi watanzania kwa utawala mbovu wa Magufuli uliokosa aibu, utu na haki, kisha kutafuta maridhiano ili ukurasa mbovu wa utawala wa Magufuli ufungwe milele katika taifa letu.
Akili kisodaSiyo kweli. Kwanza Magufuli ndiyo anapaswa kushukuru kwa kuwa Mgombea. Kwenye kura aliongoza Amina Salum, akafuata Magufuli then Asha Rose Migiro.
Kama Mkapa asingemkomalia Kikwete huyo Mwendazake asingesikika popote
Ata huyo mwendazake hakuwaheshimuKumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli.
Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa yamemlenga mtu aliyekufa (Magufuli) na yanasemwa na waliokuwa wasaidizi wa marehemu Magufuli, ambao waliibuliwa na kubebwa kwa 100% na Magufuli mwenyewe. Kumkana sasa Magufuli na siasa zake kabla ya kuwaomba radhi watanzania waliomizwa na utawala wa Magufuli huku Samia akiwa msaidizi na mshauri mkuu wa Magufuli, ni jambo la fedheha sana.
Yaani mabaya yote ya utawala wa Magufuli (kama ubabe, unyanyasaji, utesaji, wizi) wanasema yalikuwa ya Magufuli mwenyewe, lakini mema yote ya Magufuli (kama ujenzi, miradi, usimamizi, uwajibikaji) wanasema yalikuwa ya wote kwa umoja wao! Huu ni unafiki mkubwa.
Sote tunajua kuwa uchaguzi wa 2015 ulichezewa ili Magufuli aingie madarakani, na uchaguzi wa 2020 ulichezewa na Magufuli mwenyewe kwa 100% ili aendelee kukaa madarakani. Na Magufuli aliyafanya hayo yote kwa maslahi yake binafsi, maslahi ya CCM na maslahi ya wasaidizi wake. Leo hii watu wale wale kumkaanga Magufuli kisiasa ni jambo la ajabu sana.
Kwanini hawakusema hayo wakati Magufuli akiwa bado hai?
Kwanini hawakukaa hata pembeni ili kukwepa kushiriki dhuluma aliyotendwa na Magufuli?
Yaani leo hii Magufuli amegeuzwa na CCM ya mama Samia kuwa dampo la kufichia uchafu wote wa kisiasa unaonuka wa CCM uliofanywa na CCM na serikali yake tangu 2015-2021. Hii hatari sasa.
Ilitosha sana kwa mama Samia na CCM yake kuja kwanza hadharani kuwaomba radhi watanzania kwa utawala mbovu wa Magufuli uliokosa aibu, utu na haki, kisha kutafuta maridhiano ili ukurasa mbovu wa utawala wa Magufuli ufungwe milele katika taifa letu.
Unamuuliza swali mtu mwenye uelewa mdogo sana wa jinsi CCM inavyoendesha mambo yake.Unafikiri Magufuli angepewa uhiari wa kuchagua mgombea mwenza 2015 angemchagua Samia? Huijui CCM wewe.
Hii watu JF kutofahamiana kuna uzuri na ubaya wake. Ungejua Kichuguu ni nani ungeomba radhi haraka sana kwa andiko lako hili.Kama hujui hizi taarifa, jihesabu wewe ni mtoto mdogo kama Kichuguu. Acha milima tukupe vitu ndiyo nawe ukomae. Endelea kusoma madini toka kwa wajuvi
Bila Mwenyezi Mungu JPM asingekua Raisna Magufuli alitakiwa ajue bila Mkapa yeye asingekuwa raisi
Mkuu tena bora yeye anasemwa akiwa marehemu, yeye aliwatolea kauli za hovyo watangulizi wake hadharani na wakiwepo,hao wanaosema Magufuri hasisemwe mamejiuliza watangulizi wake Magufuri walikuwa wanajisikiaje?.Magufuli aliwasema wengine na hata kuwadhalilisha Viongozi waliopita naye akubali kusemwa. Usimtendee mtu mwingine Mambo ambayo hutaki utendewe.
Amina salum?!!!Siyo kweli. Kwanza Magufuli ndiyo anapaswa kushukuru kwa kuwa Mgombea. Kwenye kura aliongoza Amina Salum, akafuata Magufuli then Asha Rose Migiro.
Kama Mkapa asingemkomalia Kikwete huyo Mwendazake asingesikika popote
Magufuli nae alizungumza mabaya ya kikweteAcheni kudanganya umma. Bila mkapa JPM angekuwa Rais.
Hoja ya msingi sio Bila Mkapa JPM angekuwa Rais , Hoja ya msingi ni Rais SSH kuendelea kuzungumza mabaya ya JPM as if she was not part of the rotten system ili hali yeye na timu yake haijakiri hadharani kuwa kilichofanywa na JPM wanaomba radhi na haikuwa katika matakwa yao.
Kama unaipinga hoja ya kwamba Magufuri kuwa rais haihusiani na Kikwete kwa kuwa tu urais anapanga Mungu, Kwa nini pia usikubali kuwa Samia kuwa rais si kwa sababu ya Magufururi bali ni kwa kuwa urais anapanga Mungu?.Magufuli angekuwa Rais bila Kikwete. ?
Urais anapanga Mungu shubashiii
Amina ndio aliongoza sio Magufuli. Ndio maana alikataa Mambo ya siasa alijua akiruhusu hatamaliza miaka kumi. Alijitahidi kutengeneza himaya ya kumlinda.
Magufuli anajadiliwa kuliko baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Hakika JPM alikuwa chaguo la Mungu wa mbinguni.
Mediocre reasoning johnthebaptist , too low for youMbona hapo Ufipa mlikuwa mnawachangisha akina Lijualikali tsh 8 bilioni halafu wakiugua mnawatelekeza muhimbili hadi Chongolo wa CCM akasaidie!!!