Rais Samia anapaswa kupewa mbinu za kujibu interview, wasaidizi wake mmemuangusha

Rais Samia anapaswa kupewa mbinu za kujibu interview, wasaidizi wake mmemuangusha

Acha usanii alijibu ukweli wa nafsi yake kwamba yeye alikuwa na mtazamo tofauti na boss wake kuhusu Covid-19, ikionekana amekosea ibaki hivyo I we sehemu ya CV take, kila MTU abebe mzigo wake ndio uwezo wake
Alisema alipata wakati mgumu kufanya kazi na Magufuli,kutofautiana ni sawa kila mtu anatofauti zake Ila kusema ilikuwa ni ngumu kufanya nae kazi ni totally different
 
Mambo mengine ni uwezo binafsi.

Swala hapa ni kutomuexpose na situations kama hizo.

Yaani wasaidizi wake wawe wajanja kumkwepesha na mazingira kama hayo. Itokee very rare kuwa anahojiwa na vyombo vikubwa kama hivyo.

Huko mbele watu wako ahead of us kwa karne kadhaa. Uwezo wao wa kufikiri ni mkubwa sana.
Mficha uchi hazai aacha aaibike hivyo hivyo hana sifa za urais hio ni fact.
 
Nadhani kuna shida mahali nchi haiwezi kuwa kama mlango wa nyumba ya kichaa leo kaja kiongozi huyu umefunguka Kesho kaja mwingine umefungwa keshokutwa kaja mwingine umefungukuka.No tuwe serious tuwe na hoja hii trend ya mara funga kisha fungua kisha funga halafu fungua unafiki !! kwa nini hatuwi na sera na mkakati sustainable .Kwa nini itegemee nani yuko madarakani hadi mtu itoke nje ujikombe kusema mimi niko tofauti na yule wakati ulikuwa Serikali hiyo hiyo?
Nchi ilikuwa inaeleweka vizuri na mwendeleozo mzuri tangia enzi za Mwinyi, Mkapa, Kikwete kwenye uchumi na Mambo ya nje, walikua wakitofautiana lakini tofauti hazikuwa kubwa Bali marekebisho tu

Ila alipokuja Magufuli ikawa ni drastic changes, very radical, Hasa kwenye uchumi na Mambo ya nje

Samia anaendeleza Ile njia ya Mkapa na Kikwete na kuachana na ya Magufuli

Sema ninachotofautiana nae ni haya Mambo ya kusema ilikuwa ngumu kufanya kazi na Magufuli...haijakaa sawa
 
Interview zote za wakubwa (Marais, wafalme, n.k) maswali ya msingi huandaliwa kabla na muhusika hupewa kabla ya interview. Maswali ya nyongeza katika swali la msingi ndie ya papo kwa papo.

Kifupi binafsi ninaimani kuwa Rais alijiandaa kujibu hivyo hivyo. Sioni kama kitu kipya kwani hata hapa nyumbani alishawahi kusema kuwa Nidhamu katika awamu ya 5 ilikuwa ni nidhamu ya uoga. Kauli hii sioni kama inatofautina sana na hiyo ya kufanya kazi na Magu.

Aliamua kuyatoa ya moyoni, na kwa kila mtu aliyewahi kufanya kazi na Magu atamuelewa Rais vizuri sana na atampa 5 nafikiri.
Very clear hajaanza kumkaanga magufuli huko marekani
 
Nchi ilikuwa inaeleweka vizuri na mwendeleozo mzuri tangia enzi za Mwinyi, Mkapa, Kikwete kwenye uchumi na Mambo ya nje, walikua wakitofautiana lakini tofauti hazikuwa kubwa Bali marekebisho tu

Ila alipokuja Magufuli ikawa ni drastic changes, very radical, Hasan kwenye uchumi na Mambo ya nje

Samia anaendeleza Ile njia ya Mkapa na Kikwete na kuachana na ya Magufuli

Sema ninachotofautiana nae ni haya Mambo ya kusema ilikuwa ngumu kufanya kazi na Magufuli...haijakaa sawa
Angesema kwetu boss akisema habishiwi ndio katiba yetu
 
Interview zote za wakubwa (Marais, wafalme, n.k) maswali ya msingi huandaliwa kabla na muhusika hupewa kabla ya interview. Maswali ya nyongeza katika swali la msingi ndie ya papo kwa papo.

Kifupi binafsi ninaimani kuwa Rais alijiandaa kujibu hivyo hivyo. Sioni kama kitu kipya kwani hata hapa nyumbani alishawahi kusema kuwa Nidhamu katika awamu ya 5 ilikuwa ni nidhamu ya uoga. Kauli hii sioni kama inatofautina sana na hiyo ya kufanya kazi na Magu.

Aliamua kuyatoa ya moyoni, na kwa kila mtu aliyewahi kufanya kazi na Magu atamuelewa Rais vizuri sana na atampa 5 nafikiri.
Samia hkudhamiria kusema maneno ya kumnanga Magu.
Kama unafuatilia hotuba zake mara nyingi hamnangi Magufuli

Hii ya juzi kuhusu nidhamu, alisema Magufuli alikuwa na staili yake ya ukali ambayo ilifanya kazi, Ila yeye kwa nature yake sio mkali atatumia staili nyingine

Hakukua na neno baya hapo zaidi ya spinning za mitandaoni
 
Sasa uwongo kusema ukweli mbona yeye magufuli alikuwa anajimbwafai kusema kwamba watanzania tulipigwa sana alikuwa anauchafua sana awamu ya nne .aende mbele huko tutamchafua mwanzo mwisho
 
Wamarekani wenyewe wanaomba yasije kuwakuta kama yaliyotukuta Tanzania Biden akafa yule mama akachukua nchi kwani wanajua madhara ya mwanamke kua kichwa cha nchi.

Mwanamke ni mwanamke tu.

Wamekuwapo wa shoka kama kina Margaret Thatcher, Golda Meir, Angela Merkel, Indira Gandhi, Benazir Butho nk.

Wanawake nao ni watu tu ambako pia hata aina za akina Lusinde, Msukuma au Gwajiboy nako wapo.
 
Very clear hajaanza kumkaanga magufuli huko marekani
Samia hajawahi kumnanga Magu kabla, ni spinning tu za mtandaoni

Juzi alisema Magufuli alikuwa na staili yake ya ukali iliyoleta nidhamu, akasema yeye kiasili sio mkali atakuwa na staili yake, huko sio kumnanga
 
Samia hkudhamiria kusema maneno ya kumnanga Magu.
Kama unafuatilia hotuba zake mara nyingi hamnangi Magufuli

Hii ya juzi kuhusu nidhamu, alisema Magufuli alikuwa na staili yake ya ukali ambayo ilifanya kazi, Ila yeye kwa nature yake sio mkali atatumia staili nyingine

Hakukua na neno baya hapo zaidi ya spinning za mitandaoni
Aibu yake abebe mwenyewe Samia alikuwa mpinzani wa Magufuli kajipambanua hajalazimshwa
 
Samia hajawahi kumnanga Magu kabla, ni spinning tu za mtandaoni

Juzi alisema Magufuli alikuwa na staili yake ya ukali iliyoleta nidhamu, akasema yeye kiasili sio mkali atakuwa na staili yake, huko sio kumnanga
Msitetee kila MTU abebe mzigo wake Samia upeo mdogo, ashakuwa bibi
 
Sasa uwongo kusema ukweli mbona yeye magufuli alikuwa anajimbwafai kusema kwamba watanzania tulipigwa sana alikuwa anauchafua sana awamu ya nne .aende mbele huko tutamchafua mwanzo mwisho
Sio fair bhana bibi yeye anavua nchi nguo
 
wanaomkosoa Rais walipaswa watuambie jee walitaka Rais aseme hakuwahi kutofautiana mawazo na Bosi wake?

kwanini tunataka Rais wetu awe muongo muongo?


sie tunataka dola za Wazungu mwacheni aseme lolote ambalo litarahisisha upatikanaji wa fedha

hata Comrade Kinana aliinanga sana Serikali ya Jakaya 2010-2015 ili kuingiza maboya wananchi tupate ushindi na kweli ushindi ukapatikana …mwanasiasa ili afanikishe lake hutumia 'silaha ' zote
Nina uhakika Kuna maswali asingeweza kujibu. Mara ya mwisho alipohojiwa na bbc kuhusu kesi ya mbowe alisema "no comment". Na ndio naona alimaanisha huyu mleta thread.
Kwa hiyo angeulizwa ana vifaa vya aina gani vya kijeshi, angesema vyote?
 
Uingereza, Ujerumani, New Zealand, Liberia, hata wahafidhina kama Pakistan waliongozwa na wanawake ambao walifanya vizuri kuliko wanaume wengi tu
Walianza kupata kwanza Maendeleo. Irudishe UK na Germany miaka 200 nyuma alafu peleka mwanamke uone
 
Walianza kupata kwanza Maendeleo. Irudishe UK na Germany miaka 200 nyuma alafu peleka mwanamke uone
Sasa hivi hawataki maendeleo?
Halafu hapo nikekutajia nchi kama Liberia iliyokuwa na migogoro na Vita kibao Kisha ikaongozwa na mwanamke ikatulia na kupata maendeleo

Haya mawazo ya kijima Sana,
 
Back
Top Bottom