Rais Samia anasema 'hili tunalichukua'. Hayati John Magufuli aliamua pale pale jukwaani

Rais Samia anasema 'hili tunalichukua'. Hayati John Magufuli aliamua pale pale jukwaani

Wote wanaweza kuwa sawa..
Wote wanaweza wasiwe sawa..
Mmoja anaweza kuwa sawa na mwingine hapa.

Taifa la Tanzania na watu wake kuna mahala linamtaka Marehemu JPM na hulka yake ileile..
Hii nchi kuna baadhi ya watu wajinga sana, narudia tena wajinga sana na ndio wanasababisha hii nchi iwe hapa kwa sasa..

Wakati huu Taifa linahitaji mtu kama marehemu atuvuruge sana na tukija kukaa sawa miaka mingi mbele ndio waje viongozi aina hii ya Mama , pamoja na JK... Style ya uongozi wa mipango na kuamini watu inafaa sana kwenye mataifa yaliyoendelea tayari lakini sio kwa Taifa kama hili lenye baadhi ya watu primitive na wajinga...
Nakubaliana nawe 100%
 
Kwa aina ya watu tulionao kwenye utumishi wa umma, sekta binafsi zenye kushikilia kiuchumi, na wananchi wa kada nyingi tulihitaji uongozi wakariba ya Hayati JPM watu wetu wengi tunawaongoza wanahitaji kusukumwa kwa nguvu ukiwapa nafasi ya kujisimamia wanaujinga mwingi kuliko unavyo weza kufikiria. Mtu ambaye anatoa malalamiko kuhusu aina ya uongozi wa JPM hajawahi kuongoza... sisi ambao ambao tumeongoza taasisi na makundi makubwa ya watu tunajua namna watu wetu waliovyo.. ukilegeza kamba kidogo jiandae kulaumiwa..

Watu wanawaza wizi na utajiri wa kupindukia wanawaza rushwa kwa makusudi, hawana mipango ya kufanikisha malengo ya taasisi, wanasababisha urasmu ili kuweka mazingira ya kupewa kitu, angali taasisi za uma zenye mamlaka ya utoaji leseni, vibali mbali mbali wanavyo tekeleza majukumu yao kuna mambo hayapo sawa ni watendaji wachache sana wenye kusimamia haki. Angali mahakama, polisi, uhamiaji na vyombo vingine vinavyo simamia sheria, ukiwa ni mtu ambae umehudumiwa na makundi haya kwa haki bila usumbufu au mazingira ya rushwa una haki ya kukataa aina ya uongozi wa JPM.

Kwa eneo kubwa mama ni mtu laini sana kuweza kusimamia nchi yenye watu wa aina yetu, hakuna kitakacho fanyika kwa kizingatia muda na gharama halisi ( Inflation kila kona) , kila siku ataishia kutueleza yeye ni mpole asiye fokea watu nk. Si mlaumu maana mazingira alikotokea na aina ya maisha aliyopitia hii kwake ni zali la mentali..... Lakini watamwangusha sana kwa hilo ninauhakika kwa kuwa nayashuudia kila siku.

Wafanyabiashara duniani kote ni watu wanaobanwa kulipa kodi na kudhitiwa kwenye mfumuko wa bei, ukiwaachia wanakuchezesha maana mstari kati ya wahalifu wa wafanyabiashara ni mwembamba sana. Swali la kujiuliza ni kwa hawa wamachinga wanaolalamikiwa kukwepa kodi..(Kuchafua mazingira naliacha kwanza) Je machinga ni nani ... trade dealer, peddler au mchuuzi yaani ni mtu anaeuza end products to be used with last consumer.. Sio Distributor, sio whole seller sio muagizaji, kama hivyo ndivyo serikali inashindwaje kukusana kodi yake? Maana yake wafanyabiashara wakubwa wana watumia machinga kukwepa kodi... sasa leo Dar wameanza kuwaondoa ngoja tuone makusanyo kama yataongezeka! Petrolium products zinapanda kila kukicha, bidhaa za chuma kila siku juu, mafuta ya kula nk Bila kuwa na mtu wa kuwafinya wafanyabiashara wananchi wa kawaida ndio wana beba mizigo yote na mwisho umasikini kuisha kwao ni ndoto ya alinacha.​
Kwa hoja zako naamini kabisa wewe umeshaongoza kundi la watanzania mahaliau hata kuwa kiongozi mpaka sasa. Watanzania sisi ni watu wa maneno mengi outcomes zero kabisa.
 
Uongozi ni kuamua tu kuchukua njia unayopita, unapita unaenda zako bila ya kujali kelele za kutoridhika au vigelegele vya kuridhika.....,miaka yenyewe mingapi ya uongozi ya kuridhisha wote!!

Maamuzi ya papo kwa papo yana uwezekano mkubwa wa kukosea kunakotokana na kukosa taarifa sahihi na mwisho wa siku mtu anaonewa (nina uhakika katika kila maamuzi natano ya papo kwa papo, mawili yanakuwa sivyo). Faida ya hii ni kuwa watu ni kweli wanakuogopa na hujitahidi kuwa 'sio wao' ili kubaki salama

Style ya mama ya 'kulichukua' ina uwezekano wa kutenda haki lakini ina shida ya kuchelewa na......nchi ni kubwa sana yatachukuliwa mangapi miaka yenyewe mitano au 10 tu!

Suluhisho: nenda tu na unachoamini ni sahihi!
Iweke mada yako kwa muktadha wa maamuzi yake kwenye biashara ya korosho mwaka 2018. Ndiyo utamuelewa mtoa mada
 
Unakwenda kujadili na serikali yako ili mje na majibu ya kina na yatakayodumu miaka mingi ijayo. Uingereza ni dunia ya kwanza yenye teknolojia ya juu sana ya kutatua matatizo mbalimbali.

Majibu ya pupa huwa na madhara ya kudumu na ya muda mrefu ujao. Pia unajenga tabia ya kuogopwa na mfumo mzima, kila mtu anataka kukimbia ili aende na kasi yako, nani kakudanganya kuwa kasi yako ndio sahihi kulinganisha na za wengine?.
Fanya kazi halali bwana mdogo, wacha kutegemea uongozi dhaifu wa samia kama kichaka cha kuiba na kufanya usanii.

Be honest and do your duties to the expected standards. Acha janja janja hazikusaidii.

Huu uswahili wa kupenda lelemama na kudekezwa kipwani pwani utajikuta umeshaliwa sehemu ambazo sio sahihi.

FANYA KAZI, ACHA WIZI.
 
Siku zote maamuzi ya kukulupuka yana hasara nyingi.
Kutoa maamuzi ya papo kwa papo ni ukosefu wa hekima.
 
Ndio maana maamuzi yake yanaweza kuipeleka nchi ndani ya shimo na ikashindikana kutoka.
Acha uswahili wewe, fanya kazi.

Hii nchi yenye watu wajinga kama wewe ilistahili kiongozi mwenye hulka za magufuli ili awapeleke mchaka mchaka muache kujidekeza hovyo na kupenda kuchuma msipopanda.

Vijitu vizembe zembe tu, kujidekeza hovyo.... kuiba iba tu... oohh staha sijui nini! Ukifanya ujinga unashughulikiwa tu right on the spot.

Hiyo ndiyo ilikuwa dawa sahihi ya wavivu na wezi kama wewe — na kwa kweli tumeona faida yake. Nchi ilipaa kwa kasi na watu wakawa na nidhamu kazini.
 
Fanya kazi halali bwana mdogo, wacha kutegemea uongozi dhaifu wa samia kama kichaka cha kuiba na kufanya usanii.

Be honest and do your duties to the expected standards. Acha janja janja hazikusaidii.

Huu uswahili wa kupenda lelemama na kudekezwa kipwani pwani utajikuta umeshaliwa sehemu ambazo sio sahihi.

FANYA KAZI, ACHA WIZI.
Kwa hiyo wewe Kivumishi Kielezi unatuaminisha kuwa unaliwa sehemu zisizofaa?

Kama huna hoja soma pita mbele siyo lazima ujibu hoja nzito ambazo huna uwezo nazo
 
We ulitaka akurupuke? Ndio maana alikuwa anaamua maamuzi hewa na maagizo hayatekelezeki..

Au anabadili matumizi hovyo ya fedha za Umma au haheshimu bajeti,mama sio mjinga na roporopo au mkurupukaji..

Na good enough akilichukua na kuahidi huwa anatenda.Maamuzi ya Magu yalikuwa yana disrupt hovyo mipango ya serikali..

Mwisho kila kiongozi ana utaratibu wake wa utendaji.
 
Kwa aina ya watu tulionao kwenye utumishi wa umma, sekta binafsi zenye kushikilia kiuchumi, na wananchi wa kada nyingi tulihitaji uongozi wakariba ya Hayati JPM watu wetu wengi tunawaongoza wanahitaji kusukumwa kwa nguvu ukiwapa nafasi ya kujisimamia wanaujinga mwingi kuliko unavyo weza kufikiria. Mtu ambaye anatoa malalamiko kuhusu aina ya uongozi wa JPM hajawahi kuongoza... sisi ambao ambao tumeongoza taasisi na makundi makubwa ya watu tunajua namna watu wetu waliovyo.. ukilegeza kamba kidogo jiandae kulaumiwa..

Watu wanawaza wizi na utajiri wa kupindukia wanawaza rushwa kwa makusudi, hawana mipango ya kufanikisha malengo ya taasisi, wanasababisha urasmu ili kuweka mazingira ya kupewa kitu, angali taasisi za uma zenye mamlaka ya utoaji leseni, vibali mbali mbali wanavyo tekeleza majukumu yao kuna mambo hayapo sawa ni watendaji wachache sana wenye kusimamia haki. Angali mahakama, polisi, uhamiaji na vyombo vingine vinavyo simamia sheria, ukiwa ni mtu ambae umehudumiwa na makundi haya kwa haki bila usumbufu au mazingira ya rushwa una haki ya kukataa aina ya uongozi wa JPM.

Kwa eneo kubwa mama ni mtu laini sana kuweza kusimamia nchi yenye watu wa aina yetu, hakuna kitakacho fanyika kwa kizingatia muda na gharama halisi ( Inflation kila kona) , kila siku ataishia kutueleza yeye ni mpole asiye fokea watu nk. Si mlaumu maana mazingira alikotokea na aina ya maisha aliyopitia hii kwake ni zali la mentali..... Lakini watamwangusha sana kwa hilo ninauhakika kwa kuwa nayashuudia kila siku.

Wafanyabiashara duniani kote ni watu wanaobanwa kulipa kodi na kudhitiwa kwenye mfumuko wa bei, ukiwaachia wanakuchezesha maana mstari kati ya wahalifu wa wafanyabiashara ni mwembamba sana. Swali la kujiuliza ni kwa hawa wamachinga wanaolalamikiwa kukwepa kodi..(Kuchafua mazingira naliacha kwanza) Je machinga ni nani ... trade dealer, peddler au mchuuzi yaani ni mtu anaeuza end products to be used with last consumer.. Sio Distributor, sio whole seller sio muagizaji, kama hivyo ndivyo serikali inashindwaje kukusana kodi yake? Maana yake wafanyabiashara wakubwa wana watumia machinga kukwepa kodi... sasa leo Dar wameanza kuwaondoa ngoja tuone makusanyo kama yataongezeka! Petrolium products zinapanda kila kukicha, bidhaa za chuma kila siku juu, mafuta ya kula nk Bila kuwa na mtu wa kuwafinya wafanyabiashara wananchi wa kawaida ndio wana beba mizigo yote na mwisho umasikini kuisha kwao ni ndoto ya alinacha.​
Tatizo ni pale tuliporuhusu wafanya biashara kuwa pia wafadhili wa wana siasa...Jambo ambalo lina i cost nchi yetu kama ilivyo America
 
Back
Top Bottom