Rais Samia anasema 'hili tunalichukua'. Hayati John Magufuli aliamua pale pale jukwaani

Nakubaliana nawe 100%
 
Kwa hoja zako naamini kabisa wewe umeshaongoza kundi la watanzania mahaliau hata kuwa kiongozi mpaka sasa. Watanzania sisi ni watu wa maneno mengi outcomes zero kabisa.
 
Iweke mada yako kwa muktadha wa maamuzi yake kwenye biashara ya korosho mwaka 2018. Ndiyo utamuelewa mtoa mada
 
Fanya kazi halali bwana mdogo, wacha kutegemea uongozi dhaifu wa samia kama kichaka cha kuiba na kufanya usanii.

Be honest and do your duties to the expected standards. Acha janja janja hazikusaidii.

Huu uswahili wa kupenda lelemama na kudekezwa kipwani pwani utajikuta umeshaliwa sehemu ambazo sio sahihi.

FANYA KAZI, ACHA WIZI.
 
Siku zote maamuzi ya kukulupuka yana hasara nyingi.
Kutoa maamuzi ya papo kwa papo ni ukosefu wa hekima.
 
Ndio maana maamuzi yake yanaweza kuipeleka nchi ndani ya shimo na ikashindikana kutoka.
Acha uswahili wewe, fanya kazi.

Hii nchi yenye watu wajinga kama wewe ilistahili kiongozi mwenye hulka za magufuli ili awapeleke mchaka mchaka muache kujidekeza hovyo na kupenda kuchuma msipopanda.

Vijitu vizembe zembe tu, kujidekeza hovyo.... kuiba iba tu... oohh staha sijui nini! Ukifanya ujinga unashughulikiwa tu right on the spot.

Hiyo ndiyo ilikuwa dawa sahihi ya wavivu na wezi kama wewe — na kwa kweli tumeona faida yake. Nchi ilipaa kwa kasi na watu wakawa na nidhamu kazini.
 
Kwa hiyo wewe Kivumishi Kielezi unatuaminisha kuwa unaliwa sehemu zisizofaa?

Kama huna hoja soma pita mbele siyo lazima ujibu hoja nzito ambazo huna uwezo nazo
 
We ulitaka akurupuke? Ndio maana alikuwa anaamua maamuzi hewa na maagizo hayatekelezeki..

Au anabadili matumizi hovyo ya fedha za Umma au haheshimu bajeti,mama sio mjinga na roporopo au mkurupukaji..

Na good enough akilichukua na kuahidi huwa anatenda.Maamuzi ya Magu yalikuwa yana disrupt hovyo mipango ya serikali..

Mwisho kila kiongozi ana utaratibu wake wa utendaji.
 
Sasa hivi tuna Kiongozi ambaye ni kama Jibwa kubwa lisilo na meno. Kutikisa mkia tu na kubweka kwa sauti ya chini...

A very FAT and powerless dog. What a waste!!!

Yaani duuh ni shida mno!!
Huo ni mtazamo wako, kila mtu anao wa kwake.
 
Tatizo ni pale tuliporuhusu wafanya biashara kuwa pia wafadhili wa wana siasa...Jambo ambalo lina i cost nchi yetu kama ilivyo America
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…