residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Mkuu, mfalme Suleiman aliomba hekima kwa Bwana Mungu,hivyo huwezi kumfananisha na binadamu yoyote.Yote ni sawa tu hata mahakamani maamuzi huchukua muda lakini badi hukumu inaweza kukosewa mmuzi shihi kwako ni pale utavyoyapokea wewe. Mfano mtu kadulumiwa ng'ombe na polisi halafu kaha kushitaki kwako wew kama kiongozi halafu unawaachia polis wachunguze.
Maamuzi ya papo kwa papo yanahitaji umakini wa hali ya juu na hofu ya Mungu ni sawa na kuibu maswali ya papo kwa papo. Hii njia ndio aliyikuwa anaitumia mfalme Suleman enzi hizo.
Kuongea/kuandika ukweli juu ya mtu fulani ni chuki!!???Hii chuki mliyonayo kwa JPM kwahakika itawa haunt maisha yenu yote...Hivi kwanza hamuoni kuwa ni laana kugombana na maiti? Mtu anaweza dhani mlimloga daah, mbona mnajichora hivi?
Uongozi wa Nchi unaofuata Sheria na Haki au Uongozi wa Familia ambao ni dictatorship ?Uongozi ni kuamua tu kuchukua njia unayopita, unapita unaenda zako bila ya kujali kelele za kutoridhika au vigelegele vya kuridhika.....,miaka yenyewe mingapi ya uongozi ya kuridhisha wote!!
Maamuzi ya papo kwa papo yana uwezekano mkubwa wa kukosea kunakotokana na kukosa taarifa sahihi na mwisho wa siku mtu anaonewa (nina uhakika katika kila maamuzi natano ya papo kwa papo, mawili yanakuwa sivyo). Faida ya hii ni kuwa watu ni kweli wanakuogopa na hujitahidi kuwa 'sio wao' ili kubaki salama
Style ya mama ya 'kulichukua' ina uwezekano wa kutenda haki lakini ina shida ya kuchelewa na......nchi ni kubwa sana yatachukuliwa mangapi miaka yenyewe mitano au 10 tu!
Suluhisho: nenda tu na unachoamini ni sahihi!
Wachache wameumizwa na wengi wakanufaika,Madhara ya ujasiri yamekuja kuonekana baadae. Watu wameumizwa kwa maamuzi hayo yaliyowafurahisha watu jukwaani na wakaishia kushangilia.
Kumekuwepo na uonevu na makundi mawili yasiyokuwa na sababu wala umuhimu.
Maneno yasiwe mengi,Uongozi wa Nchi unaofuata Sheria na Haki au Uongozi wa Familia ambao ni dictatorship ?
Busara ya kufuata ushauri na kuliangalia jambo kwa mapana na marefu ipo pale ili kuweka check and balances..., kwahio kiongozi akiwa chizi akiamua kesho tuwavamie majirani zetu wote ni sawa tu sababu akili yake inamwambia ni sahihi ?, Au akiambiwa fulani ni mchawi basi amuhukumu bila kuhakikisha huenda anasingiziwa ?
Upuuzi ni mwingi, wiziwizi tuWote wanaweza kuwa sawa..
Wote wanaweza wasiwe sawa..
Mmoja anaweza kuwa sawa na mwingine hapa.
Taifa la Tanzania na watu wake kuna mahala linamtaka Marehemu JPM na hulka yake ileile..
Hii nchi kuna baadhi ya watu wajinga sana, narudia tena wajinga sana na ndio wanasababisha hii nchi iwe hapa kwa sasa..
Wakati huu Taifa linahitaji mtu kama marehemu atuvuruge sana na tukija kukaa sawa miaka mingi mbele ndio waje viongozi aina hii ya Mama , pamoja na JK... Style ya uongozi wa mipango na kuamini watu inafaa sana kwenye mataifa yaliyoendelea tayari lakini sio kwa Taifa kama hili lenye baadhi ya watu primitive na wajinga...
HahahahaaaaaaMwananchi : "Msaada! Msaada!, Naungua moto! Jamani Msaada!"
SSH : "Hili tumelichukua.Tutazungumza na fire tuone tunawezaje kulishughulikia"
JPM : "Chukua fire extinguisher zima moto!"
Alafu bado kuna watu wanathubutu kusema utendaji huo haukuwa na tija! Tanzania is burning in poverty,ignorance and diseases.
Ongezea na hii..Wote wanaweza kuwa sawa..
Wote wanaweza wasiwe sawa..
Mmoja anaweza kuwa sawa na mwingine hapa.
Taifa la Tanzania na watu wake kuna mahala linamtaka Marehemu JPM na hulka yake ileile..
Hii nchi kuna baadhi ya watu wajinga sana, narudia tena wajinga sana na ndio wanasababisha hii nchi iwe hapa kwa sasa..
Wakati huu Taifa linahitaji mtu kama marehemu atuvuruge sana na tukija kukaa sawa miaka mingi mbele ndio waje viongozi aina hii ya Mama , pamoja na JK... Style ya uongozi wa mipango na kuamini watu inafaa sana kwenye mataifa yaliyoendelea tayari lakini sio kwa Taifa kama hili lenye baadhi ya watu primitive na wajinga...
Mpaka Sasa limeshaleta amani na mapatano ndani ya CCM na serikalini kwa ujumla.“hili tunalichukua' hili neno watanzania hawakulizoea awamu ya tano, litakigarimu ccm 2025-2030
Ungewajua waswahili kwa kutengenezeana kesi na kutafutiana ubaya ungekuwa na mawazo mengine kabisa.Imagine, wewe ndo Rais unakuta mtu mmoja amehujumu mradi wa maji ambayo yangehudumia hata zaidi ya Wananchi 5000, unamwuliza Mbunge anakiri kuwa, huyo ndo kahujumu mradi, Wananchi nao wanasema vivyo hivyo, halafu bila aibu unasema, HILI TUNALICHUKUA, TUTALIFANYIA KAZI.
Huo ni ulegevu na kukosa kabisa uwajibikaji.
NI maoni yako kusema mama anaharibu nchi wakati wanaume wameishaiharibu tangu uhuru.wanawake kwa ujumla hawaaminiki ndugu yangu, anayemsifia mwanamke hana tofauti na nyimbo za wale wanaoimba kulisifia PENZI wakati kila siku wanaangamizwa na hilohilo penzi. Ndicho unachotaka kujaribu kusema hapo...kwa ufupi mama anaharibu nchi. Nchi hii imetawaliwa na wahuni haina haja ya kusubiri kuamua..ni papo kwa papo marekebisho baadae. Hili neno analotumia "tunalichukua" linatuingiza shimoni tukiwa wazima wazima
Baada ya JPM kuaga dunia huyo huyo akawa ndio rais wetu baada ya kuapishwa ndani ya ikulu. Ni mpaka 2025 au 2030.Maneno yasiwe mengi,
Hangaya ni dhaifu!
[emoji817][emoji1241]Wote wanaweza kuwa sawa..
Wote wanaweza wasiwe sawa..
Mmoja anaweza kuwa sawa na mwingine hapa.
Taifa la Tanzania na watu wake kuna mahala linamtaka Marehemu JPM na hulka yake ileile..
Hii nchi kuna baadhi ya watu wajinga sana, narudia tena wajinga sana na ndio wanasababisha hii nchi iwe hapa kwa sasa..
Wakati huu Taifa linahitaji mtu kama marehemu atuvuruge sana na tukija kukaa sawa miaka mingi mbele ndio waje viongozi aina hii ya Mama , pamoja na JK... Style ya uongozi wa mipango na kuamini watu inafaa sana kwenye mataifa yaliyoendelea tayari lakini sio kwa Taifa kama hili lenye baadhi ya watu primitive na wajinga...
Upotevu wa muda. Badala ya kufanya mambo ya msingi unaanza kujadili matatizo ya baadhi ya watendaji wako.Hili la tutalichukua hata mimi nililipenda manake suala la kusikia hapohapo ukatoa uamuzi unaweza kuingizwa chaka. Kiongozi analichukua anaenda kuketi na wasaidizi wake, wanalichakata kisha anafanya kitu Wamatumbi wanaita informed decision. Ukifanya papo kwa papo kunakuwa na information asymmetry na matokeo yake uamuzi unakuwa biased. Nakumbuka mama mmoja aliwahi kulia mbele ya JPM na JPM akatoa maamuzi fulani ikiwa ni pamoja na mama kupewa ulinzi ila baadaye ikajajulikana kwamba yule mama ni tapeli; angelichukua na kulichakata angejua mama alitaka kumuingiza King!
Mama anajipa muda kabla hajafanya maamuzi; wengine wanaweza kusema hafanyi maamuzi lakini si sawa kwa kuwa ili ufanye maamuzi mazuri unatakiwa kuwa na information toshelevu. Maamuzi ya Rais ni hatari hayafai kufanyika kidharura kwani yanaweza kujeruhi vibaya. Mama yachukue yachakate, rudisha feedback na itakuwa vyema hiyo feedback ikiwa public.