Rais Samia anasema 'hili tunalichukua'. Hayati John Magufuli aliamua pale pale jukwaani

Umeandika kwa mahaba makubwa sana uliyonayo kwa RIP Magufuli na unayo haki ya kuwa na maoni haya.
Tatizo lako umekurupuka huko na kimawazo chako finyu ukataka kuja kukileta hapa kuharibu image ya Rais Magufuli .

Kwa taarifa yako Magufuli ndio Rais wa pili wa Taifa hili kujulikana huko vijijini baada ya Nyerere.
 
Tatizo lako umekurupuka huko na kimawazo chako finyu ukataka kuja kukileta hapa kuharibu image ya Rais Magufuli .

Kwa taarifa yako Magufuli ndio Rais wa pili wa Taifa hili kujulikana huko vijijini baada ya Nyerere.
Pole sana mkuu. Ninamheshimu Magufuli lakini haitonizuia kutoa maoni yangu kadri navyoona inafaa.
 
Tuseme sifa za “ujasiri” na “uthubutu” za JPM zimeshapoteza maana kwa mtazamo huu mpya?
Ujasiri na uthubutu haziwezi kuwa ni sifa zinazopitwa na muda. Japo zingetumika vyema zingeweza kuwagusa walio wengi kuliko zilivyowagusa nyakati za uhai wa JPM.
 
Ujasiri na uthubutu haziwezi kuwa ni sifa zinazopitwa na muda. Japo zingetumika vyema zingeweza kuwagusa walio wengi kuliko zilivyowagusa nyakati za uhai wa JPM.
Mkuu, sifa hizo zilikuwa zijivumishwa kwa Magufuli bila “qualifications” zozote. Watoaji walikuwa wakiongeza “admiration” yao kwa kiongozi yule jinsi alivyokuwa na “msimamo usioyumba kwa kile anachoamini” bila ufafanuzi zaidi. Ndivyo makada wa CCM walivyokuwa wakimtukuza Magufuli.

Sasa naona msimamo wa Rais unapewa ufafanuzi wa kifalsafa na kimantiki kama ulivyoandika hapa. Ule ujasiri na uthubutu wa Magufuli unatolewa kasoro - kwamba unaweza kuwa ulikuwa na makosa katika baadhi ya nyakati. Hiyo ni qualification ya msingi.

Ukweli usemwe kuwa ule “ujasiri” na “uthubutu” wa Magufuli ulikuwa ni synonym ya UDIKTETA, period. No need to philosophize about the obvious. Haikuwa sifa ya uongozi makini. A clear line should be drawn between Magufuli and Samia instead of fuzzy elaborations. Unless they are the same.
 
hata haya ni maoni yako wewe binafsi, bora mwanaume aharibu kuliko mwanamke kwangu mimi
Yanabakia kuwa maoni yako binafsi pia. Mama Thatcher aliongoza Uingereza pengine wewe ulikuwa bado unaishi viunoni mwa Baba yako.

Ujerumani inaongozwa na mwanamke huu ni muhula wa pili na uchumi umetulia kama enzi za Kohl, badilika achana na mtazamo duni uliofilisika.
 
huwezi fananisha huko na Tanzania ndugu yangu, ina maana kuishi kwako kote hapa duniani...umeamua kufananisha inchi ya huko na hii ya hapa kwetu kiasi kwamba uamini mwananmke anaweza tawala hapa hadi akastawisha nchi?...kuwa makini sana inawezekana unataka ujaribu kuficha ukweli hadharani
 
Mwanamke anatawala hivi tunavyoandika, wewe unasema hawezi kutawala!. Tulia mkuu naona unajipatia maumivu ya kichwa yasiyo na ulazima.

Rais wa Burundi katoka kwao kaja kumuona, wewe unapiga makelele jamii forum!. Ndio tunae mpaka 2025 ikiwezekana ni mpaka 2030.
 
ndio akili zenu zilipoishia hapo, Kaja kuangalia fursa apige hela huyo. Mwanamke hakuna lolote na watakuja sana kujipigia hela hapa. hata akikaa maisha akae tu....ila hakuna kitu pale
 
ndio akili zenu zilipoishia hapo, Kaja kuangalia fursa apige hela huyo. Mwanamke hakuna lolote na watakuja sana kujipigia hela hapa. hata akikaa maisha akae tu....ila hakuna kitu pale
Anapopiga hela wewe unaumia moyoni?. Yaani na akili zako timamu unaumia sana mwenzako anapopiga pesa?.Akili zile zile za kilofa za kiafrika. Riziki ya mwenzio usiilalie mlango wazi, sijui kama msemo huo ulifundishwa shuleni au ulikuwa bado haujazaliwa.

Mama ni mjanja sana, kitu kizuri anakijua vyema. Katoa ruhusa mgodi wa Kabanga Nickel uanze kuchimbwa, ni jukumu letu watu wa Ngara kuanza kushughulika na mradi. Na ipo miradi mingine mingi anayotoa kibali ianze kuzalisha mali.

Wewe unaendekeza dharau za kipuuzi zisizo na kichwa wala miguu hapa Jamii Forum.
 
Tabia ya magufuli ya kuhukumu hapohapo aliambukizwa Lukuvi kwenye kutatua migogoro ya ardhi

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Uzi huu hutamwona kipara kipya,p mayalla,wala bia yetu.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Wewe siyo kiongozi,naamini kama unafamilia basi itakuwa hovyo sana hiyo familia.

Nchi haijengwi na mtu mmoja wala na awamu moja tu.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Aina ya kiongozi wa kutuvuruga kujenga mbili zinazoelekea upande mmoja, Hiyo ni akili?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Sio tu kutumbuliwa hadharani, bali kuna watu wanahitaji viboko kabisa...
Unajua watanzania tuna shida sana hivi Huyu mama kwa akili hawa wapuuzi isiyochambua mambo akiwaambia wakusanye mabango atayafanyia kazi maana yake nini? Yaania aliyesababisha tatizo kama la kula hela za kituo cha afya au shule ndo anaambiwa akusanye mabango atayafanyia kazi! Mama huyu yupo tu kikatiba ila uwexo mdogo!
 
Usimpambe, uwezo huo wa kufanya maamuzi yenye tija na sahihi kwa muda mfupi Samia hana! Magu ni namba nyingine, usijaribu kulinganisha na photocopy iliyoishiwa wino!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…