Rais Samia anawezaje kujenga zahanati 564, Vituo vya Afya 304 na Hospitali 68?

unakosa subira acha kuwaza kumpiga mwenzako na kitu kizito kichwani atakufa.Pili nikukosowe siyo samia kajenga bali serikali.Huu ni mrejesho wa kodi zetu si hisani.
 
Hatare! Ukichanganya na hospitali na vituo vya afya 700 vilivyojengwa wakati JPM bila shaka tutakuwa hatuna tena shida ya vituo vya afya bali vifaa tiba na madawa.

Vv
Nchi hii inawatu wa ajabu sana,

Hivi Kweli Vyamavingi huoni umuhimu wa yanayojengwa?
 
unakosa subira acha kuwaza kumpiga mwenzako na kitu kizito kichwani atakufa.Pili nikukosowe siyo samia kajenga bali serikali.Huu ni mrejesho wa kodi zetu si hisani.
Watu wanaumizwa na wazushi wanaosema Mama hafanyi chochote,
 
Kipi kizuri. Ufe kwa njaa kwa sababu ya ujeuri au uishi au uwe mjinga ili ule na uishi. Ukitaka kula lazima na wewe ukubali kuliwa .......by jk

Sasa jpm hakutaka kuliwa hata kidogo ndo Mana nchi ilikuwa haimuvu kabisa na ajira zote zimepotea wamebbaki machinga wanarandaranda barabarani tu
 
Chawa mmekuwa wengi halafu pia wajinga ni wengi.

Kodi yako ndio inamlipa mshahara huyo Mama pia kodi yako ndio inajenga hayo madarasa na vituo vya afya.

Bila wewe na mimi huyo Rais si kitu .

Chakula ,malazi , matibabu anapata bure kwa kodi zetu kwahiyo hakuna haja ya kusifiwa.

Man up we're not going to buy cheap propaganda and politics of deceit.
 
Wewe pia ni chawa wa Mbowe, Unanyoosheaje wenzio vidole?
 
Nadhani tujadili hoja wala sio Who we are,
Hoja ni kuwa hakuna Samia analoweza kufanya bila nguvu ya wananchi.

Msururu wa kodi na tozo ndio zinaendesha serikali.

Take it to the bank.

Sovereignty belongs to the people ,however supremacy belongs to the constitution so you must not confuse sovereignty with supremacy.
 
Rais ni mwakilishi wa wananchi,

Anachofanya ndicho wanachofanya wananchi and verse versa is true,

take it from me
 
Nikiwa nasoma hapa ndio nakumbuka hoja ya mbunge Manyanya kwamba tuone namna ya kuondoka na chawa kwenye nchi hii.
Nakumbuka pia taarifa ya kwamba hii nchi inakila kitu ila Haina watu sahihi.
 
Tozo za kila mwezi hadi sasa ni kiasi gani wamekusanya
 
Rais ni mwakilishi wa wananchi,

Anachofanya ndicho wanachofanya wananchi and verse versa is true,

take it from me
Awamu ya 5 ilijaa propaganda ya 6 nayo inaelekea kule kule .

Awamu ya 5 walisema walifanikiwa kujenga viwanda 100 kila mkoa ila statistically walipobanwa waoneshe ndio tukaletewa hadi sewing na milling machines kuwa ni viwanda.

Awamu hii inajinasibu kuwa imejenga zahanati na madarasa na asifiwaye ni Samia lakini ni majuzi Samia huyo huyo alipokea mkopo wa Covid Relief Fund ndio zikatumika hapo na hatujui riba ya mkopo huo ni kiasi gani.

Sio ajabu kuona lumumba buku saba inaendelea maana imekuwa kila mtawala anaajiri genge la kumsifia mtandaoni .

Ipo siku mtakuja kumsifia humu anaoga mara 5 kwa siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…