Rais Samia apokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum BoT, CAG abaini uwepo wa malipo kufanywa nje ya bajeti

Watu wanapiga pesa taratibu tu
 
Kwa kuwa wa tz tulisha kubali kupangika,mwendo unaelekea kuwa ni ule ule,mwendo ulioanza ulikuwa wa kutupanga na tukapangika,hivyo tuwe tayari kwa yote yatakayo jiri kwangu matumaini yanafifia kwa kasi ajabu ,sijui wenzangu.
 
Kakonko kesi yake imefikia wapi?

Mfugale kafa yeye duh hakuna kesi

Yaani huyu kafa kwa sababu fulani
Aluzidiwa mbele ya katibu mkuu wa wizara,, mbele ya paymaster mpya kama sikosei,
Usikute alipata mshituko wa roho baada ya kuambiwa ateme pesa...
 
Haka kauzi ni kama kameficha BIG PICTURE kanazungumzia miraji ya nje ya bajeti tu.

Hakuna matumizi hewa kweli??

Hakuna ukwapuaji?

Ngoja iwekwe wazi tutajua SSH hafichagi kitu
 
Sisi wananchi wa kawaida tutaiaminije hiyo report? Tume haikuwa huru...

CCM kuwaamini inahitaji maji ya baraka.
 
Mtumishi wa chini anafukuzwa Kazi kwa kupewa elf 5 ya soda majizi makubwa huwa yanahamishwa wizara
 
Haka kauzi ni kama kameficha BIG PICTURE kanazungumzia miraji ya nje ya bajeti tu.

Hakuna matumizi hewa kweli??

Hakuna ukwapuaji?

Ngoja iwekwe wazi tutajua SSH hafichagi kitu
Kuna double payment,au hukusoma hiyo barua?
 
Sisi wananchi wa kawaida tutaiaminije hiyo report? Tume haikuwa huru...

CCM kuwaamini inahitaji maji ya baraka.
Barua imeeleza mapungufu,sema mnasoma juu juu,,NOTE,, pesa zilienda ktk taasisi Tanroad,TPA kinyume cha utaratibu..
 
Najiuliza tu, haya mambo mwisho wake ni lini,

Ni vyema kama hatuna wasimamizi na wenye uchungu na nchi yetu, basi tuwe tunafanya uchaguzi wa uraisi kila siku ili angalau kila Mtanzania afikie hiyo ngazi, ili kila mmoja ajichotee
 
Tangu lini tukio kama hili linakuwa la kimyakimya na wakati liliagizwa mchana kweupe, Inakuwaje mrejesho wake usifanyike mchana vilevile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…