Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ktk vyama vipya vilivyopo hakuna hata kimoja chenye uhalali Wa kushika dola,yote majizi tu kama waliopoHakuna jipya bongo tz Labda kuweka Chama kipya madarakani
Umenena vema mkuu,Ktk vyama vipya vilivyopo hakuna hata kimoja chenye uhalali Wa kushika dola,yote majizi tu kama waliopo
Wakiaambiwa bunge ni dhaifu Wana mind Kama Nini afu ni mabunge ya Africa yote yako dhaifu.wao ni kugonga meza na kusubiria posho ringtone muamala ulie kwa simu zaoShujaa na mzalendo namba moja hakuona haya!
Utashangaa si Waziri wa Fedha wa wakati huo(Dr. Mpango) wala Katibu Mkuu wa Hazina wakati huo(Mtoto wa Dada) anaewajibika kwa kujiuzulu au kuwajibishwa na Mamlaka ya Juu yaani Rais...
Wameshaliwa kichwa haoMibavicha wataambia nini watu sasa?
Hela zilifuata taratibu zoteShujaa na mzalendo namba moja hakuona haya!
Utashangaa si Waziri wa Fedha wa wakati huo(Dr. Mpango) wala Katibu Mkuu wa Hazina wakati huo(Mtoto wa Dada) anaewajibika kwa kujiuzulu au kuwajibishwa na Mamlaka ya Juu yaani Rais.
Bunge la Ndugai halina mchango wowote katika kudhibiti ufisadi na hata katika kuisimamia serikali katika mambo kama haya(bora la Mama Makinda ingawa nalo lilikuwa rubber stamp)
Tudai tu Katiba Mpya watanzania vinginevyo tutachezewa sana na hawa Ma-CCM.
Maaamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tumeanza kumkumbuka baba Petrol hainunuliki.Rais Samia Suluhu Hassan leo amepokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum kutoka kwa CAG inayohusu matumizi ya fedha zilizotolewa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuanzia Januari hadi Machi 2021. Ripoti imebaini uwepo kwa miradi ambayo haikupangwa na hivyo kufanya malipo nje ya bajeti.
CAG anadeal na waliokufa walio hai hawezi kuwagusa[emoji23][emoji23][emoji23]Kakonko kesi yake imefikia wapi?
Mfugale kafa yeye duh hakuna kesi
Yaani huyu kafa kwa sababu fulani
Sawa bwana Taifa la malofa na wajinga!!
Una funza kichwani. KUB ni CAG?Hata KUB mstaafu hakuyaonaga haya madudu?
Wewe una urojo!Una funza kichwani. KUB ni CAG?
Mfugale atakuwa kafa kwa presha au stress baada ya kunyetishiwa madudu yakeAmesema kuna hela toka haz ina kuu,zimeenda taniroad na tpa kinyume na maagizo,,
Nani ameidhinisha,nani katoa na hatua zipi zitachukuliwa,au tunasamehe?
Tatizo mama alishampa mmoja wa watuhumiwa madaraka makubwa ambayo imekuwa mtihani mkubwa kwake kufanya maamuzi magumu dhidi ya muhusika. anyway tuende hivyohivyoMbona kimyakimya wakati sio kawaida
Tatizo ni kwamba tunatengenezewa stori halafu tunahitaji kwa matarajio makubwa kuziona hizo stori zinakuwa kweli.As expected. Isingewezekana kabisa kumuimplicate Makamu waRais awa sasa ambaye ni pick ya Samia ambaye alikuwa Waziri huko mida ile. CCM ni ileile
Nchi ya mazwazwa hii!!ndio imetoka hiyo,Amesema kuna hela toka haz ina kuu,zimeenda taniroad na tpa kinyume na maagizo,,
Nani ameidhinisha,nani katoa na hatua zipi zitachukuliwa,au tunasamehe?