Rais Samia apokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum BoT, CAG abaini uwepo wa malipo kufanywa nje ya bajeti

Rais Samia apokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum BoT, CAG abaini uwepo wa malipo kufanywa nje ya bajeti

Tatizo akili zenu wote mmempa kigogo awashikie!

Kwahiyo huko chadema mlimuamini kigogo kwamba Bashiru na Mpango wamekwapua hela?
Nani kamtaja Bashiru hapa?

Report inasema kuna malipo yamefanyika mara 2 kwa kazi ile ile. Wewe umesikia kwenye report, ni nani alifanya hayo malipo? Umesikia ni nani hao waliolipwa mara 2? Kwa nini, wote wamefichwa?
 
Haka kauzi ni kama kameficha BIG PICTURE kanazungumzia miraji ya nje ya bajeti tu.

Hakuna matumizi hewa kweli??

Hakuna ukwapuaji?

Ngoja iwekwe wazi tutajua SSH hafichagi kitu
Lazima zimepigwa. Hasa hapo kwenye ucheleweshaji miradi, malipo mara mbili na miradi isikuwepo kwenye bajeti ..... Naona imegusa sehemu mbili tu, Bandari na TANROAD ...... No wonder Mfugale kondoka, labda walimtonya .... akaingiwa woga!!
 
Aliyekuwa Rais January ni nani??

January wazalendo walikua hawapo??


Hapo ndio tuone yaliyokua yakizungumzwa
 
Tatizo mama alishampa mmoja wa watuhumiwa madaraka makubwa ambayo imekuwa mtihani mkubwa kwake kufanya maamuzi magumu dhidi ya muhusika. anyway tuende hivyohivyo
Hakuna ufisadi wwte mnazidi kuumbuka....
tuliwaambia time will tell....
 
Sisi wananchi wa kawaida tutaiaminije hiyo report? Tume haikuwa huru...

CCM kuwaamini inahitaji maji ya baraka.
Hivi ndio mara zote mnavyokuwa enyi wananchi wa kawaida.

Wakati watu wanafanya mikakati ya uchaguzi ujao nyinyi mnasaini petition ya diamond plutnumz.

mama D njoo uone maajabu huku.
 
Wakiaambiwa bunge ni dhaifu Wana mind Kama Nini afu ni mabunge ya Africa yote yako dhaifu.wao ni kugonga meza na kusubiria posho ringtone muamala ulie kwa simu zao
Bunge la South Africa unalifahamu lkn?
 
Tangu lini tukio kama hili linakuwa la kimyakimya na wakati liliagizwa mchana kweupe, Inakuwaje mrejesho wake usifanyike mchana vilevile?
Lifanywe mchana kweupe ili iweje sasa?? Hivi hujui kuna Corona???

Kuongeza gharama tu zisizo na msingi!!!!

Mama anataka kuwaletea Watanzania maendeleo.
 
Nani kamtaja Bashiru hapa?

Report inasema kuna malipo yamefanyika mara 2 kwa kazi ile ile. Wewe umesikia kwenye report, ni nani alifanya hayo malipo? Umesikia ni nani hao waliolipwa mara 2? Kwa nini, wote wamefichwa?
Jiongeze ww....
inawezekana kuna deni la msingi na riba pia...
hawa jamaa hawawezi kuwa wajinga kiasi hicho! wakalipa mara mbili mbili kwa deni moja
 
CCM ni ileile ndugu zangu. Ni rangi tu imepakwa kwa nje.
Bila katiba mpya, watu na mambo ni yaleyale!
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo amepokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum kutoka kwa CAG inayohusu matumizi ya fedha zilizotolewa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuanzia Januari hadi Machi 2021. Ripoti imebaini uwepo kwa miradi ambayo haikupangwa na hivyo kufanya malipo nje ya bajeti.

Report ni whitewash!
Tuhuma za vigogo kuchukua mabilioni ziko wapi?
 
Hawa watu buana🤔🤔🤔
Sijui wanafikiriaga nini haki😂😂😂😂
Halafu ndio wanataka wapewe nchi waongoze.

Nani kawaambia kuna internship ikulu??

😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Kakonko kesi yake imefikia wapi?

Mfugale kafa yeye duh hakuna kesi

Yaani huyu kafa kwa sababu fulani

Sawa bwana Taifa la malofa na wajinga!!
Kwa hiyo report ilimfikia mfugale pressure ikapanda?
Very sad.
 
Back
Top Bottom