Unaota?Haka kauzi ni kama kameficha BIG PICTURE kanazungumzia miraji ya nje ya bajeti tu.
Hakuna matumizi hewa kweli??
Hakuna ukwapuaji?
Ngoja iwekwe wazi tutajua SSH hafichagi kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaota?Haka kauzi ni kama kameficha BIG PICTURE kanazungumzia miraji ya nje ya bajeti tu.
Hakuna matumizi hewa kweli??
Hakuna ukwapuaji?
Ngoja iwekwe wazi tutajua SSH hafichagi kitu
Kwani katiba ya Tanzania inampa makamu wa rais kinga ya kutoshtakiwa endapo ataliingizia taifa hasara?Mpango ni Makamu hivyo hakuna jipya, acha watu waendelee kupiga pesa
Rais Samia Suluhu Hassan leo amepokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum kutoka kwa CAG inayohusu matumizi ya fedha zilizotolewa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuanzia Januari hadi Machi 2021. Ripoti imebaini uwepo kwa miradi ambayo haikupangwa na hivyo kufanya malipo nje ya bajeti.
Kwani Bavicha walikuchukulia mkeo?Mibavicha wataambia nini watu sasa?
Mwenzio kuanzia leo gari napaki, nitalitumia panapo na umuhimu mkubwa tu. Nitatembea, atakae thubutu kuniuliza namwambia naogopa kitambi.Maaamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tumeanza kumkumbuka baba Petrol hainunuliki.
Una ndoto za alinacha haaa haaa nyani, ngedere, sokwe wakae kujadili ujenzi wa nyumba.Shujaa na mzalendo namba moja hakuona haya!
Utashangaa si Waziri wa Fedha wa wakati huo(Dr. Mpango) wala Katibu Mkuu wa Hazina wakati huo(Mtoto wa Dada) anaewajibika kwa kujiuzulu au kuwajibishwa na Mamlaka ya Juu yaani Rais.
Bunge la Ndugai halina mchango wowote katika kudhibiti ufisadi na hata katika kuisimamia serikali katika mambo kama haya(bora la Mama Makinda ingawa nalo lilikuwa rubber stamp)
Tudai tu Katiba Mpya watanzania vinginevyo tutachezewa sana na hawa Ma-CCM.
Nini maana ya malipo mara mbili kwa mradi mmoja?Report ni whitewash!
Tuhuma za vigogo kuchukua mabilioni ziko wapi?
Ukiambiwa kuna uhitaji wa kuwepo katiba mpya unajifanya haina umuimu alafu unakuja kulalamika hapa.unalalamika nini sasa.Najiuliza tu, haya mambo mwisho wake ni lini,
Ni vyema kama hatuna wasimamizi na wenye uchungu na nchi yetu, basi tuwe tunafanya uchaguzi wa uraisi kila siku ili angalau kila Mtanzania afikie hiyo ngazi, ili kila mmoja ajichotee
Mkuu nitofautiane kidogo na we we. Katiba mpya haiwezi ikaleta mwarobaini wa ufisadi nchi hii, zaidi sana italeta mabadiriko katika mifumo ya kiuongozi.Shujaa na mzalendo namba moja hakuona haya!
Utashangaa si Waziri wa Fedha wa wakati huo(Dr. Mpango) wala Katibu Mkuu wa Hazina wakati huo(Mtoto wa Dada) anaewajibika kwa kujiuzulu au kuwajibishwa na Mamlaka ya Juu yaani Rais.
Bunge la Ndugai halina mchango wowote katika kudhibiti ufisadi na hata katika kuisimamia serikali katika mambo kama haya(bora la Mama Makinda ingawa nalo lilikuwa rubber stamp)
Tudai tu Katiba Mpya watanzania vinginevyo tutachezewa sana na hawa Ma-CCM.
Ujinga mfanye wenyewe alafu usubiri mtu mwingine aumbuke.una akili kweli wewe?.Mmeumbuka kweli.....
tulishawaambia ngoma za watoto hazikeshi...
Wanasiasa nyie mnatuyumbisha mtakavyo yaaniUkiambiwa kuna uhitaji wa kuwepo katiba mpya unajifanya haina umuimu alafu unakuja kulalamika hapa.unalalamika nini sasa.
Ni lini hivyo vyama vimeongoza ili tuvihukumu kua haviwezi.hoja ya vyama pinzani kuongoza sio kwasababu ni visafi au havina mapungufu bali ni ili kuleta ushindani na uwajibikaji ndani ya nchi.kukiwa na vyama vinavyopokezana uongozi lazima maendeleo yaje kwasababu kunakua na ushindani na wananchi ndio watakaoamua chama gani kiongoze.Na hoja ya katiba ata nchi ya chama kimoja lazima iwe na katiba kwahiyo hoja yako yakuzungumzia upinzani kua hoja yao inajali kuchukua madaraka ni hoja mfu sana na inatolewa na mtu mwenye uelewa duni wa mamlaka na wajibu wa katiba ndani ya nchi.Umenena vema mkuu,
Vyuma vyote hakuna kitu. Kumbuka CDM kiliwahi kununuliwa na Lowassa wakati fulani hadi Dr. Slaa akakimbia.
Kumbuka mgogoro wa CDM na zitto.
Haya, angalia jinsi wapinzani walivyo na bei nafuu, wote wamenunuliwa kuunga juhudi.
Leo hao ndio wanaotaka katiba kisa washinde uchaguzi tu basi, hawana agenda nzito.
Nashauri Kabla ya katiba kuwepo na somo zito la uzalendo. Kila mtu amekaa kupiga dili hii si sawa
Yap: Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Jaji Mkuu, Spika na Naibu SpikaKwani katiba ya Tanzania inampa makamu wa rais kinga ya kutoshtakiwa endapo ataliingizia taifa hasara?
Unafikiri hata asingekiwa amempa majukumu hayo je angeweza kuongea BIG NO CCM HAWANA JIPYA MKUU PIGA KAZTatizo mama alishampa mmoja wa watuhumiwa madaraka makubwa ambayo imekuwa mtihani mkubwa kwake kufanya maamuzi magumu dhidi ya muhusika. anyway tuende hivyohivyo
Huoni hata kwenye ripoti ya kwanza iliyoonyesha madudu kila kona, ni Wizara ya Fedha na Ofisi ya Makamu wa Rais tu ndiyo zilipata hati safi. Sisi bado sana kwenye mambo ya accountability na transparency. Hovyo tu !!!As expected. Isingewezekana kabisa kumuimplicate Makamu waRais awa sasa ambaye ni pick ya Samia ambaye alikuwa Waziri huko mida ile. CCM ni ileile
Kwanini unawaza kirahisi hivyo.kinakushinda nini kuwaza kua na kitu kizuri kitakachomfunga kengele kila mtu nchi hii,kwa usawa,haki na uwajibikaji.kuanzia ngazi ya jamii hadi taifa.Inawezekana sana labda tuamue kutokua serious.Tunavyozidi kuwaza kua haiwezekani ndivyo ambavyo tunaendelea kujitoa kwenye nafasi yakutafakari kwa mapana zaidi ya nini kifanyike.Mkuu nitofautiane kidogo na we we. Katiba mpya haiwezi ikaleta mwarobaini wa ufisadi nchi hii, zaidi sana italeta mabadiriko katika mifumo ya kiuongozi.
Madaraka yatashikwa na watu walewale wenye njaa.
Nionavyo Mimi shida kubwa inaanzia chini kabisa ktk ngazi ya familia ambako ndiko hasa hulka, utashi, maadili, nidhamu nk ndiko vinapojengwa. Neno maadili mema kwa sasa limekuwa ni kitendawili kwa jamii zetu ambapo kila mmoja amekuwa mchumia tumbo. Unaweza kushangaa hata hiyo katiba mpya ikipatikana inakuwa ni njia tu ya kuwaweka wenye njaa madarakani.
Kwa huyo mwana CCM hio ni habari nzuri sana kwake.Kwa hiyo malipo kufanyika mara mbili mbili ni sahihi mkuu?