Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Kete zinasukumwa kama zilivyotarajiwa mkuu?Hii Ndio Tanzania ninayoijua Mimi!
Umoja na mshikamano ndio ngao yetu!!
Hebu twende Sasa!!
Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kete zinasukumwa kama zilivyotarajiwa mkuu?Hii Ndio Tanzania ninayoijua Mimi!
Umoja na mshikamano ndio ngao yetu!!
Hebu twende Sasa!!
Hivi mbona anagoma kwenda Dodoma!??Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan aanatarajiwa kuzungumza na Viongozi wa Vyama vya Siasa Nchini, leo Jumanne Januari 3, 2023.
Mazungumzo haya yanafanyika Ikulu, Magogoni - Dar es Salaam.
VIONGOZI WAWASILI
Viongozi mbalimbali wa vyama wameshawasili ukumbini, wakiwemo Freeman Mbowe na John Mnyika (CHADEMA), Zitto Kabwe (ACT Wazalendo), Abdulrahman Kinana na Daniel Chongolo (CCM), Profesa Lipumba (CUF), Hashim Rungwe (CHAUMMA), John Cheyo (UDP), Joseph Selasini (NCCR Mageuzi).
KUMBUKUMBU KIKAO KILICHOPITA
Kumbuka kuwa Rais Samia alishakutana na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa Dodoma, Desemba 2021 katika mkutano wa vyama na wadau wa siasa lakini vyama vya CHADEMA na NCCR-Mageuzi viliususia.
MAZUNGUMZO BAADA YA KUKUTANA NA MBOWE
Mazungumzo haya yanafanyika zikiwa zimepita siku mbili baada ya Rais Samia kuzungumza na Mbowe, mbele ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, ikiwa ni wakati huohuo Rais Samia alipokuwa akipokea taarifa ya maridhiano baina ya CCM na Chadema yaliyodumu takriban miezi minane.
Hamna kitu humo... Washalamba asali hao.Viongozi mbalimbali wa vyama wameshawasili ukumbini, wakiwemo Freeman Mbowe na John Mnyika (CHADEMA), Zitto Kabwe (ACT Wazalendo), Abdulrahman Kinana na Daniel Chongolo (CCM), Profesa Lipumba (CUF), Hashim Rungwe (CHAUMMA), John Cheyo (UDP), Joseph Selasini (NCCR Mageuzi).
Kama sio uadui kwanini watu wanapigwa risasi wengine wanatekwa na kupotezwa... fahamu siasa zetu ni vita kwasababu watu hawataki kutoka kwenye mamlaka kwa maslai yao.Mbowe kwa sasa anaeleweka sana, kaonyesha ukomavu wa kisiasa ila tatizo bado genge lililo mzunguka hawataki kubadilika!!! wanadhani siasa ni uadui!
wanadhani siasa ni ukorofi na kupwayuka!!
Mbowe anao wajibu wa kuwaelimisha walio mzunguka.
wanasiasa hawapaswi kulazimisha mambo wanayo yataka wao bali wanapswa wakubali pia hoja za chama kinacho tawla.
Umeongea ukweli mtupu🤝Hauwezi kutumia nguvu kushindana na mwenye nguvu. CCM wameshika mpini, wapinzani wameshika makali, so wapinzani (walioshika makali) wakilazimisha kuvutana na CCM (walioshika mpini) ni wao wapinzani ndio watakaochanika mikono.
Cha kufanya ni kwenda hivi hivi mdogo mdogo huku wanarekebisha dosari ndogo ndogo.
Usiamini sana katika vurugu maana utaishia kuumia au kufungwa jela. Hata uhuru kuna nchi ambazo zilidai uhuru bila kumwaga damu, watu walikaa chini waka negotiation wakakubaliana uhuru ukapatikana.
Siasa za kukimbizana na mapolisi barabarani zimeshapitwa na wakati. Watu wanahitaji kutafuta suluhu kwa njia za amani ili nchi iendelee kuwa na amani, umoja na mshikamano.
kufanya nini Dodoma kikifanyika dar kuna ubaya gani tambua bado dar ili umuhimu mkubwa sana rais kuwa pale karibu benk kuu ipo pale bandari ipo pale wafanya biashara wakubwa wapo dar viwanda vikubwa vipo pale hivyo mikutano muhimu ya uchumi pale ni muhimu dodoma vikao vya vyama na bunge sawaHivi mbona anagoma kwenda Dodoma!??
Ndio,zinasukumwa pole Pole!!
Wanaompinga walio wengi ni sukuma gang. Wanaona kama mama anaua na kuzika kabisa legacy ya mungu waoWatu hawaamini kumuona rais bora,baada ya Nyerere anakuwa mwanamke.
Hongera sana Rais Samia.
NAKUPENDA SANA.