stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Acha kutuweka roho juu wewe...Natabiri mpaka kesho j5 kutakuwa na mabadiliko ya baraza la mawaziri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutuweka roho juu wewe...Natabiri mpaka kesho j5 kutakuwa na mabadiliko ya baraza la mawaziri
Lkn bado kuna vibwengo hawataki hatua ya mama SamiaHii Ndio Tanzania ninayoijua Mimi!
Umoja na mshikamano ndio ngao yetu!!
Hebu twende Sasa!!
Upo sahihi sana lkn bado umesahau kabisa kuwa hata ndani ya ccm bado kuna watu wamekasilika kwa hatua ya mama Samia.Mbowe kwa sasa anaeleweka sana, kaonyesha ukomavu wa kisiasa ila tatizo bado genge lililo mzunguka hawataki kubadilika!!! wanadhani siasa ni uadui!
wanadhani siasa ni ukorofi na kupwayuka!!
Mbowe anao wajibu wa kuwaelimisha walio mzunguka.
wanasiasa hawapaswi kulazimisha mambo wanayo yataka wao bali wanapswa wakubali pia hoja za chama kinacho tawla.
Hatua kubwa sana hii kutoka kwenye meza ya maridhiano kati ya cdm na ccm.Asante sana Mkuu , Tunafuatilia
AminaNi Mkutano utakaoonyesha mwelekeo wa kisiasa wa nchi.
,
Mungu ibariki Tanzania
Yaani hawa wapinzani wa Tz sio Kama wataacha Legacy yoyote .
CCM chama kimejaa watu waliokosa utu na Huruma na zero
Ndiyo kilio cha wapenda amani wote dunianiTunataka katiba mpya iliyopendekezwa na Warioba, baada ya hapo tume huru ya uchaguzi
Ukizingatia kuwa CHADEMA pekee ndiyo chama cha upinzani wa kweli.Kuna haja kufatilia kwakua CHADEMA wapo
Uvccm wote chali kwa sasa wanalia kilioBila mzee wa ubweche kufika huu mkutano utakuwa batili.
Hamna kitu humo... Washalamba asali hao.