Rais Samia aruhusu vyama vya siasa kufanya Mikutano ya hadhara

Hivi mbona anagoma kwenda Dodoma!??
 
Hamna kitu humo... Washalamba asali hao.
 
Kama sio uadui kwanini watu wanapigwa risasi wengine wanatekwa na kupotezwa... fahamu siasa zetu ni vita kwasababu watu hawataki kutoka kwenye mamlaka kwa maslai yao.
 
TangaZo mbona haliko sawia Sasa mbona atujulishwi kama Rais nae kaisha fika?
 
huu ndio utamaduni wa watanzania.
siasa sio uadui bali siasa ni kushindanisha hoja kwa wananchi.
pia sio sahihi kulazimisha hoja yako ndio ikubalike isipo kubalika unasusa!! huko ni kutokukomaaa kisiasa.
 
HUYU MAMA YETU HUYU... YAANI WATU HAWANA HATA HABARI NAE YANI... TANGAZO LINALOMHUSU HATA HALISISIMUI... ZAIDI YA KUZIDI KUTIA HASIRA TU...

KWA SABABU HATA UKISEMA UKAMSIKILIZE ATASEMA NINI... HAKUNA LA MAANA.
 
Umeongea ukweli mtupu🤝

Hata wale wanaombeza Mheshimiwa Mbowe aliyeyakubali Maridhiano hayo na kuyaendeleza, niwaulize swali Moja tu, je chama Cha Chadema kilipotangaza UKUTA, wakati ule, ni wangapi walijitokeza mabarabarani Ili wapigwe virungu na Jeshi la Polisi?😎
 
Hivi mbona anagoma kwenda Dodoma!??
kufanya nini Dodoma kikifanyika dar kuna ubaya gani tambua bado dar ili umuhimu mkubwa sana rais kuwa pale karibu benk kuu ipo pale bandari ipo pale wafanya biashara wakubwa wapo dar viwanda vikubwa vipo pale hivyo mikutano muhimu ya uchumi pale ni muhimu dodoma vikao vya vyama na bunge sawa
 
Upumbavu tu,anaacha kukutana na makundi maalumu katika jamii kama walemavu na wazee..anaenda kukutana na hao mchwa wenzie.
 
Kete zinasukumwa kama zilivyotarajiwa mkuu?

Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Ndio,zinasukumwa pole Pole!!

Naona maridhiano yataleta katiba Mpya Muda SIO MREFU!

HALAFU makubaliano ya kutokuwa na uchaguzi 2025 Hadi katiba ipatikane!! Nadhani ni ajenda pia ya maridhiano japo covid-19 Ndio inatesa Mwenyekiti hadi SASA!

Lazima waone Namna ya KU dump hii ishu na kuifufua tena!

Tunaekea pazuri!
 
"Wakati mnanikabidhi kuongoza taifa hili busara zilinituma jinsi nilivyolipokea taifa hili kwamba ipo haja ya kufanya taifa liwe kitu kimoja" "Nikasema ili taifa liwe moja lazima tuwe na maridhiano na kwenye maridhiano sisi vyama vya siasa tunawawakilisha wananchi wa Tanzania ndio wenye sauti zao nikasema tuwe na mazungumzo ndani ya vyama vya siasa".- Ameongeza Rais - Rais Samia Suluhu Hassan

Katika mapendekezo yaliyotolewa na kamati ya maridhiano ilikua ni Kufunguliwa kwa mikutano ya hadhara ambapo kwa sasa marekebisho ya sheria yanafanyiwa kazi ili kuwa na muongozo sahihi.

Lakini leo niko hapa kutangaza Mikutano ya Hadhara ni haki ya vyama vya siasa kwahiyo uwepo wangu mbele yenu leo ni kutoa ruhusa, kuja kutangaza kuwa lile tangazo la kuzuia mikutano ya Hadhara linaondoka.

Jukumu la Serikali ni kutoa ulinzi na nyinyi nendeni mkafanye siasa za kistaarabu, Sisi tuko tayari kukoselewa.
 
Awamu ya tano ilizuia mikutano ya kisiasa kwakuwa ilijaza madomo zege ndani ya chama, watu wasioweza kujenga hoja na kujibu hoja makini za vyama vya upinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…