Rais Samia arusha dongo kwa Lissu, asema kashfa na matusi kwenye mikutano ya hadhara ni kwasababu ya kuzungumzwa hakuna

Sasa mmejibiwa tu mjue tu kuwa sheria zipo aliyekamatwa na kuachiwa kwa dhamana ni kwa kuwa alikuwa amevunja sheria na sio politically motivated kwa hio kama mkuu anawakumbusha wanasiasa wenzake wafanye siasa na sio kuvunja sheria .
Alivunja sheria gani?

Ukiitaja sheria Aliyovunja kikatiba na kutumilia vocha ya 10000.
 
Sasa mmejibiwa tu mjue tu kuwa sheria zipo aliyekamatwa na kuachiwa kwa dhamana ni kwa kuwa alikuwa amevunja sheria na sio politically motivated kwa hio kama mkuu anawakumbusha wanasiasa wenzake wafanye siasa na sio kuvunja sheria .
Kuna mtu ambaye hajui kwamba sheria ipo?hao anaowakumbusha ndio waalimu wa sheria wenyewe anawakumbusha nini?
 
Yeye mbona ni mtukanaji mzuri tu,alimwambia Professor Mkenda nonsense
 
Leo nikiwa kijiweni kwa fundi viatu nimesikia Wamasai wameamua kurudi kwao na kama mbwai iwe mbwai tu
 
Leo nikiwa kijiweni kwa fundi viatu nimesikia Wamasai wameamua kurudi kwao na kama mbwai iwe mbwai tu
wana kura nyingi kiasi gani? CCM iliwahi kuwambia wasomi wote waende huko na vitisho vyao,wakaenda na ikashinda
wakaja walimu, wakaambia kura zao wanaweza kumpa yeyote wanayemtaka, wakaenda na ikashinda
wakaja madaktari,ikla kwao
wachagga ikala kwao
masai ndio nani sasa?
 
Sasa mmejibiwa tu mjue tu kuwa sheria zipo aliyekamatwa na kuachiwa kwa dhamana ni kwa kuwa alikuwa amevunja sheria na sio politically motivated kwa hio kama mkuu anawakumbusha wanasiasa wenzake wafanye siasa na sio kuvunja sheria .
Kwa hiyo kuuza bandari za Tanganyika na kuacha za Zanzibar siyo kuvunja sheria?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kule ngorongoro mliongelea mafuta?
Kwani walienda? Kila mahali na hoja zake kwa kuwa kuna matatizo yanauma zaidi sehemu fulani kuliko sehemu nyingine. Ukienda Loliondo zungumza sera zinazowahusu, ukienda dsm zungumza sera za jiji. pia kuna yanayohusu nchi nzima kwa ujumla.
Mimi namshauri Rais kuwa asihangaioke nao, sisi wananchi tunaowasikiliza tutawahukumu sisi wwenyewe, yeye ashughulike na kutekeleza sera za Chama
 
Kuna mtu ambaye hajui kwamba sheria ipo?hao anaowakumbusha ndio waalimu wa sheria wenyewe anawakumbusha nini?
Hata mwalimu kuna wakati na yeye anakumbushwa afate kile anachofundisha asijisahau akadhani ni kwa ajili ya wengine tu
 
Hatukutoa fursa ile watu wakavunje sheria, watu wakasimame kutukana, watu wakasimame kukashifu, watu wakasimame kuchambua dini za watu, lakini sishangangai kwanini haya yanatokea kwasabbu ya kuzungumzwa hakuna!.
Hivi wanaovunja sheria na hao wanafisadi raslimali za nchi au wale wanaopinga ufisadi huu?
Sidhani kama kuambiwa ukweli ni dhambi! Mwizi aitwe mwizi na muungwana aitwe muungwana.
 

Chadema imeitwa ni MIJITU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…