Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
@FaizaFoxy amekukaimisha leo?SEMENI YOTE ILA
KATIBA NI STAHIKI YA WATANZANIA WOTE SIYO WANASIASA TU TENA WANASIASA WA CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@FaizaFoxy amekukaimisha leo?SEMENI YOTE ILA
KATIBA NI STAHIKI YA WATANZANIA WOTE SIYO WANASIASA TU TENA WANASIASA WA CHADEMA
Alivunja sheria gani?Sasa mmejibiwa tu mjue tu kuwa sheria zipo aliyekamatwa na kuachiwa kwa dhamana ni kwa kuwa alikuwa amevunja sheria na sio politically motivated kwa hio kama mkuu anawakumbusha wanasiasa wenzake wafanye siasa na sio kuvunja sheria .
Na yeye asitumie mitutu ya bunduki kujibu hojaSasa mmejibiwa tu mjue tu kuwa sheria zipo aliyekamatwa na kuachiwa kwa dhamana ni kwa kuwa alikuwa amevunja sheria na sio politically motivated kwa hio kama mkuu anawakumbusha wanasiasa wenzake wafanye siasa na sio kuvunja sheria .
Kuna mtu ambaye hajui kwamba sheria ipo?hao anaowakumbusha ndio waalimu wa sheria wenyewe anawakumbusha nini?Sasa mmejibiwa tu mjue tu kuwa sheria zipo aliyekamatwa na kuachiwa kwa dhamana ni kwa kuwa alikuwa amevunja sheria na sio politically motivated kwa hio kama mkuu anawakumbusha wanasiasa wenzake wafanye siasa na sio kuvunja sheria .
Kwanini sasa ulikuwa unataka auwawe na Mapolisi wa Karatu?.Lissu hajui atawafanyia nini wananchi kabaki kutukana tu
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Yeye mbona ni mtukanaji mzuri tu,alimwambia Professor Mkenda nonsenseBy the way hao wanaosikiliza wanasikiliza nini ? (Ukimya)
Na matusi ni subjective unachosema matusi kwako huenda mwingine anaona unaambiwa ukweli.., Binafsi kwangu mimi matusi na kashfa ni kuambiwa mtu anaupiga mwingi wakati kiuhalisia mambo sio mambo (Hawa watu kwangu mimi wana-insult my intelligence)
@FaizaFoxy amekukaimisha leo?
Leo nikiwa kijiweni kwa fundi viatu nimesikia Wamasai wameamua kurudi kwao na kama mbwai iwe mbwai tu"Tumeruhusu mikutano ya hadhara tukiwa na nia vyama vya siasa vizungumze, wananchi wasikie sera zao, mipango yao, mada zao ili vyama vikue na virudishe wale waliowapoteza. Viweze kurudisha, vyama visimame viwe madhubuti tukienda kwenye uchaguzi kila chama kimejijenga vya kutosha na ndio maana ya kutoa fursa hii ya mikutano ya hadhara.
"Hatukutoa fursa ile watu wakavunje sheria, watu wakasimame kutukana, watu wakasimame kukashifu, watu wakasimame kuchambua dini za watu, lakini sishangangai kwanini haya yanatokea kwasabbu ya kuzungumzwa hakuna!.
"Tulianza oh na katiba, tukaenda ikakatika katikati... bandari, imeenda ah sasa imerudi tena katiba, inapokuwa hakuna na unalazimisha lazima ufanye jambo utazungumza yasiyokuwepo au yasiyo katika muelekeo huo." - Rais Samia
wana kura nyingi kiasi gani? CCM iliwahi kuwambia wasomi wote waende huko na vitisho vyao,wakaenda na ikashindaLeo nikiwa kijiweni kwa fundi viatu nimesikia Wamasai wameamua kurudi kwao na kama mbwai iwe mbwai tu
public order lawAlivunja sheria gani?
Ukiitaja sheria Aliyovunja kikatiba na kutumilia vocha ya 10000.
Nani kasema auwawe? Kutiwa adabu ndio kuuwawa?Kwanini sasa ulikuwa unataka auwawe na Mapolisi wa Karatu?.
Kwa hiyo kuuza bandari za Tanganyika na kuacha za Zanzibar siyo kuvunja sheria?Sasa mmejibiwa tu mjue tu kuwa sheria zipo aliyekamatwa na kuachiwa kwa dhamana ni kwa kuwa alikuwa amevunja sheria na sio politically motivated kwa hio kama mkuu anawakumbusha wanasiasa wenzake wafanye siasa na sio kuvunja sheria .
Ulisema amaliziwe huko huko korokoroni Karatu, au umeshasahau mara hii?Nani kasema auwawe? Kutiwa adabu ndio kuuwawa?
Kwani walienda? Kila mahali na hoja zake kwa kuwa kuna matatizo yanauma zaidi sehemu fulani kuliko sehemu nyingine. Ukienda Loliondo zungumza sera zinazowahusu, ukienda dsm zungumza sera za jiji. pia kuna yanayohusu nchi nzima kwa ujumla.Kule ngorongoro mliongelea mafuta?
Sasa Abdul iweje ujiite Nyuman ?2025 IKULU Iko wazi kwako mama
Hata mwalimu kuna wakati na yeye anakumbushwa afate kile anachofundisha asijisahau akadhani ni kwa ajili ya wengine tuKuna mtu ambaye hajui kwamba sheria ipo?hao anaowakumbusha ndio waalimu wa sheria wenyewe anawakumbusha nini?
Hivi wanaovunja sheria na hao wanafisadi raslimali za nchi au wale wanaopinga ufisadi huu?Hatukutoa fursa ile watu wakavunje sheria, watu wakasimame kutukana, watu wakasimame kukashifu, watu wakasimame kuchambua dini za watu, lakini sishangangai kwanini haya yanatokea kwasabbu ya kuzungumzwa hakuna!.
"Tumeruhusu mikutano ya hadhara tukiwa na nia vyama vya siasa vizungumze, wananchi wasikie sera zao, mipango yao, mada zao ili vyama vikue na virudishe wale waliowapoteza. Viweze kurudisha, vyama visimame viwe madhubuti tukienda kwenye uchaguzi kila chama kimejijenga vya kutosha na ndio maana ya kutoa fursa hii ya mikutano ya hadhara.
"Hatukutoa fursa ile watu wakavunje sheria, watu wakasimame kutukana, watu wakasimame kukashifu, watu wakasimame kuchambua dini za watu, lakini sishangangai kwanini haya yanatokea kwasabbu ya kuzungumzwa hakuna!.
"Tulianza oh na katiba, tukaenda ikakatika katikati... bandari, imeenda ah sasa imerudi tena katiba, inapokuwa hakuna na unalazimisha lazima ufanye jambo utazungumza yasiyokuwepo au yasiyo katika muelekeo huo." - Rais Samia