mbegunjema
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 221
- 246
Majibu ya namna hiyo huashiria kuwa kitu flani haiko sawa ima katika mfumo au mtu binafsi.Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?"
Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la nje. Kauli ya 'Deni letu ni himilivu' karibu inapotea
Tuna viongozi wabinafsi au wavivu wa kufikiri. Kama hatuwezi kutekeleza development projects kwa hela zetu, kwanini Serikali inatumia taxpayers money kununua magari ya kifahari (yanayogharimu zaidi ya TZS 250 million apiece)? Matumizi ya aina hii hayana tofauti sana na yale ya kununua sare za harusi.Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?"
Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la nje. Kauli ya 'Deni letu ni himilivu' karibu inapotea
Najua mkakati wao ni kukata tu jina lake muda utakapofika. Thatβs what they know how to do best!Naona mpina anafanya mahindi yaanze kuruka ruka kwenye jiko la bisi
Una.gongwa we jamaa manina zakoTafuta Nchi Yako ambayo haikopi ndio uhamie
Usrmtukane tu Chawa wa Mama.. hata kula yake inategemea arushiwe makombo baada kumpambania Mama mitandaoni... jamani umasikini mbaya !Una.gongwa we jamaa manina zako
Tafuta Nchi ambayo hawakopi uhamieUna.gongwa we jamaa manina zako
Wanazingua na matumizi mabaya ya kodi zetu, nchi hii mjamzito kujinunulia glove aibu.Unazingua,hutaki wakope lipa Kodi
View: https://x.com/CrownMediaTZ/status/1884938670240567757?t=tAjYg4eJX3xo_q58d5HeJA&s=19
Mnakopa na kupiga hela hiyo. Tena mnakopa mumeshindwa kukusanya kodi. Mnakopa kwa sababu mnaona kukopa rahisi kuliko kukusanya kodi. Wenyewe mnafanya biashara mnaona bora mukopi kuliko kulipa kodi. Tunajua kila mkikopa binafdi mnapata hela.Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?"
Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la nje. Kauli ya 'Deni letu ni himilivu' karibu inapotea
Unachekesha sana,huyo anaewadanganya Mkoani kwake Simiyi Kuna mradi wa zaidi ya Bilioni 400 na ni Mkopo harafu mna dance upuuzi wake.Wanazingua na matumizi mabaya ya kodi zetu, nchi hii mjamzito kujinunulia glove aibu.
Pesa wanapewa machawa kutangaza birthday kwenye kirikuuu.
Wanapewa machawa kwenda korea ya kusini.
Kwani kuna shida? Lipa Kodi Serikali isikope.Matumizi mikopo ni kama haya ππNdani ya takribani miaka 4 deni limepaa 32 Trilion hadi 96 Trilion
Wananchi wakiuliza kuna makosa hapo!!
Si bure kuna shida sehemu
Wewe unawafahamu ,si uwataje? Kwa mfumo wa Udhibiti wa hela ulivyo Kwa Sasa hao wanaotafuna wao wanazipatia wapi na Kwa utaratibu gani?Kukopa sio vibaya.
Ila nakuomba rais wangu shughulika ipasavyo na wanaotafuna fedha za umma.
Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?"
Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la nje. Kauli ya 'Deni letu ni himilivu' karibu inapotea
Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?"
Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la nje. Kauli ya 'Deni letu ni himilivu' karibu inapotea
Morogoro, moshi, himo rombo, handeni, korogwe etc hakuna maji.... au hiyo miradi inatekelezwa wapi wewe mnufaika wa mikopo yetu?Utajuaje kile Serikali inafanya wakati mda wote wewe uko busy kufuatilia ujinga wa kina Mpina na Lisu wanafanya siasa Kwa vile wanajua Watanzania wengi hawana akili za kufuatilia mambo ya msingi so mnasubiria kuambiwa na hao wanaopotosha.
Mfano huu ni mradi Mijini 28 Nchi nzima zaidi ya Trilioni 1 za Mkopo kutoka India zinafanya kazi kwenye maeneo 28 Tanzania nzima ,ukitaka nikupe updates ya Kila sehemu naweza fanya hivyo.
Songea ππ
View: https://www.instagram.com/p/DFYNDejsw3b/?igsh=OHFjNWMxbXljdWow
Heshimu MamlakaRais wetu akili kisoda..