Rais Samia atakumbukwa kwa kujenga uchumi unaowagusa Watanzania

Rais Samia atakumbukwa kwa kujenga uchumi unaowagusa Watanzania

Acheni pambio, Mama anatuweka kwenye hali mbaya zaidi deni lenyewe tu ndani ya mwaka mmoja linatisha na bado anadai mitano tena miradi mkakati inasuasua ilikuwa sasa hivi bwawa limemalizika na Maji yanajazwa, reli inasuasua.
Watu hawampi ukweli hali mbaya manunguniko ni mengi. Kama ana mizania namshauri asihangaike na mitano tena.
 
Ndugu zangu, wanasema uchumi mzuri Ni ule unao gusa maisha ya watu wengi, ukimfuatilia vizuri mh Rais wetu utagundua kuwa Anajenga uchumi wenye kumgusa kila mtanzania.

Kwanza mh Rais ametambua kuwa kilimo ndio secta iliyo ajiri watanzania wengi wa makundi tofauti tofauti, Hivyo juhudi zozote za kuujenga uchumi wetu Ni sharti ukipe kipaombele kilimo, Ndio maana unaona ongezeko la bajeti katika wizara ya kilimo Na hata utoaji wa Ruzuku takribani billioni 150, hii inakwenda kuchochea uzalishaji, lakini pia kundi kubwa linakwenda kuguswa kupitia mipango hii ya Rais wetu mpendwa.

Mh Rais wetu Amedhamilia kuhakikisha kuwa katika kujenga uchumi wetu Hakuna mtu au kundi lolote linaloachwa nyuma au kusahaulika, Hali hii inajidhihilisha kwa namna anavyojenga miradi mbalimbali inayogusa maisha ya watu hasa wanyonge, ndio maana unaona miradi Kama shule, vituo vya Afya,zahanati,huduma za maji na umeme vikitamalaki kila Kona ya nchi hii.

Rais wetu pia anajitahidi kuhakikisha kuwa mfumuko wa Bei unaoikumba Dunia unapunguzwa kwa kuweka Ruzuku kwenye mafuta ambayo Ni injini ya uchumi wetu, ndio maana unaona akitoa karibu billioni Mia moja kila mwezi.

Rais Samia mama yetu Atakumbukwa Sana akimaliza uongozi wake 2030 kwa kujenga uchumi unaogusa watanzania hasa wakipato Cha chini, kazi ya serikali Ni kusaidia watu kunyanyuka kiuchumi, kazi ambayo mh Rais wetu anaifanya vyema Sana.

Mama hakika yupo kazini, Tunamuhitaji mama aendelee kututumikia Hadi 2030, ndio tutajuwa tufanye Nini akitufikisha hapo, kikubwa tunaendelea kumuombea uzima na Afya njema.
Namba ya simu umesahau
 
Deni ni shilingi ngapi? Kwa bahati nzuri Rais wetu Ni mkweli katika kuongoza nchi yetu, watanzania tunajuwa kilichokopwa na kazi kilichofanya, Ndio maana tunaendelea kumuunga mh Rais wetu mpendwa, Angalia mfano jinsi mh Rais alivyo Jenga shule nzuri na vituo vya Afya vizuri utazani ulaya huku akiajiri na watumishi wa umma kwenda kuwahudumia na kuwatumikia watanzania kutokanaa na Fedha ambazo tulikuwa tumezipata

Mh Rais wetu anaendelea kugusa maisha ya watanzania kwa kutusogezea huduma karibu na makazi yetu
Acheni pambio, Mama anatuweka kwenye hali mbaya zaidi deni lenyewe tu ndani ya mwaka mmoja linatisha na bado anadai mitano tena miradi mkakati inasuasua ilikuwa sasa hivi bwawa limemalizika na Maji yanajazwa, reli inasuasua.
Watu hawampi ukweli hali mbaya manunguniko ni mengi. Kama ana mizania namshauri asihangaike na mitano tena.
 
Mimi naweka Yale mazuri aliyofanya mh Rais wetu na namna watanzania wanavyoendelea kumuunga mkono mh Rais, huku niliko wakulima wanasema watafanya kazi ya kumpigia kampenii mh Rais ili asihangaike kuzunguka,

wamefurahishwa na namna mbolea za Ruzuku zilivyo wahi kufika hata kabla ya kuanza msimu mpya, wanasema hakika mh Rais Ni msikivu na amesikia kilio chao na kugusa maisha yao
Weka kwanza utanishukuru Badae
 
Ndugu zangu, wanasema uchumi mzuri Ni ule unao gusa maisha ya watu wengi, ukimfuatilia vizuri mh Rais wetu utagundua kuwa Anajenga uchumi wenye kumgusa kila mtanzania.

Kwanza mh Rais ametambua kuwa kilimo ndio secta iliyo ajiri watanzania wengi wa makundi tofauti tofauti, Hivyo juhudi zozote za kuujenga uchumi wetu Ni sharti ukipe kipaombele kilimo, Ndio maana unaona ongezeko la bajeti katika wizara ya kilimo Na hata utoaji wa Ruzuku takribani billioni 150, hii inakwenda kuchochea uzalishaji, lakini pia kundi kubwa linakwenda kuguswa kupitia mipango hii ya Rais wetu mpendwa.

Mh Rais wetu Amedhamilia kuhakikisha kuwa katika kujenga uchumi wetu Hakuna mtu au kundi lolote linaloachwa nyuma au kusahaulika, Hali hii inajidhihilisha kwa namna anavyojenga miradi mbalimbali inayogusa maisha ya watu hasa wanyonge, ndio maana unaona miradi Kama shule, vituo vya Afya,zahanati,huduma za maji na umeme vikitamalaki kila Kona ya nchi hii.

Rais wetu pia anajitahidi kuhakikisha kuwa mfumuko wa Bei unaoikumba Dunia unapunguzwa kwa kuweka Ruzuku kwenye mafuta ambayo Ni injini ya uchumi wetu, ndio maana unaona akitoa karibu billioni Mia moja kila mwezi.

Rais Samia mama yetu Atakumbukwa Sana akimaliza uongozi wake 2030 kwa kujenga uchumi unaogusa watanzania hasa wakipato Cha chini, kazi ya serikali Ni kusaidia watu kunyanyuka kiuchumi, kazi ambayo mh Rais wetu anaifanya vyema Sana.

Mama hakika yupo kazini, Tunamuhitaji mama aendelee kututumikia Hadi 2030, ndio tutajuwa tufanye Nini akitufikisha hapo, kikubwa tunaendelea kumuombea uzima na Afya njema.
Mkuu sijui labda mi sijui. Je unajua Mama mtizamo wake hasi juu ya Dkt Magufuli umelighalimu hili taifa kwa kuwa na maisha magumu? Hiyo ni yake yeye Mama kama yeye. Sijui labda hapo baadaye. Ila kwa sasa Mama hajaleta unafuu zaidi ya kufanya bei ya mchele kubakia zaidi ya 2400 kwa kilo.
 
Lazima ujuwe Mambo yanabadilika, acha kukalili, wewe unafikiri Bei zimepanda Tanzania pekee, mh Rais wetu amejitahidi Sana ukiangalia Hali Ilivyo kwa Sasa duniani kwote, lakini pia mh Rais amefanya juhudi kubwa kuvuta wawekezaji wa viwanda vya mbolea ili waje kuwekeza hapa nchini
Unatia huruma na kinyaaa eti "mh rais wetu'" unajinyenyekesha kwa binadamu mwenzio, kuliko ata muumba wako ovyo kabisa
 
Ndugu zangu, wanasema uchumi mzuri Ni ule unao gusa maisha ya watu wengi, ukimfuatilia vizuri mh Rais wetu utagundua kuwa Anajenga uchumi wenye kumgusa kila mtanzania.

Kwanza mh Rais ametambua kuwa kilimo ndio secta iliyo ajiri watanzania wengi wa makundi tofauti tofauti, Hivyo juhudi zozote za kuujenga uchumi wetu Ni sharti ukipe kipaombele kilimo, Ndio maana unaona ongezeko la bajeti katika wizara ya kilimo Na hata utoaji wa Ruzuku takribani billioni 150, hii inakwenda kuchochea uzalishaji, lakini pia kundi kubwa linakwenda kuguswa kupitia mipango hii ya Rais wetu mpendwa.

Mh Rais wetu Amedhamilia kuhakikisha kuwa katika kujenga uchumi wetu Hakuna mtu au kundi lolote linaloachwa nyuma au kusahaulika, Hali hii inajidhihilisha kwa namna anavyojenga miradi mbalimbali inayogusa maisha ya watu hasa wanyonge, ndio maana unaona miradi Kama shule, vituo vya Afya,zahanati,huduma za maji na umeme vikitamalaki kila Kona ya nchi hii.

Rais wetu pia anajitahidi kuhakikisha kuwa mfumuko wa Bei unaoikumba Dunia unapunguzwa kwa kuweka Ruzuku kwenye mafuta ambayo Ni injini ya uchumi wetu, ndio maana unaona akitoa karibu billioni Mia moja kila mwezi.

Rais Samia mama yetu Atakumbukwa Sana akimaliza uongozi wake 2030 kwa kujenga uchumi unaogusa watanzania hasa wakipato Cha chini, kazi ya serikali Ni kusaidia watu kunyanyuka kiuchumi, kazi ambayo mh Rais wetu anaifanya vyema Sana.

Mama hakika yupo kazini, Tunamuhitaji mama aendelee kututumikia Hadi 2030, ndio tutajuwa tufanye Nini akitufikisha hapo, kikubwa tunaendelea kumuombea uzima na Afya njema.
Unatafuta kazi au afu kumbuka unafiki ni dhambi
 
Ndugu zangu, wanasema uchumi mzuri Ni ule unao gusa maisha ya watu wengi, ukimfuatilia vizuri mh Rais wetu utagundua kuwa Anajenga uchumi wenye kumgusa kila mtanzania.

Kwanza mh Rais ametambua kuwa kilimo ndio secta iliyo ajiri watanzania wengi wa makundi tofauti tofauti, Hivyo juhudi zozote za kuujenga uchumi wetu Ni sharti ukipe kipaombele kilimo, Ndio maana unaona ongezeko la bajeti katika wizara ya kilimo Na hata utoaji wa Ruzuku takribani billioni 150, hii inakwenda kuchochea uzalishaji, lakini pia kundi kubwa linakwenda kuguswa kupitia mipango hii ya Rais wetu mpendwa.

Mh Rais wetu Amedhamilia kuhakikisha kuwa katika kujenga uchumi wetu Hakuna mtu au kundi lolote linaloachwa nyuma au kusahaulika, Hali hii inajidhihilisha kwa namna anavyojenga miradi mbalimbali inayogusa maisha ya watu hasa wanyonge, ndio maana unaona miradi Kama shule, vituo vya Afya,zahanati,huduma za maji na umeme vikitamalaki kila Kona ya nchi hii.

Rais wetu pia anajitahidi kuhakikisha kuwa mfumuko wa Bei unaoikumba Dunia unapunguzwa kwa kuweka Ruzuku kwenye mafuta ambayo Ni injini ya uchumi wetu, ndio maana unaona akitoa karibu billioni Mia moja kila mwezi.

Rais Samia mama yetu Atakumbukwa Sana akimaliza uongozi wake 2030 kwa kujenga uchumi unaogusa watanzania hasa wakipato Cha chini, kazi ya serikali Ni kusaidia watu kunyanyuka kiuchumi, kazi ambayo mh Rais wetu anaifanya vyema Sana.

Mama hakika yupo kazini, Tunamuhitaji mama aendelee kututumikia Hadi 2030, ndio tutajuwa tufanye Nini akitufikisha hapo, kikubwa tunaendelea kumuombea uzima na Afya njema.
Chawa katika ubora wake
 
Mimi naweka Yale mazuri aliyofanya mh Rais wetu na namna watanzania wanavyoendelea kumuunga mkono mh Rais, huku niliko wakulima wanasema watafanya kazi ya kumpigia kampenii mh Rais ili asihangaike kuzunguka,

wamefurahishwa na namna mbolea za Ruzuku zilivyo wahi kufika hata kabla ya kuanza msimu mpya, wanasema hakika mh Rais Ni msikivu na amesikia kilio chao na kugusa maisha yao

Wakulima sio watu wa kuwaamini sana

Wakati wa Jk alisifia Kilimo kwanza, wakati wa magu walisifia Sana na wakasema hakuna kama yy

Now wanasema mama ndio kila kitu

Usiwaamini sana
 
Uchumi wa watanzania wengi unategemea secta ya kilimo ambako huko utakuta mh Rais ameweka mkono wake wa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini ili mkulima amudu Bei za mbolea, hii itamsaidia mkulima kukuza kipato chake na uchumi wake kwa kuwa uzalishaji utaongezeka

Hapo Kama ana mtoto akienda shule anakuta Elimu bure kwa kuwa mh Rais ni Rais mwenye huruma anayetaka kuona watoto wa wananchi wanyonge nao wanapata fursa ya Elimu bila shida,sasa hapo hajasaidia au unataka Rais wetu afanye Nini ndio ulizike wewe
Hakuna ruzuku inayowekwa ila ni aina ya kutafuna pesa za walipa kodi kwa kisingizio kisichoaminisha chochote, ulaghai mtupu
 
Mimi naweka Yale mazuri aliyofanya mh Rais wetu na namna watanzania wanavyoendelea kumuunga mkono mh Rais, huku niliko wakulima wanasema watafanya kazi ya kumpigia kampenii mh Rais ili asihangaike kuzunguka,

wamefurahishwa na namna mbolea za Ruzuku zilivyo wahi kufika hata kabla ya kuanza msimu mpya, wanasema hakika mh Rais Ni msikivu na amesikia kilio chao na kugusa maisha yao
Hata mbwa ula makombo ya bosi wake 🦮🦮🦮
 
Hata mbwa ula makombo ya bosi wake 🦮🦮🦮
Kazi anayoifanya mh Rais Ni kubwa Sana, Anastahili pongezi zetu , Anastahili kuungwa mkono, Anastahili kupewa faraja, Ameliheshimisha Taifa hili, amejenga umoja wa kitaifa, amewaleta watanzania kwa pamoja, amevunja uadui wa kivyama, ameijenga misingi ya kuelewana na kuaminiana,

Amefanya kila mtu ajisikie Anayo nafasi katika ujenzi wa nchi hii, Najivunia kuongozwa na mh Rais mama Samia suluhu Hassani Kama Rais wa nchi, Kama kijana na Kama mwananchi panapo majaliwa ya mwenyezi Mungu mtoa njia na maarifa, anayetoa uzima na kumjalia mtu Afya njema nitakuja kuwasimulia watu juu ya ushupavu wa uongozi wa mh Rais wetu aliouonyesha tangia aliposhika na kuapishwa katikati ya majonzi ya kuondokewa na Rais aliyekuwa madarakani na namna alivyoibeba nchi katika mabega yake bil kuteteleka,
 
Back
Top Bottom