Rais Samia atakumbukwa kwa kujenga uchumi unaowagusa Watanzania

Yani ni Umaku asee
Kuongoza nchi siyo sawa na kuongoza kondoo,,inahitajika hekima busara upendo na akili kubwa ya kimkakati na kujuwa ufanye Nini kuwainua watu kiuchumi, hiki ndicho afanyacho mh Rais wetu katika juhudi za kuyainua maisha ya mtanzania licha ya uchumi ulio yumba Dunia nzima
 
Kumlalamikia SSH ni kutudhihilishia uwezo mdogo wa kufikiri... yaani kuna la ajabu lipi unasetemea mama ataweza kufanya.... ni wa kumuonea huruma na kumwombea
 
Poyoyo kazini.
 
Hii awamu hata ipewe miaka 100 haina maarifa ya kuifikisha tz ktk maendeleo zaidi inazidi kuiporomosha tz kiuchumi na kiumasikini, hata muipambe vip muisifie kwa nyimbo na mapambio hii awamu imefeli mazima... Itaishia kusema NA HILI MKALITIZAME
 
Uko vizuri
 
Nzuri Sana hii
 
Hivi huo uchumi wa dunia unawaathiri Watanzania wa huku bara tu na si wale Watanzania wa visiwani?

Kwa nini bei ya mafuta, kwa mfano, iwe ndogo huko Tanzania visiwani ikilinganishwa na huku Tanzania bara?
 
Huyu mama ataendelea kujua rangi za Watanzania,akitoka madarakani,nadhani hakujifunza kwa Magu.Kama JPM alipondwa vile na alikua vile,huyu mama itakuaje?Aisee.

JPM alipondwa na wanga.

hakuna mtu timamu alimponda au anamponda jpm.
 
Ni bora ungefanya kautafiti kadogo sana kujua 'feelings' za wenzako kuhusu mweleko wa nchi kuliko kuandika kwa mihemko!
 
Hakuna alichokifanya yeye binafsi maana kuhusu elimu imetajwa kwenye ilani ya chama chake sasa kwanini unampamba mtu ambaye anatekeleza maelekezo ya mdhamini wake na sio matakwa binafsi ya kisiasa
 
Nyie kunguni ndio mnatuharibia nchi.
Samia hizi sifa hata anashangaa zimekujaje? Na hajafanya lolote.

Fanyeni kazi achwni kujikomba
 
Aisee sio bure utakuwa umetumwa na kama hujatumwa nenda kajitafakari vizuri
 
Aisee ungekuwa upo karibu yangu hata sijui ningekufanya kitu gani.
 
Anaweza kuwa sahihi na anaweza asiwe sahihi. Yeye ni mtanzania acha aseme.

Pinga hoja kwa hoja,matusi mwiko
 
Mimi na ukoo wangu na watanzania wengi tunaendelea kumpongeza mh Rais wetu kwa kazi kubwa anayofanya, huku niliko tayari mbolea ya Ruzuku umeshapika, huku Ni pongezi tu kwa mh Rais wetu
Endelea kupongeza hadi ukiguswa kota lako ndo utashtuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…