nawashangaa wanao shangaa Rais kufanya mabadiliko...hilo ni jambo la kawaida kabisaaa na siajabu hata kesho trh 1 Siku ya kuapishwa wapo watakao tenguliwa.Nadhani kuna tatizo katika jambo lenyewe la uteuzi.
Hii siyo kawaida hata kidogo.
Mkuu mbona barua inasema ametengua?Jamani huyu mzee kapata kazi ya mkataba wa miaka 5 nchi moja wapo bara la Asia toka shirika la UN anaenda kusimamia maswala ya fedha japo siyo ndo atakuwa mkuu,
Jaribu kutafakari unaweza acha kazi ambayo ushasaini mkataba kisa kazi ya kuteuliwa ambayo hujui hatma yako
Mzee alimuandikia mama barua na maelezo ya kutosha mama kamuelewa kateua mwingine
Kesho mniite mbwa kama mama asiposema ameombwa
Hizi ni tabia za kipumbavu kwelikweli kufanya mambo ya kijinga kuwa ya kawaida.nawashangaa wanao shangaa Rais kufanya mabadiliko...hilo ni jambo la kawaida kabisaaa na siajabu hata kesho trh 1 Siku ya kuapishwa wapo watakao tenguliwa.
Kanisa amesali Dkt. Chegeni asubuhi na kutoa Sadaka ya Shukrani anapaswa kwenda kwa Mchungaji kuichukua[emoji23]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio maana katenguliwa, wenzake wote wapo DOM kusubiri kuapishwa yeye dar anasubiri kuapishwa na nani?Jamaa usikute yupo Dar na mkewe kwa ajili ya uapisha anakutana na utenguzi 😀😀
Mkuu kwani neno tengua lina maana gani tuwekane sawaMkuu mbona barua inasema ametengua?
Mama kamkosea adabu sana Huyu Chegeni pamoja na usukuma wake mi nasema hapana, na aache kuendewa na muha wa burundi ktk kufanya maamuzi yanayowahusu watanzania hasa wabara.Ni Mkuu wa Magereza amekuwa RC
Demotion kali eh? Ama
Huyo mwingine maskini na suti yake ya kesho itakua alikuwa nayo tayari
Jamani huyu mzee kapata kazi ya mkataba wa miaka 5 nchi moja wapo bara la Asia toka shirika la UN anaenda kusimamia maswala ya fedha japo siyo ndo atakuwa mkuu,
KKwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassani, amemteua Meja Jenerali Suleimani Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na kutengua uteuzi wa Dr. Raphaeli Chegeni.
Kabla ya uteuzi huo, Meja Jenerali Suleimani Mzee alikuwa Kamishina Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini.
#Mwakammojanasamia #kaziiendelee
View attachment 2310209
Kwani Hapi alikuwa Mkuu wa Mkoa gani?Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassani, amemteua Meja Jenerali Suleimani Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na kutengua uteuzi wa Dr. Raphaeli Chegeni.
Kabla ya uteuzi huo, Meja Jenerali Suleimani Mzee alikuwa Kamishina Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini.
#Mwakammojanasamia #kaziiendelee
View attachment 2310209
Chegeni ana dharau mno hujiona yeye ndio yeye hataki ukuu wa mkoa anataka ubunge kamuulize Lowasa kilichomkuta baada ya kumdharau Kikwete Mwenyekiti CCM taifa akigombea uraisi aweza pita kura maini kugombea Uraisi CCM kuwa ana support kubwa!Nadhani kuna tatizo katika jambo lenyewe la uteuzi.
Hii siyo kawaida hata kidogo.
acha ufyatu eti anapigiwa salute na wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama.Unaangalia mafungu kwako ndio kipimo cha demotion,sasahivi huyo anapigiwa saluti na wakuu wote wa majeshi ya ulinzi na usalama,ni raisi katika mkoa wa mara.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
[emoji38]Huyu hata hajaimba mkuu, kashika mic tu mama kamwambia nyimbo zako sizitaki.[emoji3][emoji3]
NimeelewaHapa aliyedhamiriwa kutenguliwa ni Suleiman Mzee.
Hata kama tuna mamlaka lakini ile heshima ya kawaida ya kibinadamu iwepo. Tuwaheshimu wananchi na wasaidizi wetu.Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassani, amemteua Meja Jenerali Suleimani Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na kutengua uteuzi wa Dr. Raphaeli Chegeni.
Kabla ya uteuzi huo, Meja Jenerali Suleimani Mzee alikuwa Kamishina Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini.
#Mwakammojanasamia #kaziiendelee
View attachment 2310209
Sasa ubunge anautaka wa nini?Chegeni huyu ninayemjua kaomba mwenyewe kutenguliwa, pesa anazo si za nawazo ..Isamilo Hotel ya jijini Mwanza, Majumba ya kutosha Dar, Dodoma, Mwanza nk...watoto wake wote wapo kwenye Financial institutions kubwa Dubai, Austraria na USA, mke wake.....niishie hapa nisije jichoresha Bure nyuma ya I'd feki! Kifupi jamaa pesa ipo, kwenye siasa Kawa mbuge wa Busega kuanzia kwa Mkapa hadi awamu ya tano alipoondelewa na yule dk wa mifugo....Kisha kuingia tena na baadae Jiwe akamuweka pembeni pamoja na kuongoza kura za maoni!
Kichwani jamaa yupo vizuri, exposure ya nchi za wenzetu pia SI haba...huyu kumpa ukuu wa Mkoa ni sawa na kumuweka kundi la akina Sendeka wachumia tumbo!
Tengua ya Leo ngoja tusubiri ufafanuzi vinginevyo rais wetu kazungukwa na mafisi kundi la watu wa ovyo kuwahi kutokea!
Kutengua ni kumwondoa mteule na kwa mazoea ya TZ lazima awe amefanya mambo siyo mazuri kwenye utendaji wake wa kazi. Sasa huyu hata kuapa alikuwa bado hivyo neno kutengua limetumika sivyo hapo. Mwandishi angesema tu Rais amefanya mabadiriko kwenye wakuu wa mikoa alioteuwa juzi lakini si kutengua kwa sababu huyo mteuliwa bado hajaapa hivyo hajakubali uteuzi rasmi kisheria.Mkuu kwani neno tengua lina maana gani tuwekane sawa
Naamini Chegeni alimwomba Mama ampuzishe , he is a smart guy ......Sifa anazo
Alirusha hadi mangumi na mateke kupinga kupigwa chini kura na kujitia ana mihela kibaoAsingekua anatokea kwenye media analialia kuenguliwa ubunge