Sawa ZOMBIEJamani huyu mzee kapata kazi ya mkataba wa miaka 5 nchi moja wapo bara la Asia toka shirika la UN anaenda kusimamia maswala ya fedha japo siyo ndo atakuwa mkuu,
Jaribu kutafakari unaweza acha kazi ambayo ushasaini mkataba kisa kazi ya kuteuliwa ambayo hujui hatma yako
Mzee alimuandikia mama barua na maelezo ya kutosha mama kamuelewa kateua mwingine
Kesho mniite mbwa kama mama asiposema ameombwa
Hana u smart wowote anaona ukuu wa mkoa utamnyima nafasi ya mbio zake za ubunge!! Anaona ukuu wa mkoa haulipi kama ubungeNaamini Chegeni alimwomba Mama ampuzishe , he is a smart guy ......
Dah!...Yaah CGP kuwa Mkuu wa Mkoa ni demotion tu
Akiwa CGP alikuwa anasimamia magereza na miradi yao nchi nzima, ndo ana manage mafungu yote ya Magereza sasa leo kuwa RC ni kwamba kashuka sana
Hizo ni nafasi za kitaalam aka watumishi wa serilikali yaani wale waliojariwa / wapo kwenye utumishi wa umma, tofauti na ukuu wa mkoa, wilaya na zingine zinazofanana na hizo ambazo mimi na wewe tunaweza tukapewaKwanini hawezi kupewa?
Alichosema ni sahihi, labda tu chumvi alizoongeza. Mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa wanapigiwa saluti japo sio lazima.acha ufyatu eti anapigiwa salute na wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama.
shule yako darasa la ngapi kwanza nisije nikakutendea dhambi kumbe std seven nikamkosea Mungu
Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
Unaleta stori za kishamba hapa ukidhani wewe ni mwerevu zaidi?nawashangaa wanao shangaa Rais kufanya mabadiliko...hilo ni jambo la kawaida kabisaaa na siajabu hata kesho trh 1 Siku ya kuapishwa wapo watakao tenguliwa.
hakuna jambo la ajabu hapa......
Marekani iliwahi kumteua waziri wa mambo ya nje lkn kabla hajaapishwa akatenguliwa,
mifano ipo kibao ktk mataifa mbalimbali duniani.
wewe acha kuleta taharuki kwa wateule wapya chief Hangaya .....utasababisha wasilale usingizi this ninght ......nawashangaa wanao shangaa Rais kufanya mabadiliko...hilo ni jambo la kawaida kabisaaa na siajabu hata kesho trh 1 Siku ya kuapishwa wapo watakao tenguliwa.
Maana kutoka Mwanza lazima uondoke 1 day before (kama alikuwa Mwanza), tofauti na Dar - Dom huwa kuna flight ya asubuhi na mapemaNdo maanake lazima yupo Dodoma
Wenye uhakika wa kuendeleza ni Diwani na Makakala wa UhamiajiRafiki yangu Mzee naona kawa demoted, ila ilikuwa ni dharau kwa jeshi la Magereza kuendeshwa na mtu kutoka JWTZ, Hayati Magufuli alikuwa ana maamuzi ya kipekee mno 😃
Kamishina wa Magereza ameondelewa naona mama anapanga safu yake vizuri kabisa, ndani ya miezi miwili hii huwenda wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama waliobaki wakaondolewa rasmi.
Mlikuwa mnaserebuka nae tu bila neno ila uzuri hajachoka sana yule ana uwekezaji wake atarudi kukomaa nao
Hata sielewi unachoeleza hapa ni kitu gani, na kinahusiana vipi na niliyoandika na wewe kuyajibu!Chegeni ana dharau mno hujiona yeye ndio yeye hataki ukuu wa mkoa anataka ubunge kamuulize Lowasa kilichomkuta baada ya kumdharau Kikwete Mwenyekiti CCM taifa akigombea uraisi aweza pita kura maini kugombea Uraisi CCM kuwa ana support kubwa!
Sio Mara ya Kwanza Rais kufanya hivi rejea Meja Jenerali Mbuge Alikuwa Mkuu wa JKT akapelekwa RC Kagera, Kuna yule CP Andengenye Alikuwa CGF_Zimamoto akazingua baadae akaja kuwa RC Kigoma hadi SasaAlikuwa boss wa magereza nchi nzima.Ukuu kamkoa kamoja. Kashushwa.
Kwa mizania ya kawaida tu, huu uteuzi wa Major General kuwa Mkuu wa Mkoa sijauelewa kabisa.Tena huyu Major General alikuwa Mkuu wa Magereza.Siku chache baada ya Wakuu wa Mikoa wapya 9 kuteuliwa, Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Dkt. Raphael Masunga Chegeni
Amemteua Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, na ataapishwa na Wateule wengine kesho (Agosti 01, 2022)
Kabla ya uteuzi wa Rais, Meja Jenerali Mzee alikuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP)
View attachment 2310242
View attachment 2310215
Magu alifanya kwa yule ambae alishindwa kuapa na kumpiga pin pale pale ukumbiniNinaomba kujua ilikua kwa nani
Usikariri, anaweza kuwa popoteMagereza sio fani yake angemrudisha tu Jeshini akatumikie taaluma yake, Mara hakina maajabu kama Ali Hapi alipamudu, mjeda wa nini sasa?
Umri wa kustaafu umefika unataka aendelee kuwa major generali?Kwa mizania ya kawaida tu, huu uteuzi wa Major General kuwa Mkuu wa Mkoa sijauelewa kabisa.Tena huyu Major General alikuwa Mkuu wa Magereza.
Mizania haiko sawa, Major General na Mkuu wa Magereza yuko too senior kuwa Mkuu wa Mkoa.
Wajuvi hanu mnieleweshe hapa!
DharauKateuliwa kwa sifa zipi; na katenguliwa kwa sabau ya "dharau"?