Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 587
- 800
ulitakaje kwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nimeeleza Mkuu kwenye paragraph ya tatu nilipotoa maoni yangu?Watafute pesa njee ya mishahara? Hizi dhana ndio zinazaa rushwa, ukiukwaji wa Sheria n.k. kuhisi kuwa Kila unapopata nafasi ya uteuzi ni Ulaji
Jerry Muro arudi Utopoloni.jafar haniu kutoka kuwa mkurugenzi wa mawasiliano ikulu kuwa mkuu wa wilaya rungwe
jerry muro na sara msafiri out
Nimesona naye Ifunda Tech. huyu those good daysLeah Lucas Ulaya – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe …. Chama cha walimu Tanzania
Hizi nsfasi siyo za WashambaYule mpiga zumari mwashamba hajalamba uteuzi kabisa.....
Amepangiwa Yangs S.CJerry Muro vipi?
Nick kawekwa kibahaHao wapya namba nane hapo Grace Kingalame si mwandishi wa habari huyo? Au wanafanania majina.
Juma Issa Chikoka kabaki, ni yule mchekeshaji wa zamani na huwa naamini anafanya kazi vizuri.
Wake wa vigogo naona wanabaki na hawapelekwi mbalimbali uko Tandahimba.
Na yule Nick wa Weusi jina lake nani sijui, vipi tena
Usihofu anasubiri mikeka ijayo🚶Pascal Mayalla amepata au bado?
Kapelekwa Bariadi, kuachwa sio rahisi wakati wao huuNaona yule mpiga watoto wa kike ameachwa, jambo zuri sana.
Mkuu wa wilaya ya jamhuri ya 'muungano' wa TanzaniaMzanzibar anaweza vipi kuwa Mkuu wa Wilaya Tanganyika? Je Mtanganyika anaweza kuwa Mkuu wa Wilaya kwa upande wa Zanzibar?