BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Tena katumia fullnameWapo akina Nyoka, Nguruwe, Mbawala, ...imezoeleka kuchukua jina la mnyama kwakuwa wanyama wote wanashare, shida inakuja umegawa jina la mtu kwa mnyama bila ridhaa yake, mtu mwenyewe ni mwanasheria, tena mwanasheria machachari, lazima azue mtiti, utamsikia reaction yake
π€£Tena katumia fullname
Au umeshasahau?!Huyo Simba au??
Kapigwa risasi 16 ??
Kama hajalipwa gharama zake za matibabu kwanini atulie "Simba Dume"?!Simba hatulii ndio maana akaitwa TAL π
Mbona chui hajabatizwaAkiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Ni Tundu Lisu huyu huyu anayetaka kuweka Shada kwenye kaburi la JPM au Mwingine. atakwenda kuwekaWayahudi walipopiga kelele Pontius Pilate akawaambia " Niliyoandika Nimeyaandika"
Na iwe hivyo kwa Tundu Antipas Lisu Simba wa Kizimkazi, Rais mtarajiwa wa JMT
Tundu Lisu: Nitakwenda kaburini kwa Shujaa Magufuli kuweka shada la mauwa
Mtanikumbuka ππΉπΉπΉ
Jina halina copyright ndio maana Lisu humsema mama Abdul lakini hakuna mahali Mama Abdul yeyote aliyewahi jitokeza kusema ananisema mimiJe, yeye mwenyewe Tundu Lissu ameridhia Jina lake kupewa huyo mnyama Simba?
Kama hajaridhia kabla, Je, hiyo haiwezi kuwa Defamation Case au suala linalowahusiana na mambo ya copyright dispute???
Ni kweli atakumbukwa sana Kwa kuifilisi nchi.Ana maana nzuri Tu Simba ni ishara kubwa chanya Afrika yeye anajua contribution ya Tundu Lissu nchi hii,IPO siku hii nchi itakuja kumkumbuka huyu mama na hakuna Raisi amewahi sifika nchi hii hua anaonekana baadae SASA yeye atakuja kukumbukwa zaidi
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
Ndo tunasema hapa kama katika watu wote alionao kichwani kwa haraka vile akalitamka jina la Lissu ni ishara njema kiroho.
Hao simbo huko kizimkazi wametoka wapi?πππππ