Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
ππππ
Miamba wengi duniani wakiongozwa na Yesu waliitwa Simba!!
Kwanza Zanzibar wametoa wapi wanyama, huo mkoa unaifilisi TanganyikaMachawa watasema hizo ndio 4R za mama.
Kwanza Zanzibar wametoa wapi wanyama, huo mkoa unaifilisi Tanganyika
Hao simbo huko kizimkazi wametoka wapi?
Labda ataitwa Nyegere au kwa Kiingereza Honey Badger yaani Nyegere mpenda AsaliπUlizia ulizia huko vipi, mwamba hakuambulia jina hata la mnyama mmoja huko?
Yesu alipofika Pwani aliwaona makutano Akawahurumia na Kuwaponya Magonjwa yao
Simba Dume wa Kizimkazi ππΉ
Labda ataitwa Nyegere au kwa Kiingereza Honey Badger yaani Nyegere mpenda Asaliπ
Ametulia tu anagonga wine ππKwani Tundu Lisu ana maoni gani?
Rais hashtakiwi. Hiyo katiba mpya mtaipataje wakati hii ya sasa hamjui kilichoandikwa.Walishapanga na kukubaliana
Kama hawakukubaliana basi Jumatatu utasikia moto umewaka mahakamani