imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Sasa ni kwanini huwa mnapora Kura kama mnajua kuwa Kura ziko kwa Wananchi.Jambo zuri ndiko walipo wapiga kura huko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ni kwanini huwa mnapora Kura kama mnajua kuwa Kura ziko kwa Wananchi.Jambo zuri ndiko walipo wapiga kura huko!
Kwa hiyo matumizi ya fedha za umma/serikali kuendeleza ajenda za taasisi za kidini ni sawa?Wamesema tusichanganye dini na siasa siyo dini na serikali uwe mwelewa.
point ya kwamba serikali haina dini na haitakiwi kujiingiza kwenye mambo ya kufadhili dini iko pale pale.ombeni nanyi Rais atawapa
Nilijua tu kuna mchangiaji atatupia dongo kama hili 😂😂chambo ya kuwaandaa Dpworld kutia nanga Bandarini
Katoa kwenye Hazina au mshahara wake.
Kama ni hazina Basi ni Kodi zetu na ni swala kisiasa zaidi
Matumizi mazuri unayo wewe Mkuu.Haya ni matumizi yasiyofaa ya fedha za umma. Mara zote tunaambiwa tusichanganye mambo ya serikali na dini. Sasa hii ni nini? Mbona Mali za nchi zinatumika kuendeleza hizi mainstream religious groups, wenye dini za kijadi mbona hakuna mali za serikali zinazopelekwa huko? Au sababu dini za kimila hawalalamiki?
Kudai katiba mpya ilitakiwa iwe jana
Magdalene 😂Mpenzi wangu FaizaFoxy nitambatiza na kumpa jina la kikristo wakati wa ufunguzi wa hilo kanisa….! Naomba mmuchagulie jina 😂😂😂😂
Aliyeporwa ni nani aonyeshe RB au kitup cha polisi alipofungua shauri lake!Sasa ni kwanini huwa mnapora Kura kama mnajua kuwa Kura ziko kwa Wananchi.
Uzuri kanisa katoliki halinunuliki ata uwe nani. Hoja ya bandari ipo palepale. Ni mkataba wa hovyo kama wa enzi za utumwa haufai.Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.
Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.
Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.
Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Nani aiwekee ukomo? Labda nchi ifilisike!Hivi bajeti ya ikulu haina kikomo?
Hela ya walipa kodi? Waumini wenyewe wajichangie. Serikali isijihusishe na mambo ya dini.Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.
Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.
Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.
Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Polisi CCM nani awapelekee malalamiko?Aliyeporwa ni nani aonyeshe RB au kitup cha polisi alipofungua shauri lake!
Anazitoa mfukoni au hazina?Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.
Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.
Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.
Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Hapa haja hajachanganya dini na siasa kabisa. Hapa ni Siasa na dini tu, baasi.Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.
Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.
Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.
Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Waraka upo pale pale kwani dawa ishaingia! Mchango ni jambo la kawaida na hasa mwenye nchi kutoa sio kwamba katoa mfukoni mwake au mshahara wake Bali Kuna nyanja nyingi za kuchangia. Unajua huzi safari nyingi na fungus lake pia ni kodi za wananchi.Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.
Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.
Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.
Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Endelea kuweka neno mkuu.Tanania ni nchi inayoongozwa na serikali isiyo na dini. Ikiwa kila mwenye taasisi yake ya dini atataka apewe fedha hii na rais, rais ataweza kutoa hela sawa kwa wote?
Kwa nini serikali inajiingiza kwenye mamo ya kufadhili makanisa,wakati kuna kazi nyingi za serikali zinahitaji pesa?