Rais Samia Atoa milioni 100 kwa ajili ya Ukarabati kanisa la Katoliki Manyara

Rais Samia Atoa milioni 100 kwa ajili ya Ukarabati kanisa la Katoliki Manyara

Tanania ni nchi inayoongozwa na serikali isiyo na dini. Ikiwa kila mwenye taasisi yake ya dini atataka apewe fedha hii na rais, rais ataweza kutoa hela sawa kwa wote?

Kwa nini serikali inajiingiza kwenye mamo ya kufadhili makanisa,wakati kuna kazi nyingi za serikali zinahitaji pesa?
Iyoo Mill 100 ni sadaka ya misa ya wototo broo katolik tupo another level
 
Mill 100 kwa kanisa katolik ni hela ya kawaida kwani misa ya watoto kwa jumapili moja tu wanauwezo ya kuchangia....
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
baraka za Mungu zamiminika Kanisa katoliki
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Yeye katoa wapi hizo milioni 100?
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Leo nimeona marekebisho yamefanywa, Rais amekaa kwenye mabenchi na waumini. Kosa la huko nyuma Rais alipelekewa kiti Kutoka Ikulu ndani ya kanisa, Hali hiyo ilileta manung'uniko mengine kuwa mamlaka ya kidunia hayawezi kupelekwa kwenye nyumba ya ibada ambapo Sasa inaoneksna mamlaka mbili ya Dunia na mamlaka ya Mungu. Kwa leo Hali hiyo imerekebishwa, Rais hawezi kupeleka mamlaka yake kwenye nyumba ya ibada, hongereni waliorekebisha Hali hiyo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kanisa Katoliki Manyara,leo wamerekebisha dosari ya nyuma, kiti Cha Rais hakijapelekwa kanisani, Rais amekaa kwenye mabenchi na waumini wengine, kiti Cha Rais toka Ikulu ni mamlaka ya kidunia, kikipelekwa kwenye nyumba ya ibada ni kuchanganya mamlaka ya kidunia na ya Mungu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Makanisa yanajenga:-

1.Shule,
3.Hospitali,
3.Mikopo kwa waumini ambayo huwa mitaji na ajira
4.Majengo makubwa ambayo yanakodishwa nakulipia Kodi serikali
5.Banks
6. Vyuo vikuu, vya kati na hata vya ufundi na mambo kadha wa kadha .

Hizo zote ni kazi za serikali, So 100M sio kwamba ni hela nyingi kutoa kwa kanisa lenye waumini wengi Tanzania na Duniani kwa ujumla.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Agawe kwa maknisa yote ,na misikiti yote hiyo ni rushwa
 
Kanisa Katoliki Manyara,leo wamerekebisha dosari ya nyuma, kiti Cha Rais hakijapelekwa kanisani, Rais amekaa kwenye mabenchi na waumini wengine,
Rais yupi wakati taarifa inasema kawakilishwa na makamu!
 
Tanania ni nchi inayoongozwa na serikali isiyo na dini. Ikiwa kila mwenye taasisi yake ya dini atataka apewe fedha hii na rais, rais ataweza kutoa hela sawa kwa wote?

Kwa nini serikali inajiingiza kwenye mamo ya kufadhili makanisa,wakati kuna kazi nyingi za serikali zinahitaji pesa?
Mate Kiranga , ukiona yule anayeitwa kiongozi anaanza kutupia peremende taasisi kubwa za kidini na kuacha taasisi ndogo zote,ujue huyo ni "mtawala" na si kiongozi.

We are doomed..
 
Hii si sawa,

Halafu rais ni nini maana Rais ni ofisi.... maana yake ni fedha za umma zile.

Ndio maana hata afya yake na ulinzi wake ni sisi wananchi tunawajibika.

Kwa nini wasifanye mambo ambayo ni ya msingi kama umeme na maji.... na elimu badala ya hizi takrima ndogondogo
 
Back
Top Bottom