Iyoo Mill 100 ni sadaka ya misa ya wototo broo katolik tupo another levelTanania ni nchi inayoongozwa na serikali isiyo na dini. Ikiwa kila mwenye taasisi yake ya dini atataka apewe fedha hii na rais, rais ataweza kutoa hela sawa kwa wote?
Kwa nini serikali inajiingiza kwenye mamo ya kufadhili makanisa,wakati kuna kazi nyingi za serikali zinahitaji pesa?
The government building a hospital is different from building a church.
baraka za Mungu zamiminika Kanisa katolikiRais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.
Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.
Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.
Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Yeye katoa wapi hizo milioni 100?Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.
Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.
Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.
Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Hazina!Yeye katoa wapi hizo milioni 100?
Leo nimeona marekebisho yamefanywa, Rais amekaa kwenye mabenchi na waumini. Kosa la huko nyuma Rais alipelekewa kiti Kutoka Ikulu ndani ya kanisa, Hali hiyo ilileta manung'uniko mengine kuwa mamlaka ya kidunia hayawezi kupelekwa kwenye nyumba ya ibada ambapo Sasa inaoneksna mamlaka mbili ya Dunia na mamlaka ya Mungu. Kwa leo Hali hiyo imerekebishwa, Rais hawezi kupeleka mamlaka yake kwenye nyumba ya ibada, hongereni waliorekebisha Hali hiyo.Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.
Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.
Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.
Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Agawe kwa maknisa yote ,na misikiti yote hiyo ni rushwaRais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.
Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.
Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.
Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Rais yupi wakati taarifa inasema kawakilishwa na makamu!Kanisa Katoliki Manyara,leo wamerekebisha dosari ya nyuma, kiti Cha Rais hakijapelekwa kanisani, Rais amekaa kwenye mabenchi na waumini wengine,
Hazina wamezipata wapi hizo pesa?Hazina!
Atoe mfukoni mwakee!!!!???Naomba niwekwe sawa.
Hizo fedha anatoa mfukoni kwake au ni za serikali?
Mate Kiranga , ukiona yule anayeitwa kiongozi anaanza kutupia peremende taasisi kubwa za kidini na kuacha taasisi ndogo zote,ujue huyo ni "mtawala" na si kiongozi.Tanania ni nchi inayoongozwa na serikali isiyo na dini. Ikiwa kila mwenye taasisi yake ya dini atataka apewe fedha hii na rais, rais ataweza kutoa hela sawa kwa wote?
Kwa nini serikali inajiingiza kwenye mamo ya kufadhili makanisa,wakati kuna kazi nyingi za serikali zinahitaji pesa?
Hakuna mwanachama wa chama cha mambuzi wa sasa anayeweza kukupa jibu la huo mchango wango uliomuuliza huyo.Sasa ni kwanini huwa mnapora Kura kama mnajua kuwa Kura ziko kwa Wananchi.