Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Ni masikitiko.Saa 100 ni mfano wa rahisi asiyependa kuumiza kichwa kabisa na anaona njia ya rahisi yeye kujipatia ummarufu ni hiyo ya kugawa psa za wananchi hivyo hovyo Laiti kama angekuwa na uwezo wa kuzitafuta angeziheshimu
Hizi rushwa za samia kwenye makanisa wala haziwezi kumsaidia kitu. Fedha za serikaliio sio za kujenga makanisa. Wakristo hua wanajenga makanisa yao wenyewe siku zote. Ingekua kusaidia huduma kama elimu au afya zinazotolewa na makanisa kwa jamii tungemuelewa.Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.
Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.
Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.
Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Consolidated fund.Anazitoa mfukoni au hazina?
Kutoa ni moyo wala siyo utajiri, wahenga walisema.Alitakiwa akatoe ANGLICAN, LUTHERAN au MISIKITINI KATOLIKI sio wa level ya milioni 100 kwakweli ni kuwatania! Hili ni dhehebu tajiri!
mi naomba namba ya Zuhura Yunus, msemaji wa Ikulu, nimuulizeNaomba niwekwe sawa.
Hizo fedha anatoa mfukoni kwake au ni za serikali?
Samia kapora bila ridhaa yetu kwa kutumia katiba!Kwahiyo hiyo milioni 100 katoa nani?
Kwa taarifa yako KKT ni mziki mzito kwenye uwezo kifedha.Alitakiwa akatoe ANGLICAN, LUTHERAN au MISIKITINI KATOLIKI sio wa level ya milioni 100 kwakweli ni kuwatania! Hili ni dhehebu tajiri!
Mkuu tenda haki, Magufuli Alivyo kuwa anaotao Kanisani, msikitini na barabarani, tena kwa kuongoza Harambee mbona huku pinga?Haya ni matumizi yasiyofaa ya fedha za umma. Mara zote tunaambiwa tusichanganye mambo ya serikali na dini. Sasa hii ni nini? Mbona Mali za nchi zinatumika kuendeleza hizi mainstream religious groups, wenye dini za kijadi mbona hakuna mali za serikali zinazopelekwa huko? Au sababu dini za kimila hawalalamiki?
Kudai katiba mpya ilitakiwa iwe jana
Nafikiri alikuwa anatoa sadaka yake akiwa kanisani au msikitini. Shida inakuwa kubwa tunapotumia fedha za umma kuwapa mashirika ya diniMkuu tenda haki, Magufuli Alivyo kuwa anaotao Kanisani na msikitini, tena kwa kuongoza Harambee mbona huku pinga?
Nakaziachambo ya kuwaandaa Dpworld kutia nanga Bandarini
Ni kweli mkuu, ila tofauti yao na serikali ni kwamba WADAU WETU wanafanya biashara il SERIKALI haifanyi biashara!Makanisa yanajenga:-
1.Shule,
3.Hospitali,
3.Mikopo kwa waumini ambayo huwa mitaji na ajira
4.Majengo makubwa ambayo yanakodishwa nakulipia Kodi serikali
5.Banks
6. Vyuo vikuu, vya kati na hata vya ufundi na mambo kadha wa kadha .
Hizo zote ni kazi za serikali, So 100M sio kwamba ni hela nyingi kutoa kwa kanisa lenye waumini wengi Tanzania na Duniani kwa ujumla.
Tanzania ni nchi inayoongozwa na serikali isiyo na dini. Ikiwa kila mwenye taasisi yake ya dini atataka apewe fedha hii na rais, rais ataweza kutoa hela sawa kwa wote?
Kwa nini serikali inajiingiza kwenye mambo ya kufadhili makanisa,wakati kuna kazi nyingi za serikali zinahitaji pesa?
Kwani msikiti uliojengwa Chamwino Dodoma nani alitoa pesa au mnataka tumuamshe Magufuli aseme ukweli au aliogopa waraka wa mashehe! Msitafute chuki za kuokoteza, tukulazimishe utueleze msikiti wa Bakwata Kinondoni ulijengwa na nani.Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.
Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.
Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.
Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.